Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Rais wa Urusi Vladimir Putin amehutubia Taifa lake kwa mara nyingine leo akitoa msimamo kuhusu shambulizi la kigaidi lililoua zaidi ya Watu 130 Crocus City Hall ambapo amesema ni kweli Waislamu wenye itikadi kali wamehusika na shambulio kama Marekani na Washirika wake wanavyosema lakini Putin amesema bado kuna maswali mengi ya kujiuliza ili kumjua aliyewatuma Wahalifu hao, moja ya swali hilo likiwa ‘inawezekanaje Waislamu wa kweli wakaua Watu ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani!!”.

Putin amenukuliwa akisema “Huu uhalifu umefanywa na Waislamu wenye msimamo mkali , Marekani wanatumia hii fursa kujaribu kwa makusudi kuficha ukweli kuhusu wanaohusika na shambulizi na wanasema ISIS ndio wanahusika moja kwa moja na shambulizi lakini tunajua ambaye amepanga na kutekeleza shambulizi lakini tunachotamani kwa sasa ni kumjua aliyewatuma na kutoa amri wafanye shambulizi”

“Vyombo vyetu vya uchunguzi na vya kisheria vinatakiwa kujiuliza na kupata majibu ya maswali mengi ikiwemo kwamba ‘inawezekanaje?, Waislamu wenye msimamo mkali ambao wanajinasibu kuwa ni Waislamu wa kweli wanawezaje kufanya dhambi kubwa kama ile ya kuua Watu ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan!?’, swali hili na mengine ya kitaalamu yatasaidia kwenye uchunguzi wa shambulizi hili na tutapata majibu, tutajua nani ananufaika na shambulizi lile”

“Shambulizi hili linaweza kuwa lina mahusiano ya karibu kabisa na Mataifa/Watu ambao wanaipiga vita Urusi tangu kwaka 2014, maumivu ambayo wote tunayahisi na hamu tuliyonayo ya kumuadhibu kila aliyehusika tunatakiwa kuhakikisha uchunguzi unafanyika kwa viwango vya juu vya kitaalamu bila kumuonea Mtu au kuegemea upande wowote kwa sababu za kisiasa”

Huyu Putin🤣

Haya maneo ya kishogoa sijui hatimaye sijui kiana ni yenu eti unamuuliza maswali Putin nimecheka sana..
 
Lile ni shambulio la kigaidi na limefanywa na magaidi wa ISIS, kila kitu kiko wazi ikiwemo ISIS wenyewe kukiri mapema sana.
Na sote tunajua wafadhili wa ISIS ni kina nani, Putin anzia Iran, njoo Syria, kisha pita Yemen na mwisho malizia Palestina.
Usimpangie Putin cha kufanya yeye anaanzia magaidi walipokuwa wanakimbilia baada ya tukio wamenasa mawasiliano muacheni Putin afanye kazi yake.
 
Nioneshe mwanamke mmoja Tu wa kikristo aliyesilimu Kwa ajili ya kuolewa na mwanaume fukara wa kiislamu.

Mara zote mwanamke anasilimu Kwa sababu za kiuchumi au kulewa penzi na siyo sababu za kiimani, hapa ndipo dini hii ilipoingizwa mkenge, wanawake wote waliosilimu wakiacha au hao waliowasikimisha kufa urudi kwenye dini zao za awali, ushshidi upo mwingi tu.
Naona umeamua kujifariji na kujiliwaza 🤣🤣🤣🤣
 
Mfadhili ni haya maandiko, ndio yamesababisha uzombi dunia hii

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Tunaweza kuwalaumu sana hawa ^watoto wa mamdogo,^ lakini ukichunguza kwa kina utagundua kwamba tabia yao hii ya kueneza, kuimarisha na kulinda imani yao kwa upanga walijifunza kwa Wakotoliki.

Nani asiyejua kwamba Ukatoliki ndio ilikuwa dini ya dunia nzima enzi za Mfalme Konstantini wa Dola ya Rumi?

Baada ya kuweka mamlaka ya ufalme chini ya mikono yao, Ukatoliki ukaanzisha harakati za kujitanua kidini na kueneza imani yake kwa watu wote kwa lazima.

Wakristo wa kweli na wapagani—wote walishurutika ama kuupokea ushirikina wa Kikatoliki au kuuawa.

Nani asiyejua ukatili wa kutisha uliofanywa na Ukatoliki katika zama za giza?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki uliwateketeza kwa moto na upanga na mateso mamilioni ya wale waliokuwa wakifuata mafundisho halisi ya Kristu kwa mujibu wa Biblia?

