Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Design huwa ina-consider idadi ya watu watakayoitumia na pia huwa kunakuwa na provision for expansion, yaan endapo idadi ya watu itaongezeka, basi jengo linatanuliwa. Ni kama mlimani city ilivyotanuliwa baada ya matumizi kuzidi uwezoStendi inaonekana ni ndogo mno kwa jiji kubwa kama Dar. Stend hii ni saizi ya kibaha town sio Dar. Tutajenga nyingine tena baada ya miaka 5.
Sasa kama hamuwapi pesa watafanyaje hiyo kazi, kati ya vitu vyenye gharama ni upimaji kiwanja.Hilo ndyo tatizo na ukiwauliza watakupa,excuse kuwa hawajapangiwa bajeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Architect - Ndio anabuni lile jengo kwa ujumla wake, na ndio anaweza akapewa jukumu la u-project manager hadi jengo kuisha.Naombeni msaada wa kuchambuliwa kazi za hawa watu, zinanichanganya kidogo. Architects, structure engineers, quantity surveyors, main contractors,service engineers na sub contractors. Wote wapo kwenye huu mradi majukumu yao ni nini?
Je haiwezekani akawepo architectures na contractors peke yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni limitation za design software, maana baadae utasema mbona hujaliona linavyofika singidaAmbae ameona mabasi yakiingia tu ila hajaona hayo mabasi sehemu ya yanayotokea zaid ya kudisappear tujuane hapa tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha haHizo ni limitation za design software, maana baadae utasema mbona hujaliona linavyofika singida
Asante mkuu maana ndio lililokuwa linakuja ila hiyo limitation inayoruhusu mengine kutoka lakini yenyewe hayatoki itakuwa ni ya desin software ya bongoHizo ni limitation za design software, maana baadae utasema mbona hujaliona linavyofika singida
Hujitambui wewe.Wakati wale jamaa wa ufipa wanapinga kila juhudi za serikali kuwaletea maendeleo ,sisi tunayaleta kwa kasi kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app