ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ile barbershop nini mkuu?[emoji39][emoji39]Hiyo ndio bei ya sasa hivi mkuu - mimi nina frem pale karibu na safari bar nalipia 500K per month
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile barbershop nini mkuu?[emoji39][emoji39]Hiyo ndio bei ya sasa hivi mkuu - mimi nina frem pale karibu na safari bar nalipia 500K per month
Sent using Jamii Forums mobile app
Walishachelewa now kushakuwa slumssasa naona mji unakua ktk maeneo hayo ,mbezi , luguruni, kibamba na kiluvya ikipangilwa vyema na maafisa wa mipango miji basi jiji la DSM litakuwa ni miongoni mwa majiji bora Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Looohh loohh .... tu-change topic tafadhaliIle barbershop nini mkuu?[emoji39][emoji39]
Hahahaha, mkuu nimekusoma!! Kumbe ni weweeeee, nipo karibu na wewe japo sitakuambia wapi[emoji39]
Hahaa Aise ..sio mimi bwanaHahahaha, mkuu nimekusoma!! Kumbe ni weweeeee, nipo karibu na wewe japo sitakuambia wapi[emoji39]
Wakija ww waite nyie beberu wanakimbia wenyewe
Ambae ameona mabasi yakiingia tu ila hajaona hayo mabasi sehemu ya yanayotokea zaid ya kudisappear tujuane hapa tafadhali
bado kuna maeneo ya wazi na makubwa, nadhani tatizo lipo kwa maafisa mipango wa miji, they don't bother!! wanadhani mji ni masaki, oyster bay ,mikocheni n.k na wanasahau pembezoni, huu ni wakati sasa
Hilo ndyo tatizo na ukiwauliza watakupa,excuse kuwa hawajapangiwa bajetibado kuna maeneo ya wazi na makubwa, nadhani tatizo lipo kwa maafisa mipango wa miji, they don't bother!! wanadhani mji ni masaki, oyster bay ,mikocheni n.k na wanasahau pembezoni, huu ni wakati sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni mbezi Luis haponi mbezi sehemu gani hapo.
Maendeleo ni vitendo sio kabobo.
Stendi inaonekana ni ndogo mno kwa jiji kubwa kama Dar. Stend hii ni saizi ya kibaha town sio Dar. Tutajenga nyingine tena baada ya miaka 5.
Kwa hela zetu tenaStendi inaonekana ni ndogo mno kwa jiji kubwa kama Dar. Stend hii ni saizi ya kibaha town sio Dar. Tutajenga nyingine tena baada ya miaka 5.
Kuna project kubwa kubwa sana zinaendeleaMji wa Dar utabadilika sana kwa upande huu wa Kimara-Mbezi...