Hatimaye tapeli sugu wa viwanja nchini atiwa nguvuni

Kivipi wakati kuna legal document kupitia wanasheria na anafanya kwa miongozo ya usajili wa makampuni plus miongozo ya wizara ya Ardhi ambayo hizi private company ni agency na zipo regulated na wizara.
Criminality hapo ipo wap? Kuwa na legal document siyo justification kosa ni la jina kosa ninaloliona hapo ni CIVIL CASE, mkataba una makubaliano

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Isijekuwa huyo ndiyo kaiuza bandari yetu wa Waarabu?

Maana nasikia hawa matapeli wa udalali walishamuuzia Mmasai Msikiti huko Morogoro, mahodhi ya kutwadhia wakamwabia unaona eroo, hapa unaogesgea dawa ng'ombe zako wakati wowote...
Foxy unatetea wizi Mtoto wa Kiislamu!!
 
Story za Abunuasi hizo! Thibitisha!!??
 
Kampuni ya uwakili iliyotumika kutapeli ni Eagle Laws Chamber ,Bank ni NMB,na TIN ni wakili ni
Baadhi ya Ma Wakili ni Wana tamaa sana na wako tayari kutetea uwongo kwa hali na Mali popote pale kisa pesa, utu wanauacha nyuma!!
 
Kama una vielelezo nenda kwa Msajili wa Mahakama ataku shauri bila Malipo na utakuja nishukhkuru!!
 
Hana jina?!
 
Kama hjna hoja ya kuchangia ni heri ungekaa kimya tu.

Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili ya kawaida huongelea matukio
Akili mbovu huongelea watu.
Mwenzako ameleta hoja ya maana,watu wametapeliwa pesa mingi wwe unaleta porojo zako za Bandari sijui na Wamasai wamefanya nini, au kwa kua hujatapeliwa wwe!? Subiri siku wajanja wa town wakupige ndiyo utajua machungu ya kuibiwa haki yako!!
 
Mwenzako ameleta hoja ya maana,watu wametapeliwa pesa mingi wwe unaleta porojo zako za Bandari sijui na Wamasai wamefanya nini, au kwa kua hujatapeliwa wwe!? Subiri siku wajanja wa town wakupige ndiyo utajua machungu ya kuibiwa haki yako!!
Ukisikia kuna Mtanzania hajawahi kutapeliwa elewa kuwa huyo si Mtanzania. Hususan kwa wat wa Dar Es Salaam.

Unafikri jina la "bongo" lilichipuwa tu kama majani?
 
Utapeli unathibitishwa na mahakama tu.
Hawa organized criminal gang wanacheza na mahakama na mda.
Watu wapo bize watapigwa kalenda miaka wanapungua mmoja mmoja then hakimu anafuta kesi,mtu aache mishe zake atoke Arusha dodoma au Mikoani aje dar ipigwe tarehe anakata tamaa.Kesi ya awali ilikua hivyo hivyo ana kesi kisutu tayari process yake imesuasua.
Huyu aogopi kesi huu utapeli wa kucheza na kesi Kama walivyokuwa mapapaa ya mjini.
Matapeli dawa zao Huwa ni plan B na Sio kesi mtasumbuana sana.
 
Niwape pole sana kwa yaliyowakuta.

Ki ukweli sasa hivi utapeli umekua advanced sana. Hata uwe mjanja au msomi bado unaweza kuokotwa kirahisi kabisa ukiingia kwenye 18 zao, especially uwe muajiriwa maana hata muda wa kufuatilia vitu kwa ukaribu huna.

Kuna mwanangu juzi juzi tu hapa nusu apigwe laki 7 kuhusu haya mambo ya ajira za mchongo serikalini. Ogopa sana mtu kakutanishwa hadi na afisa utumishi na afisa tawala wa serikali wenye vitambulisho kabisa. Kumbe ni ma afisa wa mchongo na IDs pia ni za mchongo!

Jamaa ananiambia kwanza ni watu wazima kabisa halafu kila kitu kuhusu mambo ya ajira na serikali wanajua mpaka nafasi za kazi zote zinazotangazwa wanazijua na idadi ya watu wanaohitaji na mahali zinapofanyika...kila kitu! (Watu wako serious na kazi zao!)

Kilichomuokoa hakuwa na hela kamili. Kwaiyo ikabidi amshirikishe Broh wake yupo gvt pia ili amuongezee hapo hela kidgo mchongo ukamilike. Ndio Broh akachezwa na machale akamwambia amtumie hayo majina aliyoyaona kwenye IDs zao amuulize mtu chap amuangalizie kama ni kweli hao watu ni wa serikalini. Aisee... kumbe hawapo!

Wakaishia kutukanana na ndio ikawa pona yake..!

Kwaiyo saivi matapeli wako very organized yani kupona kwako ni mpaka uwe makini sana au uwe na bahati kama Jamaa maana kama angekua na hela yote waliyotaka angeshapigwa zamani sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…