Criminality hapo ipo wap? Kuwa na legal document siyo justification kosa ni la jina kosa ninaloliona hapo ni CIVIL CASE, mkataba una makubalianoKivipi wakati kuna legal document kupitia wanasheria na anafanya kwa miongozo ya usajili wa makampuni plus miongozo ya wizara ya Ardhi ambayo hizi private company ni agency na zipo regulated na wizara.
Wizi wakuaminiwa ingredients zake unazifaham vizur?, Wakigungua hii kesi mapema tu anashinda kesi I'm sure [emoji817]Hivi unajuwa wizi wa kuaminiwa au unajifurahisha tu?
Hahaaaaa, anajitangaza sana nami nilitaka kununua kwake ardhi pale Bomang'ombeMi nilijua muaru, kumbe mmeru, yani yule ni fala kinyama, ameuza ardhi za watu sana, halafu yeye anacheza na mabaraza
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Foxy unatetea wizi Mtoto wa Kiislamu!!Isijekuwa huyo ndiyo kaiuza bandari yetu wa Waarabu?
Maana nasikia hawa matapeli wa udalali walishamuuzia Mmasai Msikiti huko Morogoro, mahodhi ya kutwadhia wakamwabia unaona eroo, hapa unaogesgea dawa ng'ombe zako wakati wowote...
Story za Abunuasi hizo! Thibitisha!!??Msimpakazie bandari mmeuza wenyewe maccm, ndio maana mmekomaa hili ni swala la chama na ilani, ilani ya ujambazi.
Pale Kunduchi kwa Kondo kina ya kwenda kaburi la Sharrif Ras Kilomoni kuna mkondo wa bahari maji kupwa maji kujaa, kuna mmasai alipigwa kweli hapo kiwanja wakati wa maji kupwa, kesho aliporudi palepale alipouziwa akaikuta bahari hamna kiwanja.
Baadhi ya Ma Wakili ni Wana tamaa sana na wako tayari kutetea uwongo kwa hali na Mali popote pale kisa pesa, utu wanauacha nyuma!!Kampuni ya uwakili iliyotumika kutapeli ni Eagle Laws Chamber ,Bank ni NMB,na TIN ni wakili ni
Simama nao Mahakamani hadi haki ipatikane!!Ukisikia kampuni inauza viwanja,au online business sijui unalipa pesa wanakuagizia mzigo China kwa Bei rahisi usiingie na mguu wa kulia...
Kama una vielelezo nenda kwa Msajili wa Mahakama ataku shauri bila Malipo na utakuja nishukhkuru!!Kuna tapeli mwingine anakesi mahakamani na ameshinda kesi hiyo.
Huyu tapeli mtusi anaconnection mahakamani ila hata balozi hamtambui na wenyeviti hata waliopita serikali za mitaa hawamtambui ...cha ajabu eti ameshinda keshi .... Hamuwezi kuamini lkn ni kweli...
Nchi hii imamaajabu Sana
Kama hjna hoja ya kuchangia ni heri ungekaa kimya tu.Foxy unatetea wizi Mtoto wa Kiislamu!!
Hana jina?!Wasalamu, kupitia msaada wa mitandao ya jamii imefanikisha kulikamata tapeli sugu na maarufu nchini jina Yonah Kittah pichani chini.
Kwa miaka mingi amekuwa akifungia kampuni halali za kuuza viwanja na mashamba kwa kulipia kidogo kidogo kwa awamu.
Kisha ukishamaliza kulipa mkopo wako anaanza danadana ya kukupa kiwanja au shamba lako.
Alifungua ofisi Mbezi beach kwa jina la Yared investment akawatapeli watu viwanja walipomzonga kutaka viwanja au pesa zao akawambia.
