Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sema kuna mda anatupanga bwanHuyu ni kata mti panda mti, usimzingatie sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema kuna mda anatupanga bwanHuyu ni kata mti panda mti, usimzingatie sana
Huyu anao kweli sema ndo hivyo akili robosema kuna mda anatupanga bwan
Ngoja nimpeleke maabara kwa uchunguzi 😀Size ilikua ile ile? Au kuna mharibifu alipita
ni jirani yako jiniHuyu anao kweli sema ndo hivyo akili robo
Jirani yangu kimkoa si unajua wasukuma walivyo washamba wa k-vantni jirani yako jini
Hakika Vijana mnafaidi 🙌
Ila kuwa makini Exy wengi huwa ni chanzo cha maradhi unless mlipima kabla hamjaendelea na hiyo shoo shoo
Akishajifungua huyu, itabidi nije tufanye mkataba 😀😀Huyu ni kata mti panda mti, usimzingatie sana
asiguse tu wake za watuJirani yangu kimkoa si unajua wasukuma walivyo washamba wa k-vant
Mi nitakukata mbupu usije tu😅Akishajifungua huyu, itabidi nije tufanye mkataba 😀😀
Ngoja nifunge safari nikuletee angalau togwaLabda wewe mwenye kisukari
Kula stori uishi miaka mingi 😀sema kuna mda anatupanga bwan
Nmesema sodaNgoja nifunge safari nikuletee angalau togwa
HakikaKula stori uishi miaka mingi 😀
Hapo sawaUmakini ni muhimu mkuu; yeye ni mjamzito ingawa ananihofia labda mimi ndio mchepukaji ingawa sio, na huwa anapima mara kwa mara bila uwoga wowote.
Anaitwa sombasomba we uwe mweupe na tako basi kwisha kaziasiguse tu wake za watu
Utanogewa sanaMi nitakukata mbupu usije tu😅

Basi mimi nmesalimika,,coz n mweusi tii na sna tako size aipendayo nna kalio tuAnaitwa sombasomba we uwe mweupe na tako basi kwisha kazi
Njoo uchukue nyumbaniNmesema soda
Uko sahihi, afya njema ndio mtajiHapo sawa
Suala la kujali afya liwe kipaumbele chenu
Kwa hali ya sasa kuanza kupewa masharti ya nini ule ama usile wakati hujafika hata miaka 45 itokee Kwa bahati mbaya tu