Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

Hatimaye picha kutoka James Web telescope zimetolewa rasmi kwa umma

Daah mwenzenu nawaza sana kama JWST itatoboa miaka 20 ambayo inatakiwa kuwa operational. Kwani imeshatobolewa na microkimondo huko anga za majuu na leo NASA wametoa picha ya assessment of impact. Daa sijui niwapatie ushauri gani kuzuia tukio kama hili kujirudia, maana katika hesabu zao hawakupigia kukutana na that size ya microkimondo. Ni changamoto sana 10 billion USD.

Hii picha kushoto is new and right is damaged mirror segment.
 
Leo tarehe 12/7/2022 ni siku muhimu sana kwa wapenzi wa space exploration.

Furaha hii inachangiwa na NASA wakishirikiana na agencies wengine kuweza kutoa rasmi picha na tafiti za kwanza kabisa kutoka katika darubini 🔭 ya JWST.

Kabla ya kuendelea ningependa kushare na wewe msemo huu kuwa ili civilization yoyote iweze ku survive ina wajibu wa kuwekeza kwenye space exploration.

Kwa kulijua hilo kazi hii ya kipekee ya NASA imekuja na majibu ya kuvutia na kuweza kuisaidia tasnia ya Astronomy.

Picha za kwanza za JWST zilizotoka ni

SMACS 0723
View attachment 2288405
Hii ni picha ya kwanza kabisa ambayo inaonyesha eneo la mbali zaidi kabisa kuweza kuonekana na binadamu.

Picha hii inaitwa Web first deep field.

Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.

The NASA/ESA/CSA James Webb Space Telescope has produced the deepest and sharpest infrared image of the distant Universe to date. Known as Webb’s First Deep Field, this image of galaxy cluster SMACS 0723 is overflowing with detail.

SMACS 0723: Webb has delivered the deepest and sharpest infrared image of the distant universe so far – and in only 12.5 hours. For a person standing on Earth looking up, the field of view for this new image, a color composite of multiple exposures each about two hours long, is approximately the size of a grain of sand held at arm’s length.

This deep field uses a lensing galaxy cluster to find some of the most distant galaxies ever detected. This image only scratches the surface of Webb’s capabilities in studying deep fields and tracing galaxies back to the beginning of cosmic time.

Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc.
Early Universe

WASP-96b (spectrum):
View attachment 2288410
A transmission spectrum made from a single observation using Webb’s Near-Infrared Imager and Slitless Spectrograph (NIRISS) reveals atmospheric characteristics of the hot gas giant exoplanet WASP-96 b. ILLUSTRATION: NASA, ESA, CSA, STScI.

James Web Space Telescope imetuletea details za hii exoplanet na imetuonyesha kuwa anga lake lina H20 yaani lina maji. Hii tafiti inataka kutupa majibu kuwa kuna uwezekano wa uhai katika exoplanet hii?

Tafiti za mwanzo hatukuweza kuona mawingu na aina ya anga hewa la exoplanet hii lakini sasa tumeweza kuona na kujifunza zaidi kuhusu exoplanet hii iliyoko umbali wa zaidi ya 1000 light years away.

James web Telescope inaenda kutafiti uwepo wa sayari zenye sifa kama dunia yetu. Na kazi ya kwanza ndo hiyo imeanza.

Southern Ring Nebula:
View attachment 2288414

This side-by-side comparison shows observations of the Southern Ring Nebula in near-infrared light, at left, and mid-infrared light, at right, from NASA’s Webb Telescope. IMAGE: NASA, ESA, CSA, STScI

JWST Imetupa nafasi ya kuweza kuona namna ambavyo nyota zinavyokufa polepole.

