Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

Japo hana ushahidi wa uhusika wa Ukraine, ila asema shambulizi lilifanywa na magaidi wa kiislamu lakini anahisi kuna namna Ukraine ilihusika sehemu.........
Swali la msingi, Ukraine na waislamu wapi na wapi, yeye ndiye alianza kuchangamkia hao watu bila kujua ni mazombi ambayo hayaachi asili.
==========================

Russian President Vladimir Putin says for the first time that “radical Islamists” were behind last week’s attack on a concert hall outside Moscow but suggests Ukraine was also somehow involved.

Eleven people have been detained in connection with Friday’s attack, which saw camouflaged gunmen storm into Crocus City Hall, open fire on concert-goers and set the building ablaze, killing at least 137 people.
We ndina unapambana kupotosha
 

Attachments

  • Screenshot_20240326-182554~2.png
    Screenshot_20240326-182554~2.png
    235.6 KB · Views: 3
Lengo la Hamas ni kufuta dola ya Israeli
Hapana haipo hivyo hata wazungu hao wamarekani wanajua nani mkorofi sema tu ndio maswala ya interest check comments za wamarekani leo baada ya hezbollah kurusha makombora israel
 

Attachments

  • Screenshot_20240326-175303_Facebook.jpg
    Screenshot_20240326-175303_Facebook.jpg
    376.8 KB · Views: 3
Kwani alikuwa amekataa?

Kuanzia mwanzo ilikuwa wazi kwamba hao jamaa ndio walifanya ugaidi wa mauaji.

Ndiyo maana alikuwa amesema kuna makundi 3:

1) Watekelezaji (waliokamatwa)

2) Wasaidizi, wachora-ramani na wawezeshaji -- wengine wamekamatiwa Urusi, wengine ni maafisa usalama wa Ukreni, na wengine ni wale ambao wangewapokea mpakani mwa Urusi na Ukreni

3) Wafadhili (hawa ndio chanzo cha tatizo)!

Mtekelezaji anaweza kuwa mtu yeyote kutoka nchi yoyote ile.

Pengine amefungamana na vikundi vingine vya kigaidi au ni mtu tu mwenye tamaa ya pesa ama mamluki.

Gaidi halisi hapa ni mfadhili wa tukio zima -- mfadhili wa fedha, taarifa za kijasusi na sababu kuu ya kuhalalisha tukio zima.

Ingawa bado hatujui taarifa kamili, adui mkuu wa Urusi ndiye mtuhumiwa namba moja katika hili.
Ni sawa tu,maana adui wa adui yangu atakuwa tu rafiki yangu.
 
Japo hana ushahidi wa uhusika wa Ukraine, ila asema shambulizi lilifanywa na magaidi wa kiislamu lakini anahisi kuna namna Ukraine ilihusika sehemu.........
Swali la msingi, Ukraine na waislamu wapi na wapi, yeye ndiye alianza kuchangamkia hao watu bila kujua ni mazombi ambayo hayaachi asili.
==========================

Russian President Vladimir Putin says for the first time that “radical Islamists” were behind last week’s attack on a concert hall outside Moscow but suggests Ukraine was also somehow involved.

Eleven people have been detained in connection with Friday’s attack, which saw camouflaged gunmen storm into Crocus City Hall, open fire on concert-goers and set the building ablaze, killing at least 137 people.
Mzee wa fake newz.FSB wanasema wahusika ni Marekani, uingereza na Ukraine.
 
Japo hana ushahidi wa uhusika wa Ukraine, ila asema shambulizi lilifanywa na magaidi wa kiislamu lakini anahisi kuna namna Ukraine ilihusika sehemu.........
Swali la msingi, Ukraine na waislamu wapi na wapi, yeye ndiye alianza kuchangamkia hao watu bila kujua ni mazombi ambayo hayaachi asili.
==========================

Russian President Vladimir Putin says for the first time that “radical Islamists” were behind last week’s attack on a concert hall outside Moscow but suggests Ukraine was also somehow involved.

Eleven people have been detained in connection with Friday’s attack, which saw camouflaged gunmen storm into Crocus City Hall, open fire on concert-goers and set the building ablaze, killing at least 137 people.
Hao jamaa wameandaliwa na Ukraine na wenzake kinachofuatua zelisky na wenzake kuliwa vichwa.
Screenshot_20240326-191111.jpg
 
Mtoa mada una tatizo kubwa sana la chuki na waislamu. Sipati picha unaishi vipi na jamii hii huko uliko.
Mbaya zaidi ulikalilishwa chuki vibaya na kamwe huwezi kujifunza ingawa una mengi ya kujifunza
Ana chuki na uislam,ila hajawahi kushika bunduki kumuua muislam, anaishi nao poa kabisa,na hujawahi kupata malalamiko yoyote juu yake kuwatisha,kuwatweza,au kuwaua waislam,muulize anawezaje kuishi na watu ambao kutwa kucha wanamtisha,wanamtweza kwa kumuita kafir,na wapo tayari kumuua in any given chance? Kuna u islam,na kuna waislam kama mimi,na kuna wahalifu wanaoutumia uislam kwa manufaa yao tu,think big.
 
