Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Russia majeshi ya nchi mbili yanapigana, huku israel anapambana na raia wasiokuwa na silaha ambao wanadhulumiwa haki yao ya kujitawala kwa zaidi ya 75 years huku dunia ikikaa kimya
zile rocket unarushaga wewe ? kalio linakuwashaaa ?
 
Palestine wanacholilia ni kuondoa ubaguzi na wizi wa ardhi na unyanyasaji unaoendelea kila siku kimabavu , leo muisrael akilipenda eneo anakuja anawatoa wapalestina kimabavu na kuwapiga hizo si zama za stone age mkuu
ndan ya Israel wapalestina wanaish kwa amani ila west bank na Gaza wayaudi na jamii nyingine duniani haziez kuish

Nan mbaguz hapo ?

Muda si mref , hilo kalio linalowaha litapata dawa
 
Hapana haipo hivyo hata wazungu hao wamarekani wanajua nani mkorofi sema tu ndio maswala ya interest check comments za wamarekani leo baada ya hezbollah kurusha makombora israel
USA is a country for all with freedom of speech sio kama Gaza , ukikosoa Hamas unauawa

Hilo kalio linalowasha soon litapata mkunaji
 
dont talk about petition viongozi na wananchi wa mataifa yote makubwa hadi bwana trump kalaani vita hivi vya israel , nimekuwekea hapo chini comments za wamarekani wakiwashangaa israel na hizo habari za nchi tulipewa na mungu ni upuuzi ambao wajinga kama wa huku africq ndio wanasupport upumbavu huu
kwahiyo quran ni upuuz ?
 
Yaliyo fanywa na umoja wa kisovient ndio yamekaribia.
Tatizo la watanzania kusoma vitabu ni nadra sana.mnakumbuka yaliyo fanywa afghan na nchi zilizokuwa ndani ya sovient.
Faizafoxy na wafuwasi wake wapo kimya hawafahamu kazi Yao tu mashalaaa sijui za nini
 
Mzee wa fake newz.FSB wanasema wahusika ni Marekani, uingereza na Ukraine.

Wacha kuwa mjinga, waislamu wenyewe wa ISIS wamekiri, wewe na njaa zako hapo Buza unabishia? Kazi kuvaa dera/kanzu eti ufanane na muarabu.
 
Ukraine anahusika na lazima alipe gharama za kujihusisha katika mpango huo na mshirika wake wa upinde 🌈

Kwa hiyo Ukraine kawatumia Waislamu kufanya hayo mavitu, yaani mbona huwa mnatumika kirahisi hivi, msiwe mnajiongeza kwenye kutumia akili.
 
Kwani alikuwa amekataa?

Kuanzia mwanzo ilikuwa wazi kwamba hao jamaa ndio walifanya ugaidi wa mauaji.

Ndiyo maana alikuwa amesema kuna makundi 3:

1) Watekelezaji (waliokamatwa)

2) Wasaidizi, wachora-ramani na wawezeshaji -- wengine wamekamatiwa Urusi, wengine ni maafisa usalama wa Ukreni, na wengine ni wale ambao wangewapokea mpakani mwa Urusi na Ukreni

3) Wafadhili (hawa ndio chanzo cha tatizo)!

Mtekelezaji anaweza kuwa mtu yeyote kutoka nchi yoyote ile.

Pengine amefungamana na vikundi vingine vya kigaidi au ni mtu tu mwenye tamaa ya pesa ama mamluki.

Gaidi halisi hapa ni mfadhili wa tukio zima -- mfadhili wa fedha, taarifa za kijasusi na sababu kuu ya kuhalalisha tukio zima.

Ingawa bado hatujui taarifa kamili, adui mkuu wa Urusi ndiye mtuhumiwa namba moja katika hili.
Mtekelezaji anaweza kuwa hata mrusi. Suala ni kwamba anatafutwa boss aliyetoa amri.
 
Back
Top Bottom