Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

"Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita."


Mkuu hayo maelezo hapo yana kiuchachu fulani hivi.
kivipi?? Maana yake ni kuwa huo mwanga unaofika leo duniani ulisafiri kwa takribani miaka billion 4.5 ndo umefika leo duniani. Hata unapoliangalia jua, sio kwamba ndiyo liko hivyo unapoliangalia, Lilikuwa hivyo dakika 8 zilizopita..Mwanga ndo umefika duniani hapa baaada ya dakika 8
 
4.5 billion light years ni parefu sana swali kwako ni je wamewezaje kuona huo mwanga wake? Na je hiyo teknolojia haiwezi kuongezwa zaidi ili kuzoom kilichopo ndani yake?
mwanga umefika duniani. kumbuka mwanga unasafiri, ndomaaana wameweza kuona.
Hiyo teknology ya kuzoom bado haijagunduliwa.
Kwenye picha kama hizo, distance kutoka Dot moja ya kanyota/galaxy kwenda dot nyingine ya karibu inaweza kuwa ni mamillioni ya lightyears. (Yaani umbali ambao mwanga utasafiri kwa mamilioni ya miaka) Kumbuka kwa sekunde moja mwanga unaweza kuizunguka dunia mara 8.

Sasa kama teknolojia ya kuzoom kutoka Dar-Moro hatuna, sembuse hiyo??

Labda itakuja kuwezekana miaka billioni mbili ijayo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani huyo kweli bi wale dunia ni tambarare
 
Mzee baba naona ntapoteza muda. Unajua hesabu za ellipse. Orbit sio circual but elliptical na kupata hizi facts na mathematical proven ni simple Google mathematics explanation ya hizo distance utagundua tuu
 
Mwambie tuu kutoka duniani kwenda mars ni safari ya miezi 6[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au solar system tuu mpaka next star ni 5 light year [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] galaxy yetu na Andromeda ni 2m light year [emoji23][emoji23][emoji23]
 
tatizo letu kila kitu tunaleta masihara, ndio maana tunaishia kula na kuhonga, huwa hatupendi kushughulisha akili zetu kufikiria na kuongea mambo yenye tija.
 
😀 Kwenye galaxy yetu hapahapa tu, kutoka upande mmoja kwenda mwingine (diammeter) mwanga unatumia miaka laki 1 😀 😀
 
N
Ina mashaka na upishi wao
 
Gud info
 
Boss hii sio business adminstration ....ukaelewa unavyotaka wew ndo maana 1+1=2 na sio 11 was science ndo ilivyoo
 
Asante mkuu kwa kunielewa

Albert Einstein "l anasema kwamba "If you can't explain it to a six year old, you don't understand it yourself." Concept ya light year ni very complicated.
 
Nazijua vizuri mno, kwani hakuna mzunguko katika Ellipse ? Jibu upo. Sasa hoja yako iko wapi hapo ?
? naona ntapoteza muda. Unajua hesabu za ellipse. Orbit sio circual but elliptical na kupata hizi facts na mathematical proven ni simple Google mathematics explanation ya hizo distance utagundua tuu
Maana yake katika Orbit hakuna starting point ? Sijaona hoja yako iko

Hakun aMathematical Proven kwenye sehemu ambayo ndani yake kuna "Assumptions" zaidi ya makubaliano ya Wanamahesabu.

Jitahidini haya mnayo yasoma muyajue na mtupe majibu, siyo kutuambie twende google, elimu ni ile ambayo ipo kifuani mwako.
 
Boss hii sio business adminstration ....ukaelewa unavyotaka wew ndo maana 1+1=2 na sio 11 was science ndo ilivyoo
Hoja yako iko wapi hapo sasa. 1+1=2 huu ni uhalisia na haiwezi kuwa 11. Sasa hesabu za Anga zinaleta 1+1=11 na siyo 2 tena, yaani zina assumptions nyingi, sababu nyinyi bado watoto katika kuhoji na kufikiri na kuujua ukweli wa Sayansi hasa ya anga, siku mkijua kwanini kuna "Assumptions" katika nadharia zao na hesabu zao, mtajiona wajinga msio faa hata kupigiwa mfano.
 
Assumptions kama za yule mtu aliyeenda mbingu ya saba kwa farasi mweny mabawa na ukaamini ni kweli. Kama hili unaliamini bila uhalisia wowote tena bila kuhoji ni umbali gani hadi huko mbingu ya saba while unapinga umbali unaosafiri mwanga wa jua hadi duniani huku ukidai uthibitisho kabisa
Unaweza kuwa ndio mtu mjinga kabisa ambae umewahi kutokea humu
 
Hii tarifa nilikuwa naangalia live sky news walikuwa live kwenye NASA HQ daah nimevutiwa sana na lecture iliyokuwa inatolewa pale gafla na mimi nikatamani kuwa astronomer [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pale kuna wamama wawili walikuwa wanaeleza hadi raha sana. Akaja na Chairman wa NASA naye yuko simple ukimuona na anavyoongea
 
na kwa nini uamini ni uongo wakati NASA na mashirika mengine yapo unaweza kwenda kujiridhisha, acheni ushamba basi fatilieni mambo, hao watu unaosema huwaamini ndio wamekutengenezea hadi hio simu ambayo haina wire wala connector na unaweza mpigia mtu hata alieko China na Marekani
 
Nakufatilia sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…