Mfadhili ni haya maandiko, ndio yamesababisha uzombi dunia hii

Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Ila imani hizi dah!!!

Unajua unaweza mtu ukajiuliza haya yaliandikwa mwandishi akiwa ktk hali gani,mlevi,depressed au alikuwa sadist?lengo aliwalenga watu wa dunia gani?au alitegemea watakaoyasoma watakuwa na upande wao wa kuishi tofauti na wasioyasoma?

NB;lengo siyo kudharau imani za watu,nimejaribu kuwaza kwa sauti tu.
 
Usimpangie Putin cha kufanya yeye anaanzia magaidi walipokuwa wanakimbilia baada ya tukio wamenasa mawasiliano muacheni Putin afanye kazi yake.
Kazi ameshaifanya na amegundua islamic state ndiyo waliohusika,islamic state wamekiri kuhusika,unataka nini tena?
 
Kazi ameshaifanya na amegundua islamic state ndiyo waliohusika,islamic state wamekiri kuhusika,unataka nini tena?
Acheni habari za uongo.hawa FSB wameshafanya uchunguzi na kujua hao magaidi ni kina nani
Screenshot_20240326-191111.jpg
 
Tunaweza kuwalaumu sana hawa ^watoto wa mamdogo,^ lakini ukichunguza kwa kina utagundua kwamba tabia yao hii ya kueneza, kuimarisha na kulinda imani yao kwa upanga walijifunza kwa Wakotoliki.

Nani asiyejua kwamba Ukatoliki ndio ilikuwa dini ya dunia nzima enzi za Mfalme Konstantini wa Dola ya Rumi?

Baada ya kuweka mamlaka ya ufalme chini ya mikono yao, Ukatoliki ukaanzisha harakati za kujitanua kidini na kueneza imani yake kwa watu wote kwa lazima.

Wakristo wa kweli na wapagani—wote walishurutika ama kuupokea ushirikina wa Kikatoliki au kuuawa.

Nani asiyejua ukatili wa kutisha uliofanywa na Ukatoliki katika zama za giza?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki uliwateketeza kwa moto na upanga na mateso mamilioni ya wale waliokuwa wakifuata mafundisho halisi ya Kristu kwa mujibu wa Biblia?

Nani asiyejua kwamba Papa John Paulo II aliomba radhi dunia kwa ajili ya mauaji na ukatili uliofanywa na Ukatoliki enzi hizo?

Nani asiyejua jinsi ambavyo Ukatoliki ulipiga marufuku Biblia isisomwe wala kufundishwa, isipokuwa kwa idhini yake, huku ikiweka mwongozo kuhusu masomo gani yafundishwe na kwa namna gani?

Kwa kisingizio cha kumtetea Kristu, Ukatoliki ulikuwa ukiwaangamiza wafuasi wa Kristu!

Ni wapi ambapo Bwana Yesu alifundisha kwamba imani ienezwe kwa njia ya upanga? Au ushurutishaji?

Angalia namna Yesu alivyofundishwa:

^Bwana… akawatuma… kwenda kila mji na kila mahali… [Akawaambia,] Enendeni, angalieni, nawatuma kama wanakondoo kati ya mbwamwitu….

Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu; na akiwemo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; la, hayumo, amani yenu itarudi kwenu…

Na mji wowote mtakaouingia, wakiwakaribisha,… waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.

Na mji wowote mtakaouingia, nao hawawakaribishi, tokeni humo.^ Luka 10:1-10.

Ni wazi kwamba mfumo wa uenezaji imani ya Ukatoliki hautokani na Biblia kama alivyofundisha Kristu, bali hutokana na yule muuaji wa roho za watu—Ibilisi mwenyewe!

Si ajabu historia inaonesha kwamba kuna uhusiano wa karibu kati ya Ukatoliki na Uislamu. Kimsingi, Uislamu ni zao la Ukatoliki!
Umejichanganya, ni wapi kwenye quote yako imesema "wakiwapinga waueni? Badala yake inasema wakiwakataa ONDOKENI, waislam wanafanya hivyo? Sasa hivi vikundi kama IS,AL-SHABAAB,HAMAS nk vinataka nini?
 
Yani na wewe ndio hovyo kabisa dunia nzima imemgeuka na kumdharau wewe ndio unasema watamuelewa acha ushabiki maandazi
Dunia nzima ipi mazee? Ni vinchi vi 4 au vitano tu ndiyo vime sign pertition agaist israel, hivi kwa nini egypt alikataa kuwapokea wakimbizi kutoka palestine?
 
