Hatimaye wazawa wamvaa Kafulila kuendesha mradi wa UDART

Wamvaa au wamuomba?
Uandishi wa ovyo huu.
 
Labda mtuambie Sasa tatizo la Kisena ni nini?
 
Tumwombee atoke itapendeza zaidi
Hili taifa letu wachawi wetu ni wanasiasa ambao wanataka wananchi wawaamini ila wao hawajiamini wa la kuwaamini wananchi wao.Wankuwa na kale ka mtazamo ka FANIKIWA lakin USIFANIKIWE KUNIZIDI.
 
Wasi wasi wa Kijinga
 
hahaha wahuni hao, Malori ya mchanga na UDART ni vitu viwili tofauti.

Pili Kuendesha mradi kuna qualification za kitaaluma siyo PESA kama wanavyodhani wao, mwishi ni wapigaji hatuwataki.

Tender itangazwe tutapata applicant wenye uwezo na uzoefu waache janja janja zao, wabaki kwenye malori yao.
 
Kwanini unawadharau hata kabla hawajaanza?
 
Kwanini unawadharau hata kabla hawajaanza?
Wadanganyika tunajuana.

KISENA alipiganiwa na Serikali yote ya CCM wakati wanampa Kampuni ya UDA, leo hao hao wanatudanganya walimshitaki baada ya kupiga mabilioni na hakufanya chochote. Ni hao hao wanazunguka mlango wa pili wamevaa nguo tofauti wanajidai ni watu wapya, wakiisha tupiga. CCM tena wanatudanganya kuwapeleka mahakamani kama kawaida yao, tukisahau wanwatoa maisha yanasonga mbele.

Muwekezaji atafutwe kwa tender, itangazwe ndani na nje, tupate muwekezaje mwenye qualification siyo hawa mnaowaita wazawa.

CCM wataiua nchi hii, halafu wanamiliki pesa na mali zisizo na uhalisia manabaki kuwasifia na kuwaabudu.
Uwazi unahitajika, kwenye miradi mikubwa kama hii, hakuna/hatutaki UPENDELEO wa aina yoyote kwa kisingizio cha UZAWA.
HAWAPASWI hata KUANZA, yani waishie kupiga picha huko huko.
 
sokoine alivunja UDA na kuruhusu wazawa kuendesha huduma ya kubeba abiria mijini, tulianza na chai maharage, kwa miaka zaidi 30 hakuna mzawa hii biashara ilimtoa, hakuna maboresho yeyote, ndio kwanza huduma hii imekuwa shughuli za mateja, ni juzi wakati wa msabaha akapiga marufuku matumizi ya chai maharage na hiace vinginevyo tungekuwa bado tuna pinda mgongo kwenye hiace.

hii biashara kichaa ya wazawa nani asiyejua ni chanzo cha manyanyaso ya wanafunzi wazee na wamama, imekuwa kazi ya mateja ifike sehemu tukubali hii kazi hatuwezi,

tuache watu wenye ujuzi na weledi wafanye kazi zao.
 
Haya mambo ya WAZAWA ni Upigaji tu, hakuna lolote, kila siku tunaona wanavyotupiga na wanaondolewa bila kushitakiwa wala kutikiswa, na pesa zetu wamekula. Sitaki kusikia MZAWA watangaze tender ndani na nje tupate mtu sahihi aendeshe UDART. Walimpa Kampuni ya UDA Kisena, wakatupigia mipicha ya buses alizoleta, akala mabilioni, wakamnyang'anya mradi, wakapiga picha mbili tatu kuonyesha wanmpeleka mahakamani, watanzania tukasahau yuko wapi.

Uzawa ni deals za watu wale wale tu, wanabadili mashart wanapiga picha wanatafuta kutuibia, Wabaki huko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…