Kama sikosei ilikuwa 2010.
Mashabiki wa Man U, team ronaldo, ambao kwa sasa wanafahamika kama team mbappe walikuwa na ujasiri sana na viungo wao, hasa paul shcoles na park ji sung, wakiamino pia kijana wao fletcher atawitia kwapano akina Iniesta na Xavi. Wakadai Scholes pasi zake hakuna wa kuzizuia pale Barca.
Unajua mkuu mashabiki wa ronaldo uwendawazimu haujawaanza leo wala jana, wamewehuka toka kitambo. Ule utatu wa Sergio Busquets, Xavi na Iniesta ulikuwa unacheza kimfumo na sio uwezo binafsi hata useme uje unawakaba wao.
Kilichotokea wote hawaamini ktk ile game, mtoto mdogo pedro akamtengua kiuno beki wao bora fabio, akashikilia bomba ili aweke kiuno sawa, jamaa akazidiwa, jopo la madaktari wakaja kumtoa nje ili kumtibu.
Shinji kagawa akapewa asimame na Erick Abidal, mipora yoote ilikuwa inatua kwa Erick Abidal, Fletcher, Pak Ji Sung wote wakapoteana ndani ya Game. Fergason hakuamini kama ile ndo Man U aloisuka kuingia fainal, alipata mtetemo mzito, kwa mtetemo ule akaona heri astaafu ili kuepuka mauti kwa presha uko mbeleni.
Messi alikuwa anamuokota Ryan Gigs, chukua Pak Sung, sijui Ferdinand na tumbili wengine kisha anatembea na mpira mbele