GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Utapasuka mshipa wa shingo kwa kufoka!Ukiwa unasoma maneno uwe unaelewa, naposema huwezi namaanisha inawezekana ndiyo maana wapo mashoga kisha nikasema kitendo hicho ni matumizi mabaya ya akili,na ni hila na uzandiki. Ni sawa leo utembee ukiwa umevaa chupi kichwani utaonekana vipi ? Jibu utaonekana akili yako haiko sawa na ndivyo ilivyo kwa watu hao.
Ichukue tupu yako ya kunyea ikaangie chips kisja uone madhara yake yakoje na ndivyo ilivyo kwa wale wanao ipa kazi tupu ya kunyea kazi ya tupu ya uzazi, hawatoki salama, vipi wnadhuru nafsi zao. Hakuna mpaka kiyama kinasimama atakaye weza kusimamisha hoja kutetea huu usenge kisha akapatia zaidi ya kuzidi kukosea.
Hakuna faragha ya sampuli hiyo, faragha ambayo ilishakemewa tangu na miaka na mikaka.
Siwezi kuwasemea waouvu, bali naisema haki ambayo hakuna wakuipindisha wala kuishusha,sababu kilichoandikwa kimeandikwa.
Chill and relax!
Maisha ni mepesi ukiamua kujikita na yanayokuhusu.
Yasiyokuhusu unaachana nayo na kuyapuuzia.