Southern Ring Nebula:

This planetary nebula, an expanding cloud of gas that surrounds a dying star, is approximately 2,000 light years away. Here, Webb’s powerful infrared eyes bring a second dying star into full view for the first time. From birth to death as a planetary nebula, Webb can explore the expelling shells of dust and gas of aging stars that may one day become a new star or planet.
Webb: Southern Ring Nebula comes into full view – Astronomy Now

Stephan’s Quintet:
View attachment 2288510

Hili ni kundi la galaxy 5 kuwahi kuonekana na sayansi ya bindamu. Webb imetusaidia kuweza kuliona karibu na kutupa nafasi ya kujifunza. Kupitia Stephans Quintet tutaweza kujifunza namna interaction ya galaxies inavyokuwa na ilileta impact gani cosmically kwenye formaton of early universe.

Webb’s view of this compact group of galaxies, located in the constellation Pegasus, pierced through the shroud of dust surrounding the center of one galaxy, to reveal the velocity and composition of the gas near its supermassive black hole. Now, scientists can get a rare look, in unprecedented detail, at how interacting galaxies are triggering star formation in each other and how the gas in these galaxies is being disturbed.

Pembeni ya Stephan’s Quintet WEBBS imeweza kutuonesha uwepo wa black hole yenye mass ya 24 million equivalent to our sun mass.

Carina Nebula: Webb’s look at the ‘Cosmic Cliffs’ in the Carina Nebula unveils the earliest, rapid phases of star formation that were previously hidden. Looking at this star-forming region in the southern constellation Carina, as well as others like it, Webb can see newly forming stars and study the gas and dust that made them.
View attachment 2288416
Carina Nebula hapa ndipo ambapo nyota huumbwa. Webbs imeweza kutupatia picha kutoka katika eneo hili umbali wa miaka 7200 ya speed ya mwanga.
Kupitia ujifunzaji wa eneo hili tutaweza kufahamu namna ambavyo nyota zinavyokuwa formed.

Mada nyingine zilizoandaliwa na mwandishi mimi ni
James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani | JamiiForums James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

wanachonifurahisha wakienda wakati wa kurudi huwa wanaenda kuchukuliwa na Mrusi.
 
Leo tarehe 12/7/2022 ni siku muhimu sana kwa wapenzi wa space exploration.

Furaha hii inachangiwa na NASA wakishirikiana na agencies wengine kuweza kutoa rasmi picha na tafiti za kwanza kabisa kutoka katika darubini 🔭 ya JWST.

Kabla ya kuendelea ningependa kushare na wewe msemo huu kuwa ili civilization yoyote iweze ku survive ina wajibu wa kuwekeza kwenye space exploration.

Kwa kulijua hilo kazi hii ya kipekee ya NASA imekuja na majibu ya kuvutia na kuweza kuisaidia tasnia ya Astronomy.

Picha za kwanza za JWST zilizotoka ni

SMACS 0723
View attachment 2288405
Hii ni picha ya kwanza kabisa ambayo inaonyesha eneo la mbali zaidi kabisa kuweza kuonekana na binadamu.

Picha hii inaitwa Web first deep field.

Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.

The NASA/ESA/CSA James Webb Space Telescope has produced the deepest and sharpest infrared image of the distant Universe to date. Known as Webb’s First Deep Field, this image of galaxy cluster SMACS 0723 is overflowing with detail.

SMACS 0723: Webb has delivered the deepest and sharpest infrared image of the distant universe so far – and in only 12.5 hours. For a person standing on Earth looking up, the field of view for this new image, a color composite of multiple exposures each about two hours long, is approximately the size of a grain of sand held at arm’s length.

This deep field uses a lensing galaxy cluster to find some of the most distant galaxies ever detected. This image only scratches the surface of Webb’s capabilities in studying deep fields and tracing galaxies back to the beginning of cosmic time.

Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc.
Early Universe

WASP-96b (spectrum):
View attachment 2288410
A transmission spectrum made from a single observation using Webb’s Near-Infrared Imager and Slitless Spectrograph (NIRISS) reveals atmospheric characteristics of the hot gas giant exoplanet WASP-96 b. ILLUSTRATION: NASA, ESA, CSA, STScI.

