let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Sawa, ila mimi sikuwa na shida na alichokiandika jamaa, nilipata shida ulichokiandika wewe uliposema" mleta mada kajenga hoja" ilhali jamaa hajajenga hoja bali ni mtu mwenye hisia zake na ili kuzi- justfy hisia hizo akaamua kukufanya nukuu za watu na kuzipa tafsiri anayotaka yeye na kuziweka Jf kama ushahidi.Uenda hao viongozi walimaanisha kitu kingine na mtoa mada akaelewa vingine lakini nilichomwelewa mtoa mada alichotaka kusema ni kwamba kulikua na mpango wa kuwezesha messi achukue world cup
Waafrica tuna nyumri mbilimbili mpaka tatu.Hahahhaha sasa mpaka world cup ijayo si atakua babu maana saiv ana miaka 30 mpaka 2026 atakua 34 alafu kumbuja huo ni umri wa mpira sio umri wake halisi
Embu rudia tena na tena hiki ulichokileta kisha linganisha na maneno yako uliyotafsiri kumhusu zidane.
Kwa hiyo Goli la pili nalo walibebwa na la tatu wakabebwa? maana hayo mawili hayakuwa ya penaltiMashabiki wa messi mnalazimisha kubadilisha upepo wa mada., mtoa mada kajenga hoja yake kwa kuoanisha maneno ya baadhi ya wachezaji na maofisa wanaohusika na uendeshaji wa hii michano kwa kuonesha kuna uwezekano kwamba ilipangwa messi achukue hili kombe ilitakiwa mtoe hoja zenu kwa kuangazia mada husika cha kushangaza mnaleta story za ushindani wa ronaldo na messi., mfano penati aliyopewa argentina kwenye fainali ilikua mbeleko kwa sababu di maria akuguswa hapo ulitakiwa kupinga kwa kusema ile ilikua penati halali kwa sababu hii hapa... sio hayo mambo mengine hayo mambo ya rekodi, ballon dor sijui messi kuchukua vijiji wote tunayajua toeni hoja zenu kwa kuangazia mada husika
Haswa😂😂😂.Mh,are you lovelovie?😳🙊
Nmepigwa ban aisehKuna nn mpenz
Nimeona aisee,pole cuteNmepigwa ban aiseh
😂😘😘😘❤Haswa😂😂😂.
Kwa kweli unanijua mno🥰
Asante cc Ila tarehe 22 kesho kutwa kifungo kinaisha narudiNimeona aisee,pole cute
Mwenyewe walipiga ban mwez November mwanzoni😂😂Asante cc Ila tarehe 22 kesho kutwa kifungo kinaisha narudi
Bora umwambie wewe pengine ataelewa.Kwa hiyo Goli la pili nalo walibebwa na la tatu wakabebwa? maana hayo mawili hayakuwa ya penalti
Very poor argument , tunaojua kubebwa tuliyaona mengi mechi za vilabu vya kwetu na vile vya arabuni.
.
😂😂Pole ulifanya nn?!Mwenye walipiga ban mwez November mwanzoni😂😂
Nadhani wangekua wameelekezwa Mbape asingenuna vile..wakubali tuu wameshindwaComan na Tchouameni walielekezwa wakose penati ili Messi atwae ndoo?? Amka usingizini
Achana nao, team ronaldo wanateseka sana.Walaumuni Saudi Àrabia, kitendo cha wao kuifunga Argentina kiliwapa morali Waargentina ya kumfumua kila aliyejitokeza mbele yao.
Ww hujui aliwahi panda mlima Kilimanjaro?Huyo Messi anajua kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania? Watu munakauka sauti bure.
Kwa hiyo Goli la pili nalo walibebwa na la tatu wakabebwa? maana hayo mawili hayakuwa ya penalti
Very poor argument , tunaojua kubebwa tuliyaona mengi mechi za vilabu vya kwetu na vile vya arabuni
Haujaelewa nimesema nini. Nilikua nampa jamaa muongozo ninkwa namna gani anaweza kutilika hoja yake bila kumuhisha ronaldo.. tukija kwenye ulichokiongea kama goli la pili na la tatu halikua za penati haibadilishi ukweli kuhusu goli la kwanza katika moments kama hizi chochote kina nafasi yake ilo goli moja tu linaweza likabadili mchezo mzima hata modric alilalamika penati walifungwa dhidi ya argentina haikua halali na ilibadilisha mchezo maana kabla ya hapo walikua washaikamata game