Russia majeshi ya nchi mbili yanapigana, huku israel anapambana na raia wasiokuwa na silaha ambao wanadhulumiwa haki yao ya kujitawala kwa zaidi ya 75 years huku dunia ikikaa kimya
Kwa nini dunia imekaa kimya?jiulize
 
Dunia nzima ipi mazee? Ni vinchi vi 4 au vitano tu ndiyo vime sign pertition agaist israel, hivi kwa nini egypt alikataa kuwapokea wakimbizi kutoka palestine?
dont talk about petition viongozi na wananchi wa mataifa yote makubwa hadi bwana trump kalaani vita hivi vya israel , nimekuwekea hapo chini comments za wamarekani wakiwashangaa israel na hizo habari za nchi tulipewa na mungu ni upuuzi ambao wajinga kama wa huku africq ndio wanasupport upumbavu huu
 
Umejichanganya, ni wapi kwenye quote yako imesema "wakiwapinga waueni? Badala yake inasema wakiwakataa ONDOKENI, waislam wanafanya hivyo? Sasa hivi vikundi kama IS,AL-SHABAAB,HAMAS nk vinataka nini?
Dah! Iwapo maandishi rahisi tu yamekushinda kuelewa, hakika Tanzania tuna safari ndefu sana kama taifa.

Anyways, namshukuru sana Dkt. Sa100 kwa ajili ya komenti yako.
 
Usijidanganye!

Ukatoliki kamwe hauwezi kubadilika hata siku moja -- labda kuzidi kuwa mwovu zaidi, katili zaidi, na kukufuru zaidi.

Angalia hivi sasa ushoga unaenda kusimamiwa kwa dhati na kuenezwa kwa kasi sana kama haki mojawapo ya binadamu ulimwenguni kote chini ya hisani ya Mvatikano!

Hivi huoni mkono wa Ukatoliki kwenye sera, kanuni, utawala na sheria za nchi mbalimbali?

Hilo lenyewe linakwambia nini?

Mvatikano amehodhi karibu kila taasisi binafsi na ya umma, ndogo na kubwa, nyumbani na ughaibuni!

Asilimia kubwa ya watumishi husika wanatenda kazi kwa kutekeleza misingi na mipango ya Ukatoliki, kwa kujua ama kutojua!

Kama unadhani Ukatoliki umebadilika, tafakari tena!

^Yule Ibilisi ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi, akijua kwamba ana wakati mchache tu.^ ~Ufunuo 12:12
wewe ni mpuuz , unaambiwa kuhusu waislamu kuchinja watu na sio ushawishi wa dini , hata ukatoliki usingekwepo ushawishi wa dini nyingibe ungekwepo tu kwenye hii dunia ingawaje ni mtumishi ila sijawai pangiwa na Papa kwenye majukumu yetu , elezea dini gan nyingine inaua zaid ya waislam I.e Alshabab , Boko Haram , ISIS , Adf , IS Central Africa , Al Ansar , Hamas , Al Qaida , Houth , Janjaweed , Seleka , Hizbollah etc

HUU UTUMBO WAKO NI SW NA KUSEMA UNALAZIMISHWA KUVAA KANZU
 
Japo hana ushahidi wa uhusika wa Ukraine, ila asema shambulizi lilifanywa na magaidi wa kiislamu lakini anahisi kuna namna Ukraine ilihusika sehemu.........
Swali la msingi, Ukraine na waislamu wapi na wapi, yeye ndiye alianza kuchangamkia hao watu bila kujua ni mazombi ambayo hayaachi asili.
==========================

Russian President Vladimir Putin says for the first time that “radical Islamists” were behind last week’s attack on a concert hall outside Moscow but suggests Ukraine was also somehow involved.

Eleven people have been detained in connection with Friday’s attack, which saw camouflaged gunmen storm into Crocus City Hall, open fire on concert-goers and set the building ablaze, killing at least 137 people.
Ukraine anahusika na lazima alipe gharama za kujihusisha katika mpango huo na mshirika wake wa upinde 🌈
 
wewe ni mpuuz , unaambiwa kuhusu waislamu kuchinja watu na sio ushawishi wa dini , hata ukatoliki usingekwepo ushawishi wa dini nyingibe ungekwepo tu kwenye hii dunia ingawaje ni mtumishi ila sijawai pangiwa na Papa kwenye majukumu yetu , elezea dini gan nyingine inaua zaid ya waislam I.e Alshabab , Boko Haram , ISIS , Adf , IS Central Africa , Al Ansar , Hamas , Al Qaida , Houth , Janjaweed , Seleka , Hizbollah etc

HUU UTUMBO WAKO NI SW NA KUSEMA UNALAZIMISHWA KUVAA KANZU
Unastaajabu mtoto wenu wenyewe kutenda ujangili?

Malezi yenu na makuzi yenu ndiyo hayo. Kajifunzia kwa mzazi wake Katoliki.
 
Back
Top Bottom