Nani asiyejua kwamba Papa John Paulo II aliomba radhi dunia kwa ajili ya mauaji na ukatili uliofanywa na Ukatoliki enzi hizo?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki ulipiga marufuku Biblia isisomwe wala kufundishwa, isipokuwa kwa idhini yake, huku ikiweka mwongozo kuhusu masomo gani yafundishwe na kwa namna gani?

Kwa kisingizio cha kumtetea Kristu, Ukatoliki ulikuwa ukiwaangamiza wafuasi wa Kristu!

Ni wapi ambapo Bwana Yesu alifundisha kwamba imani ienezwe kwa njia ya upanga? Au ushurutishaji?

Angalia namna Yesu alivyofundishwa:

^Bwana… akawatuma… kwenda kila mji na kila mahali… [Akawaambia,] Enendeni, angalieni, nawatuma kama wanakondoo kati ya mbwamwitu….

Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu; na akiwemo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; la, hayumo, amani yenu itarudi kwenu…

Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha,… waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.

Na mji wowote mtakaouingia, nao hawawakaribishi, tokeni humo.^ Luka 10:1-10.

Ni wazi kwamba mfumo wa uenezaji imani ya Ukatoliki hautokani na Biblia kama alivyofundisha Kristu, bali hutokana na yule muuaji wa roho za watu—Ibilisi mwenyewe!

Si ajabu historia inaonesha kwamba kuna uhusiano wa karibu kati ya Ukatoliki na Uislamu. Kimsingi, Uislamu ni zao la Ukatoliki!
 
Tunaweza kuwalaumu sana hawa ^watoto wa mamdogo,^ lakini ukichunguza kwa kina utagundua kwamba tabia yao hii ya kueneza, kuimarisha na kulinda imani yao kwa upanga walijifunza kwa Wakotoliki.

Nani asiyejua kwamba Ukatoliki ndio ilikuwa dini ya dunia nzima enzi za Mfalme Konstantini wa Dola ya Rumi?

Baada ya kuweka mamlaka ya ufalme chini ya mikono yao, Ukatoliki ukaanzisha harakati za kujitanua kidini na kueneza imani yake kwa watu wote kwa lazima.

Wakristo wa kweli na wapagani—wote walishurutika ama kuupokea ushirikina wa Kikatoliki au kuuawa.

Nani asiyejua ukatili wa kutisha uliofanywa na Ukatoliki katika zama za giza?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki uliwateketeza kwa moto na upanga na mateso mamilioni ya wale waliokuwa wakifuata mafundisho halisi ya Kristu kwa mujibu wa Biblia?

Nani asiyejua kwamba Papa John Paulo II aliomba radhi dunia kwa ajili ya mauaji na ukatili uliofanywa na Ukatoliki enzi hizo?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki ulipiga marufuku Biblia isisomwe wala kufundishwa, isipokuwa kwa idhini yake, huku ikiweka mwongozo kuhusu masomo gani yafundishwe na kwa namna gani?

Kwa kisingizio cha kumtetea Kristu, Ukatoliki ulikuwa ukiwaangamiza wafuasi wa Kristu! Ni wapi ambapo Yesu alifundisha kwamba imani ienezwe kwa njia ya upanga? Au ushurutishaji?

Angalia namna Yesu alivyofundishwa:

^Bwana… akawatuma… kwenda kila mji na kila mahali… [Akawaambia,] Enendeni, angalieni, nawatuma kama wanakondoo kati ya mbwamwitu….

Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu; na akiwemo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; la, hayumo, amani yenu itarudi kwenu…

Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha,… waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.

Na mji wowote mtakaouingia, nao hawawakaribishi, tokeni humo.^ Luka 10:1-10.

Ni wazi kwamba mfumo wa uenezaji imani ya Ukatoliki hautokani na Biblia kama alivyofundisha Kristu, bali hutokana na yule muuaji wa roho za watu—Ibilisi mwenyewe!

Si ajabu historia inaonesha kwamba kuna uhusiano wa karibu kati ya Ukatoliki na Uislamu. Kimsingi, Uislamu ni zao la Ukatoliki!
Shalom
Bwana Yesu kristo akubariki sana
 
Kafiri naona umechanganyikiwa. Dalili ya ugonjwa akili. Alikuwepo kafiri mkubwa lkn sasa amekufa ameuacha uislam unaenea na watoto wa kike wengi wakiristo wakisolimu kufata waume wa kiislam

Gaidi la Kiislamu vipi njaa ya huu mwezi kama inakutesa, japo huwa sio mfungo wa, kweli, huwa mnabadilisha muda wa misosi tu, unafakamia chakula saa kumi usiku kisha unaambia watu umefunga.
 