Akaenda Ilala Mwalimu House akafungua kampuni inaitwa VKP youth development akiuza viwanja na mashamba ikiwemo kukopesha pikipiki na bajaji akatepeli zaidi ya bilioni moja Mimi ni mmoja wa mhanga kanipiga milioni 60, kwa kampuni pekee ya vkp tumepigwa jumla ya watu 250 kwa idadi ya walipoandikisha kesi mwaka 2020 kwa mikoa ya Arusha, Dodoma,Mwanza na Dar es salaam.
Alikaa ndani akatoka kwa dhamana kesi ikiendelea akakimbia dhamana ya shilingi bilioni moja.
Akaenda fungua kampuni nyingine ya kutapeli viwanja ofisi ikiwa Manzese Darajani akapiga hela, kafungua makampuni mengi tu ya kupiga Hela.
Kama wewe ni muhanga wa hizo kampuni kutapeli viwanja za mmiliki jina Yonah Kittah jongea central Dar ofisi ya upelelezi waone wahusika ukiwa na ushahidi wa documents zako zote wakutolee shimoni mtu wako ili uongezwe kwenye list ya watu waliotapeliwa na Yonah Kittah.
Kwa taarifa alienda Nigeria kujifunza jinsi ya kutapeli watu kitaalamu na jinsi ya kula na wakubwa na jinsi ya kudili na kesi.
Pana mtu kapigwa milion 60 na Yonah kwa ishu za viwanja na ndoa imevunjika mume haelewi somo.
Anachofanya huyu tapeli anaenda kwenye mashamba ya watu Usiku anapima code net kisha anachora ramani nzuri anavipa viwanja plot number anasajili mchoro ardhi kisha anatangaza anauza viwanja mnapelekwa site mnaonyeshwa viwanja pori mkiuliza mbona pori anasema greda lipo njiani kuchonga barabara za mitaa unaingia kingi unasaini mkataba unapewa account ya kampuni unalipia unakuwa unapewa risiti, kimbembe umemaliza unataka hati kiswahili kinaanza, ukienda eneo husika kumtafuta mmiliki anakwambia Mimi simjui Yona wengine wanasema tulifanya nae mapatano ya kununua shamba hakurudi Tena.
Mkiwa wengi mnamsumbua anafunga ofisi anatoroka wasiojua wao wanaendelea kurejesha pesa kwenye account siku unaenda na risiti zako za miezi labda 3 unakuta hakuna ofisi.
Ujinga wake pesa zote hizi anamalizia kwenye starehe hana hata Hela kwenye account zote anaponda raha kila mwanamke mzuri mjini hampiti.
So kama wewe ,ndugu yako au jamaa yako ni mhanga wahi central Dar.
Wahanga ni wengi wakiwemo hadi viongozi, watumishi ndio wa kada zote wakubwa kwa wadogo ni wahanga.
View attachment 2694136
Mwenzako ameleta hoja ya maana,watu wametapeliwa pesa mingi wwe unaleta porojo zako za Bandari sijui na Wamasai wamefanya nini, au kwa kua hujatapeliwa wwe!? Subiri siku wajanja wa town wakupige ndiyo utajua machungu ya kuibiwa haki yako!!Kama hjna hoja ya kuchangia ni heri ungekaa kimya tu.
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili ya kawaida huongelea matukio
Akili mbovu huongelea watu.
Utapeli unathibitishwa na mahakama tu.Hatari sana na hatafungwa cha ajabu
Ukisikia kuna Mtanzania hajawahi kutapeliwa elewa kuwa huyo si Mtanzania. Hususan kwa wat wa Dar Es Salaam.Mwenzako ameleta hoja ya maana,watu wametapeliwa pesa mingi wwe unaleta porojo zako za Bandari sijui na Wamasai wamefanya nini, au kwa kua hujatapeliwa wwe!? Subiri siku wajanja wa town wakupige ndiyo utajua machungu ya kuibiwa haki yako!!
Yonah KittahHana jina?!
Hawa organized criminal gang wanacheza na mahakama na mda.Utapeli unathibitishwa na mahakama tu.
Karibu sanaduh na kwa sasa kuna utitiri wa hizi kkampuni za kuuza viwanja