James Web Space Telescope imetuletea details za hii exoplanet na imetuonyesha kuwa anga lake lina H20 yaani lina maji. Hii tafiti inataka kutupa majibu kuwa kuna uwezekano wa uhai katika exoplanet hii?

Tafiti za mwanzo hatukuweza kuona mawingu na aina ya anga hewa la exoplanet hii lakini sasa tumeweza kuona na kujifunza zaidi kuhusu exoplanet hii iliyoko umbali wa zaidi ya 1000 light years away.

James web Telescope inaenda kutafiti uwepo wa sayari zenye sifa kama dunia yetu. Na kazi ya kwanza ndo hiyo imeanza.

Southern Ring Nebula:
View attachment 2288414

This side-by-side comparison shows observations of the Southern Ring Nebula in near-infrared light, at left, and mid-infrared light, at right, from NASA’s Webb Telescope. IMAGE: NASA, ESA, CSA, STScI

JWST Imetupa nafasi ya kuweza kuona namna ambavyo nyota zinavyokufa polepole.

Southern Ring Nebula:

This planetary nebula, an expanding cloud of gas that surrounds a dying star, is approximately 2,000 light years away. Here, Webb’s powerful infrared eyes bring a second dying star into full view for the first time. From birth to death as a planetary nebula, Webb can explore the expelling shells of dust and gas of aging stars that may one day become a new star or planet.
Webb: Southern Ring Nebula comes into full view – Astronomy Now

Stephan’s Quintet:
View attachment 2288510

Hili ni kundi la galaxy 5 kuwahi kuonekana na sayansi ya bindamu. Webb imetusaidia kuweza kuliona karibu na kutupa nafasi ya kujifunza. Kupitia Stephans Quintet tutaweza kujifunza namna interaction ya galaxies inavyokuwa na ilileta impact gani cosmically kwenye formaton of early universe.

Webb’s view of this compact group of galaxies, located in the constellation Pegasus, pierced through the shroud of dust surrounding the center of one galaxy, to reveal the velocity and composition of the gas near its supermassive black hole. Now, scientists can get a rare look, in unprecedented detail, at how interacting galaxies are triggering star formation in each other and how the gas in these galaxies is being disturbed.

Pembeni ya Stephan’s Quintet WEBBS imeweza kutuonesha uwepo wa black hole yenye mass ya 24 million equivalent to our sun mass.

Carina Nebula: Webb’s look at the ‘Cosmic Cliffs’ in the Carina Nebula unveils the earliest, rapid phases of star formation that were previously hidden. Looking at this star-forming region in the southern constellation Carina, as well as others like it, Webb can see newly forming stars and study the gas and dust that made them.
View attachment 2288416
Carina Nebula hapa ndipo ambapo nyota huumbwa. Webbs imeweza kutupatia picha kutoka katika eneo hili umbali wa miaka 7200 ya speed ya mwanga.
Kupitia ujifunzaji wa eneo hili tutaweza kufahamu namna ambavyo nyota zinavyokuwa formed.

Mada nyingine zilizoandaliwa na mwandishi mimi ni
James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani | JamiiForums James Web Telescope: Darubini kali kwa ajili ya kutazama anga la mbali yaondoka rasmi duniani

Mimi huwa najiuliza hivi mnawezaje kutofautisha hizi picha na picha za kutengeneza ? Yaani mnajuaje kama hizi ni picha halisi na siyo za kutengeneza ? Au huwa mnapenda kuona kuliko kujadili ?
 
speed ya mwanga ni 3x10^8
Hivi hii speed ilipimwaje mpaka ikapatikana hii thamani ?
Sasa ukiambiwa galaxy ipo 4.5 billion light years, maana yake ile mwanga tunaouona hapa kuwakilisha hio galaxy mwanga huo ulitoka kwenye galaxy hio miaka billion 4.5 iliyopita. Kwahio ukitaka kujua umbali chukua miaka hio zidisha kwa speed ya mwanga, ambayo ni 3x10 ^8 huo ndio utakua umbali kwa mita au klm.
Hii miaka billion 4.5 waliijuaje ? Naomba ufafanuzi kidogo nipate kuelewa.
 
