Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Nimejikuta nimekutamani, fanya hima tuonane angalau upate konyagi kubwa mbili 😀 😀Anaitwa sombasomba we uwe mweupe na tako basi kwisha kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejikuta nimekutamani, fanya hima tuonane angalau upate konyagi kubwa mbili 😀 😀Anaitwa sombasomba we uwe mweupe na tako basi kwisha kazi
Npe locationNjoo uchukue nyumbani
Picha ni muhimu 😀Basi mimi nmesalimika,,coz n mweusi tii na sna tako size aipendayo nna kalio tu
Npe location
Nmekuona aya vuka huku nmevaa pama la babu yanguUkitoka hapo kwa mangi, njoo na hii bara bara ya toroka uje, utanikuta nimesimama bara bara ya kushoto nikiwa nimevaa tisheti nyeusi 😀
Nimekuona, kwa pigo hilo ulilovaa utaniharibia siku, rudi nyumbani ukavae lile pigo lingine la ubarikio ndio uje 😀 😀Nmekuona aya vuka huku nmevaa pama la babu yangu
amna nmevaa vzur,,tukifika nitavua koti bwanNimekuona, kwa pigo hilo ulilovaa utaniharibia siku, rudi nyumbani ukavae lile pigo lingine la ubarikio ndio uje 😀 😀
Kama ni hivyo, nakutunuku cheo cha ubaharia wa kike 😀 😀amna nmevaa vzur,,tukifika nitavua koti bwan
Kwanin tenaKama ni hivyo, nakutunuku cheo cha ubaharia wa kike 😀 😀
Ashakumu si matusi, "hatimaye mavi imerudi kwa matako baada kunya"Ilikua wkend moja, nimeamka asubuhi nikahisi kuchoka choka kutokana na mawazo pamoja na majukumu ya kila siku.
Ikabidi nioge haraka haraka, na kuamua kwenda chimbo moja angalau nikapate supu ili mwili ukae sawa.
Katika lile chimbo, kwa bahati mbaya alikuwepo yule mpenzi wangu tulie achana naye; akawa ameniona ila mimi sikumuona.
Kutokana na uwepo wangu pale, yule bibie akawa anavuta kumbukumbu ya mahusiano yetu yalivyo kuwa, ingawa hakupata ujasiri wa kunifuata nilipokuwa.
Bila kujua hili wala lile, nikalipa bili yangu na kuamua kuondoka; ilipofika usiku nikaamua kwenda kiwanja kimoja chenye 'vibe' kali, ambacho nilikuwa nikienda na bibie.
Baada ya kufika pale, mhudumu akanisogezea meza pamoja na vinywaji vyangu ninavyovipenda.
Baada ya kufika saa sita usiku, naona na bibie akiwa na wenzake wakaingia huku yeye akiwa amevaa kipedo cheupe na shati la maua maua.
Kwa kuwa mara nyingi tulikuwa tukienda naye kwenye kile kiwanja wahudumu walishamkariri; ndipo mhudumu mmoja akamwambia equation x yupo pale.
Bibie akamjibu, '' nimeshamuona ila leo nimekuja na wenzangu'', nami nikavunga kama vile sijamuona. Nikaendelea kupiga mvinyo taratibu.
Muda unavyozidi kwenda, bibie akawa anazidi kulewa zaidi kutokana na mawazo, pia akawa anacheza mziki katika mazingira ya kumshawishi mwanaume yeyote, ukichangia na chura aliyonayo.
Ilipofika majira ya saa nane usiku, ndipo nilipoamua kuchukua ujasiri wa kiume na kunyanyuka nilipokuwa nimekaa na kumfuata nyuma bila yeye kujua.
Baada ya kumfikia nikashika rasta zake kwa ubunifu wa hali ya juu; alihisi kama mwili umepigwa ganzi na vinyweleo vya mwili wake kusimama.
Alipogeuka, akakutana na sura yangu; alichokifanya ni kunikumbatia na kuanza kubadilishana ndimi huku akilia.