Mtoa mada una tatizo kubwa sana la chuki na waislamu. Sipati picha unaishi vipi na jamii hii huko uliko.
Mbaya zaidi ulikalilishwa chuki vibaya na kamwe huwezi kujifunza ingawa una mengi ya kujifunza

Hakuna anayechukia Waislamu, ila vituko vyenu ndio chukizo, hamtaki kuishi na binadamu wengine kwa amani...
 
Tunaweza kuwalaumu sana hawa ^watoto wa mamdogo,^ lakini ukichunguza kwa kina utagundua kwamba tabia yao hii ya kueneza, kuimarisha na kulinda imani yao kwa upanga walijifunza kwa Wakotoliki.

Nani asiyejua kwamba Ukatoliki ndio ilikuwa dini ya dunia nzima enzi za Mfalme Konstantini wa Dola ya Rumi?

Baada ya kuweka mamlaka ya ufalme chini ya mikono yao, Ukatoliki ukaanzisha harakati za kujitanua kidini na kueneza imani yake kwa watu wote kwa lazima.

Wakristo wa kweli na wapagani—wote walishurutika ama kuupokea ushirikina wa Kikatoliki au kuuawa.

Nani asiyejua ukatili wa kutisha uliofanywa na Ukatoliki katika zama za giza?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki uliwateketeza kwa moto na upanga na mateso mamilioni ya wale waliokuwa wakifuata mafundisho halisi ya Kristu kwa mujibu wa Biblia?

Nani asiyejua kwamba Papa John Paulo II aliomba radhi dunia kwa ajili ya mauaji na ukatili uliofanywa na Ukatoliki enzi hizo?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki ulipiga marufuku Biblia isisomwe wala kufundishwa, isipokuwa kwa idhini yake, huku ikiweka mwongozo kuhusu masomo gani yafundishwe na kwa namna gani?

Kwa kisingizio cha kumtetea Kristu, Ukatoliki ulikuwa ukiwaangamiza wafuasi wa Kristu! Ni wapi ambapo Yesu alifundisha kwamba imani ienezwe kwa njia ya upanga? Au ushurutishaji?

Angalia namna Yesu alivyofundishwa:

^Bwana… akawatuma… kwenda kila mji na kila mahali… [Akawaambia,] Enendeni, angalieni, nawatuma kama wanakondoo kati ya mbwamwitu….

Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu; na akiwemo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; la, hayumo, amani yenu itarudi kwenu…

Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha,… waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.

Na mji wowote mtakaouingia, nao hawawakaribishi, tokeni humo.^ Luka 10:1-10.

Ni wazi kwamba mfumo wa uenezaji imani ya Ukatoliki hautokani na Biblia kama alivyofundisha Kristu, bali hutokana na yule muuaji wa roho za watu—Ibilisi mwenyewe!

Si ajabu historia inaonesha kwamba kuna uhusiano wa karibu kati ya Ukatoliki na Uislamu. Kimsingi, Uislamu ni zao la Ukatoliki!

Sawa lakini leo hii Wakatoliki hawayafanyi hayo, Waislamu ndio wamebaki uwanjani wanaua watu.
 
Sawa lakini leo hii Wakatoliki hawayafanyi hayo, Waislamu ndio wamebaki uwanjani wanaua watu.
Usijidanganye!

Ukatoliki kamwe hauwezi kubadilika hata siku moja -- labda kuzidi kuwa mwovu zaidi, katili zaidi, na kukufuru zaidi.

Angalia hivi sasa ushoga unaenda kusimamiwa kwa dhati na kuenezwa kwa kasi sana kama haki mojawapo ya binadamu ulimwenguni kote chini ya hisani ya Mvatikano!

Hivi huoni mkono wa Ukatoliki kwenye sera, kanuni, utawala na sheria za nchi mbalimbali?

Hilo lenyewe linakwambia nini?

Mvatikano amehodhi karibu kila taasisi binafsi na ya umma, ndogo na kubwa, nyumbani na ughaibuni!

Asilimia kubwa ya watumishi husika wanatenda kazi kwa kutekeleza misingi na mipango ya Ukatoliki, kwa kujua ama kutojua!

Kama unadhani Ukatoliki umebadilika, tafakari tena!

^Yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua kwamba ana wakati mchache tu.^ ~Ufunuo 12:12
 
Rais wa Urusi Vladimir Putin amehutubia Taifa lake kwa mara nyingine leo akitoa msimamo kuhusu shambulizi la kigaidi lililoua zaidi ya Watu 130 Crocus City Hall ambapo amesema ni kweli Waislamu wenye itikadi kali wamehusika na shambulio kama Marekani na Washirika wake wanavyosema lakini Putin amesema bado kuna maswali mengi ya kujiuliza ili kumjua aliyewatuma Wahalifu hao, moja ya swali hilo likiwa ‘inawezekanaje Waislamu wa kweli wakaua Watu ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani!!”.

Putin amenukuliwa akisema “Huu uhalifu umefanywa na Waislamu wenye msimamo mkali , Marekani wanatumia hii fursa kujaribu kwa makusudi kuficha ukweli kuhusu wanaohusika na shambulizi na wanasema ISIS ndio wanahusika moja kwa moja na shambulizi lakini tunajua ambaye amepanga na kutekeleza shambulizi lakini tunachotamani kwa sasa ni kumjua aliyewatuma na kutoa amri wafanye shambulizi”

“Vyombo vyetu vya uchunguzi na vya kisheria vinatakiwa kujiuliza na kupata majibu ya maswali mengi ikiwemo kwamba ‘inawezekanaje?, Waislamu wenye msimamo mkali ambao wanajinasibu kuwa ni Waislamu wa kweli wanawezaje kufanya dhambi kubwa kama ile ya kuua Watu ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan!?’, swali hili na mengine ya kitaalamu yatasaidia kwenye uchunguzi wa shambulizi hili na tutapata majibu, tutajua nani ananufaika na shambulizi lile”

“Shambulizi hili linaweza kuwa lina mahusiano ya karibu kabisa na Mataifa/Watu ambao wanaipiga vita Urusi tangu kwaka 2014, maumivu ambayo wote tunayahisi na hamu tuliyonayo ya kumuadhibu kila aliyehusika tunatakiwa kuhakikisha uchunguzi unafanyika kwa viwango vya juu vya kitaalamu bila kumuonea Mtu au kuegemea upande wowote kwa sababu za kisiasa”

Huyu Putin🤣

Haya maneo ya kishogoa sijui hatimaye sijui kiana ni yenu eti unamuuliza maswali Putin nimecheka sana..
Ugaidi hufanywa na Waislamu wenye siasa kali kama yule Hamza dadeki

Wazungu huwanunua Waislamu wakawafanyie Ugaidi kwa sababu ndio wenye shughuli yao
 
Usijidanganye!

Ukatoliki kamwe hauwezi kubadilika hata siku moja -- labda kuzidi kuwa mwovu zaidi, katili zaidi, na kukufuru zaidi.

Angalia hivi sasa ushoga unaenda kusimamiwa kwa dhati na kuenezwa kwa kasi sana kama haki mojawapo ya binadamu ulimwenguni kote chini ya hisani ya Mvatikano!

Hivi huoni mkono wa Ukatoliki kwenye sera, kanuni, utawala na sheria za nchi mbalimbali?

Hilo lenyewe linakwambia nini?

Mvatikano amehodhi karibu kila taasisi binafsi na ya umma, ndogo na kubwa, nyumbani na ughaibuni!

Asilimia kubwa ya watumishi husika wanatenda kazi kwa kutekeleza misingi na mipango ya Ukatoliki, kwa kujua ama kutojua!

Kama unadhani Ukatoliki umebadilika, tafakari tena!

^Yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua kwamba ana wakati mchache tu.^ ~Ufunuo 12:12

Awali ya yote mimi sio mkatoliki na sipo hapa kuwatetea na ninachukia ushoga, na ninachukia sana kusikia Papa wa wakatoliki alikua radhi kukubali mashoga yabarikiwe, ila hata hivyo mgala mpige haki usimnyime, Wakatoliki hata kama waliua enzi zile, ila hawa wa leo hawana mauzombi na maugaidi kama waislamu, chochote wanachokifanya hawalazimishi mtu.
 
Ugaidi hufanywa na Waislamu wenye siasa kali kama yule Hamza dadeki

Wazungu huwanunua Waislamu wakawafanyie Ugaidi kwa sababu ndio wenye shughuli yao
Putiin ni mzungu anataka kuwajua hao wazungu waliowanunua Waislam kufanya ugaidi Urusi hapo ndiyo patamu kasema wazi hao waliowatuma atafanya adhabu ya wazi na dunia itasikitika 😂
 
Back
Top Bottom