Sayansi raha sana!
Shida ya Sayansi ipo katika kukufanya uujue ukweli au kukupeleka katika kuujua ukweli, hapa ndipo kuna mauza uza ya Sayansi.

Maana imewasilishwa, sijaona hata mmoja akihoji kuhusu au juu ya ukweli wa hizo habari. Lakini kwa maendeleo ya sasa katika usawirishaji wa mambo watu kutengeneza picha kama hizo wanaweza sana. Sasa tunapoletewa habari kama hizi watu wanatakiwa waumize akili na kufikiri na kuhoji, kinyume na hapo tutishi miaka yote tukiamini mambo ya uongo na uzandiki tu.
 
Katika picha hii unaweza kuona maelfu ya galaxy yakiwa umbali wa 4.5 billion light years away. Yaani tunaona leo hizo galaxy jinsi zilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
Camera iliyotumika kupata hii picha inaitwa Web near infrared camera.
Hapa sijakuelewa mtoa mada, ufafanuzi tafadhali. Hapo zinavyo onekana ndiyo ndivyo zilivyokuwa miaka 4.5billion sasa nikitaka kuona zilivyo leo hii nafanyaje au nasubiri tena miaka 4.5billion ijayo ?

Lakini jambo hili linawezekana vipi ? Kwa hiki ulichokiandika.
Picha hii na taarifa zote zinazokisanywa zinaenda kutusaidia kutupa majibu ya maswali kuhusu mwanzo wa ulimwengu huu. Namna galaxy zilivyokuwa formed etc.
Early Universe
Hili linawezekana vipi ? Hivi mfano wewe ukitaka kujua miaka 300 hali ilivyo kuwa ni lazima utumie hiki kifaa au upate taarifa kutoka kwenye the "Primary Source" ?

Hapa akili zetu zinatakiwa zitumike vizuri. Yaani unawezaje kujua hali ya dunia kutokea au kuwepo pasi na kuwa na taarifa za walio shuhudia tukio hilo ?

Wanasayansi kuna muda wanakuwa hawaeleweki kabisa, au mimi ndiyo siwaelewi ?
 
Wale jamaa wa Mudi wanakuja muda c mrefu kupinga na vipedo vyao
Nipo hapa tayari. Siyo tunapinga bali tuna hoji ili tuujue ukweli, sababu hizi zama zina uongo mwingi kuliko ukweli na watu si wenye kuhoji bali wanapenda kuona kuliko kuhoji na kujadili.

Kwa zama zilizo fika hasa kwa kutumia picha ni ngumu sana kuujua ukweli mpaka watu wasogee mbele zaidi katika kuhoji na kutafakari.

Yaani kwa picha hizo kutumika kama ushahidi kwa mtu makini ni ngumu sana, sababu hizo picha watu wenfi wa graphics au wajuzi wa graphics wanatengeneza sana backgrounds na Walla paper za hivyo. Sasa umakini unatakiwa sana.

Sasa kama kichwa chako au akili yako huishughulishi utabeba kila unachokisikia.
 
Mimi huwa najiuliza hivi mnawezaje kutofautisha hizi picha na picha za kutengeneza ? Yaani mnajuaje kama hizi ni picha halisi na siyo za kutengeneza ? Au huwa mnapenda kuona kuliko kujadili ?
Ni kweli mkuu hizi picha ni za kutengenezwa na kamera za "Infrared Camera" ambapo jicho la binadamu haliwezi kuona miale(electromagnetic) ya kiwango cha Infrared..
Halafu zinatengenezwa kwa kufuata sensor za rangi tatu zilizo katika retina ya jicho yaani Nyekundu(Red), Kijani(Green) na Bluu(Blue) ili kuwezesha jicho la binadamu kuona kama vile lingekuwa na uwezo wa kuona miale ya "Infrared"... 🙃
 
Yawezkana pia mbingu ikawa ipo katika moja wapo ya galaxies zainazo exist.