Ndipo nikamwambia, ''the man is back''; hapo alianza kulia zaidi huku tukiwa tumekumbatiana.
Baada ya muda tukatoka naye kidogo, angalau kwenda kumchangamsha kidogo ili awe sawa.
Baada ya kama dakika 45 tukawa tumerudi na kuendelea na mitungi pamoja na kucheza mziki.
Kwa sasa tupo pamoja, ni shoo shoo tu.
Genuine and well madeIlikua wkend moja, nimeamka asubuhi nikahisi kuchoka choka kutokana na mawazo pamoja na majukumu ya kila siku.
Ikabidi nioge haraka haraka, na kuamua kwenda chimbo moja angalau nikapate supu ili mwili ukae sawa.
Katika lile chimbo, kwa bahati mbaya alikuwepo yule mpenzi wangu tulie achana naye; akawa ameniona ila mimi sikumuona.
Kutokana na uwepo wangu pale, yule bibie akawa anavuta kumbukumbu ya mahusiano yetu yalivyo kuwa, ingawa hakupata ujasiri wa kunifuata nilipokuwa.
Bila kujua hili wala lile, nikalipa bili yangu na kuamua kuondoka; ilipofika usiku nikaamua kwenda kiwanja kimoja chenye 'vibe' kali, ambacho nilikuwa nikienda na bibie.
Baada ya kufika pale, mhudumu akanisogezea meza pamoja na vinywaji vyangu ninavyovipenda.
Baada ya kufika saa sita usiku, naona na bibie akiwa na wenzake wakaingia huku yeye akiwa amevaa kipedo cheupe na shati la maua maua.
Kwa kuwa mara nyingi tulikuwa tukienda naye kwenye kile kiwanja wahudumu walishamkariri; ndipo mhudumu mmoja akamwambia equation x yupo pale.
Bibie akamjibu, '' nimeshamuona ila leo nimekuja na wenzangu'', nami nikavunga kama vile sijamuona. Nikaendelea kupiga mvinyo taratibu.
Muda unavyozidi kwenda, bibie akawa anazidi kulewa zaidi kutokana na mawazo, pia akawa anacheza mziki katika mazingira ya kumshawishi mwanaume yeyote, ukichangia na chura aliyonayo.
Ilipofika majira ya saa nane usiku, ndipo nilipoamua kuchukua ujasiri wa kiume na kunyanyuka nilipokuwa nimekaa na kumfuata nyuma bila yeye kujua.
Baada ya kumfikia nikashika rasta zake kwa ubunifu wa hali ya juu; alihisi kama mwili umepigwa ganzi na vinyweleo vya mwili wake kusimama.
Alipogeuka, akakutana na sura yangu; alichokifanya ni kunikumbatia na kuanza kubadilishana ndimi huku akilia.
Ndipo nikamwambia, ''the man is back''; hapo alianza kulia zaidi huku tukiwa tumekumbatiana.
Baada ya muda tukatoka naye kidogo, angalau kwenda kumchangamsha kidogo ili awe sawa.
Baada ya kama dakika 45 tukawa tumerudi na kuendelea na mitungi pamoja na kucheza mziki.
Kwa sasa tupo pamoja, ni shoo shoo tu.
Kwa pigo ulizopiga ni hatari; kwa nje utaona jumba bovu ila ukiingia ndani ni kama uko kenye kasri la mfalmeKwanin tena
sikutaka nipigiwe mbinja njiani bwan,, ningefka nmechafukaKwa pigo ulizopiga ni hatari; kwa nje utaona jumba bovu ila ukiingia ndani ni kama uko kenye kasri la mfalme
Safi kijana, hamkuchangamsha damu ?''the man is back'';
Haya ingia ndani kwa vinywaji 😀sikutaka nipigiwe mbinja njiani bwan,, ningefka nmechafuka
Ilibidi iwe hivyoSafi kijana, hamkuchangamsha damu ?
Nilikuwa nasubiri hiko kipande, kielezee kwa ustadi wa hali ya juu tafadhaliIlibidi iwe hivyo
ShwaaaaHaya ingia ndani kwa vinywaji 😀