dunia ipiYani na wewe ndio hovyo kabisa dunia nzima imemgeuka na kumdharau wewe ndio unasema watamuelewa acha ushabiki maandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dunia ipiYani na wewe ndio hovyo kabisa dunia nzima imemgeuka na kumdharau wewe ndio unasema watamuelewa acha ushabiki maandazi
zile rocket unarushaga wewe ? kalio linakuwashaaa ?Russia majeshi ya nchi mbili yanapigana, huku israel anapambana na raia wasiokuwa na silaha ambao wanadhulumiwa haki yao ya kujitawala kwa zaidi ya 75 years huku dunia ikikaa kimya
unajitetea kwa kumuua Mollel ? wewe sio bure kalio linakuwasha , unataka muarab akuweke dyudyuuuWanajaribu kujitetea mkuu hali wanayopitia sio ya kiubinaadamu hata ningekuwa mimi lazima nijitetee
ndan ya Israel wapalestina wanaish kwa amani ila west bank na Gaza wayaudi na jamii nyingine duniani haziez kuishPalestine wanacholilia ni kuondoa ubaguzi na wizi wa ardhi na unyanyasaji unaoendelea kila siku kimabavu , leo muisrael akilipenda eneo anakuja anawatoa wapalestina kimabavu na kuwapiga hizo si zama za stone age mkuu
kwann ameua ? usijitie uchiziNetanyahu ameua zaidi kuliko hao unaoita magaidi,
Anasahau yeye pia kafiriNdiyo inavyokuwa hivyo.
"Usitie, usitie."
Halafu "Tia, lakini tia kichwa tu".
Halafu "Weka yoote, nipe yooote".
Atakubali ukweli tu muda ukifika.
USA is a country for all with freedom of speech sio kama Gaza , ukikosoa Hamas unauawaHapana haipo hivyo hata wazungu hao wamarekani wanajua nani mkorofi sema tu ndio maswala ya interest check comments za wamarekani leo baada ya hezbollah kurusha makombora israel
mwaka wa pili huu , misukule huwa mtaji wa wenye akiliHao jamaa wameandaliwa na Ukraine na wenzake kinachofuatua zelisky na wenzake kuliwa vichwa.View attachment 2945319
kwahiyo quran ni upuuz ?dont talk about petition viongozi na wananchi wa mataifa yote makubwa hadi bwana trump kalaani vita hivi vya israel , nimekuwekea hapo chini comments za wamarekani wakiwashangaa israel na hizo habari za nchi tulipewa na mungu ni upuuzi ambao wajinga kama wa huku africq ndio wanasupport upumbavu huu
Kuwa verified twitter sio chanzo cha uhakika, hadi akina mwijaku ni verified huko.Acheni habari za uongo.hawa FSB wameshafanya uchunguzi na kujua hao magaidi ni kina naniView attachment 2945329
Hao jamaa wameandaliwa na Ukraine na wenzake kinachofuatua zelisky na wenzake kuliwa vichwa.View attachment 2945319
Ukraine anahusika na lazima alipe gharama za kujihusisha katika mpango huo na mshirika wake wa upinde 🌈
Mtekelezaji anaweza kuwa hata mrusi. Suala ni kwamba anatafutwa boss aliyetoa amri.Kwani alikuwa amekataa?
Kuanzia mwanzo ilikuwa wazi kwamba hao jamaa ndio walifanya ugaidi wa mauaji.
Ndiyo maana alikuwa amesema kuna makundi 3:
1) Watekelezaji (waliokamatwa)
2) Wasaidizi, wachora-ramani na wawezeshaji -- wengine wamekamatiwa Urusi, wengine ni maafisa usalama wa Ukreni, na wengine ni wale ambao wangewapokea mpakani mwa Urusi na Ukreni
3) Wafadhili (hawa ndio chanzo cha tatizo)!
Mtekelezaji anaweza kuwa mtu yeyote kutoka nchi yoyote ile.
Pengine amefungamana na vikundi vingine vya kigaidi au ni mtu tu mwenye tamaa ya pesa ama mamluki.
Gaidi halisi hapa ni mfadhili wa tukio zima -- mfadhili wa fedha, taarifa za kijasusi na sababu kuu ya kuhalalisha tukio zima.
Ingawa bado hatujui taarifa kamili, adui mkuu wa Urusi ndiye mtuhumiwa namba moja katika hili.