Japo concept yako ya limitations ya physical body ina make sense kiasi.
Yaan una maanisha Mungu Baba wa majeshi akawa yupo kwenye moja ya hizo galaxies?
 
Mimi huwa najiuliza hivi mnawezaje kutofautisha hizi picha na picha za kutengeneza ? Yaani mnajuaje kama hizi ni picha halisi na siyo za kutengeneza ? Au huwa mnapenda kuona kuliko kujadili ?
Picha zinazotumwa na Jwst huwa zinafanyiwa color coloration ili ziweze kuwa visible katika macho yetu.

Kwa sababu details za picha hizi zinachukuliwa katika midrange infrared. Ambayo macho ya bianadamu hayawezi kuona.

 
Mkuu ipo hivi, ili ww uweze kuona ni lazima mwanga wa kitu unachokusudia kukiona ukufikie na kutua kwenye retina ya jicho lako. Kwahio kitu kikiwa karibu, macho yako yatakiona ndani ya muda mfupi zaidi.

Na speed ya mwanga ni 3x10^8

Hii ni speed kubwa sana, mpka sasa hakuna kitu kingine chenye speed kubwa kushinda mwanga (light)

Sasa ukiambiwa galaxy ipo 4.5 billion light years, maana yake ile mwanga tunaouona hapa kuwakilisha hio galaxy mwanga huo ulitoka kwenye galaxy hio miaka billion 4.5 iliyopita. Kwahio ukitaka kujua umbali chukua miaka hio zidisha kwa speed ya mwanga, ambayo ni 3x10 ^8 huo ndio utakua umbali kwa mita au klm.

Asante. [emoji120]
Inashangaza!
 
Hivi hii speed ilipimwaje mpaka ikapatikana hii thamani ?

Hii miaka billion 4.5 waliijuaje ? Naomba ufafanuzi kidogo nipate kuelewa.
Soma hapa




Miaka billion 4.5 iko hivi hiyo picha ya smacs. Ulimwengu unatanuka kwa speed kali sana. Sasa huo mwanga ulioweza ku be captured na JWST ulitoka katika hilo eneo miaka 4.5 iliyopita kwa maana hiyo ni kwamba hapo unatazama hilo eneo lilivyokuwa miaka billion 4.5 iliyopita.
 
Shida ya Sayansi ipo katika kukufanya uujue ukweli au kukupeleka katika kuujua ukweli, hapa ndipo kuna mauza uza ya Sayansi.

Maana imewasilishwa, sijaona hata mmoja akihoji kuhusu au juu ya ukweli wa hizo habari. Lakini kwa maendeleo ya sasa katika usawirishaji wa mambo watu kutengeneza picha kama hizo wanaweza sana. Sasa tunapoletewa habari kama hizi watu wanatakiwa waumize akili na kufikiri na kuhoji, kinyume na hapo tutishi miaka yote tukiamini mambo ya uongo na uzandiki tu.

Kisai asante kwa comment yako.
Space exploration ni suala linafanyiwa kazi na matawi ya sayansi ya cosmology na Astronomy. Hizi branch of knowledge ambazo ni tata kweli kweli.
Kwa bahati nzuri kwa sababu ya maendeleo ya ICT tuna uwezo wa kupata elimu juu ya cosmology na Astronomy japo basic tu.

Picha hizi zilipotolewa ufafanuzi wake ulitolewa live on the spot.
Pia mijadala mbalimbali inafanyika katika sehemu mbalimbali mtandaoni na katika TV.

Ndo maana hata hapa jamii forum kuna mijadala ya kina juu ya kazi hii ya kipekee ya bianadamu.

PIA NASA wao wanatoa ufafanuzi wa kina katika media zao. So kama una swali lolote juu ya picha hizi majibu yake yako mtandaoni.

Na bahati nzuri hizi picha zilishachukuliwa pia na vyombo vingine vya space exploration so siyo kitu kipya sana kwa wafuatiliaji wa hizi mambo.
 
Back
Top Bottom