Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Ukiwa unasoma maneno uwe unaelewa, naposema huwezi namaanisha inawezekana ndiyo maana wapo mashoga kisha nikasema kitendo hicho ni matumizi mabaya ya akili,na ni hila na uzandiki. Ni sawa leo utembee ukiwa umevaa chupi kichwani utaonekana vipi ? Jibu utaonekana akili yako haiko sawa na ndivyo ilivyo kwa watu hao.

Ichukue tupu yako ya kunyea ikaangie chips kisja uone madhara yake yakoje na ndivyo ilivyo kwa wale wanao ipa kazi tupu ya kunyea kazi ya tupu ya uzazi, hawatoki salama, vipi wnadhuru nafsi zao. Hakuna mpaka kiyama kinasimama atakaye weza kusimamisha hoja kutetea huu usenge kisha akapatia zaidi ya kuzidi kukosea.

Hakuna faragha ya sampuli hiyo, faragha ambayo ilishakemewa tangu na miaka na mikaka.

Siwezi kuwasemea waouvu, bali naisema haki ambayo hakuna wakuipindisha wala kuishusha,sababu kilichoandikwa kimeandikwa.
Utapasuka mshipa wa shingo kwa kufoka!

Chill and relax!

Maisha ni mepesi ukiamua kujikita na yanayokuhusu.

Yasiyokuhusu unaachana nayo na kuyapuuzia.
 
Utapasuka mshipa wa shingo kwa kufoka!

Chill and relax!

Maisha ni mepesi ukiamua kujikita na yanayokuhusu.

Yasiyokuhusu unaachana nayo na kuyapuuzia.
Hili linatuhusu na tutalikemea mpaka pumzi zetu za mwisho wachukie watakao chukia sababu hatuko hapa duniani kwa ajili ya kuwafurahisha waja.

Miji ya Sodoma na Gomora iliangamizwa kwa kutokana na huu mchezo tena adhabu ilikuwa kali mno. Hili kiimani lina athari kubwa sana.
 
Hili linatuhusu na tutalikemea mpaka pumzi zetu za mwisho wachukie watakao chukia sababu hatuko hapa duniani kwa ajili ya kuwafurahisha waja.

Miji ya Sodoma na Gomora iliangamizwa kwa kutokana na huu mchezo tena adhabu ilikuwa kali mno. Hili kiimani lina athari kubwa sana.
Okay.
 
Huo "mwisho wa siku" ni upi? miaka mia ijayo?

Takwimu zinasema, ikifika mwaka 2074, Tanzania itakuwa ni ya tano duniani kwa wingi wa watu (nyuma ya Nigeria, china, india na marekani).

Huo "mwisho wa siku" unaouzungumzia weye ni upi? siku ya kiama?

Ukweli ni kwamba, kama una hamu sana ya kuzaa, basi ukazae. Hakuna atakayekuzuia, wala hakuna sheria yoyote inayoweka mipaka ya kuzaa.

Kuzaa sio jukumu la JUMUIA. Ni jukumu BINAFSI.

Wala usijifanye wewe ni muhamasishaji wa kuzaa. Hiyo sio kazi yako. Ni kiherehere tu.

Ikiwa wengine hawataki kuzaa kwa sababu wao ni mashoga, basi na wasizae. Sio lazima.

Kama unadhani dunia ina watu wachache sana, basi zaa kweli kweli. Fyatua mpaka korodani zikauke.

Una jukumu zito na unaonekana una KIU KALI na ARI ya kuujaza ulimwengu.

Kwa kweli hakuna mwenye ubavu wa kukuzuia kwenye hilo.
Daddie pita kwa mangi pata 1 baridi, nakuja kulipa.
 
Mbona wameweza sasa?

Actually unaweza hata kuichukua tupu yako ya kunyea kisha ukaikaangia chips mayai. Ni jambo linalowezekana kabisa.

It is called "privacy" and "self determination".

We vipi bwana! Eti haiwezekani?

Kwani wewe ndio msemaji wao?
Woyoooooooooooooooooh
 
Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.

Twende kwa mada;

Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.

Amemsifia waziri huyo ambaye ni shoga na wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake (eti mke) aliyemsaidia kubeba msahafu, pia VP amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.

[emoji1485]Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.

View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
[emoji1489]PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.


[emoji1484]PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.

View attachment 1694416

Note: The day has come they wanna try it in their government.

Kwani kuna uhusiano kat ya ushoga na akili? Au ushoga na uwezo wa kufanya kazi??
Sidhan kama kuna uhusiano!!
Nchi yao inaruhusu hayo mambo kwaiyo kwao cyo ajabu!!....ila it is disgusting aisee[emoji18]
 
Kwani kuna uhusiano kat ya ushoga na akili? Au ushoga na uwezo wa kufanya kazi??
Sidhan kama kuna uhusiano!!
Nchi yao inaruhusu hayo mambo kwaiyo kwao cyo ajabu!!....ila it is disgusting aisee[emoji18]
Kama unaelewa dunia ilivyo, mtu maarufu (influence people) akifanya jambo linakuwa na nguvu huko kwa wanaopokea

Mfano huo uchukue kwa tukio hilo la wamarekani kuja nchi ga dunia ya tatu.
 
Kama unaelewa dunia ilivyo, mtu maarufu (influence people) akifanya jambo linakuwa na nguvu huko kwa wanaopokea

Mfano huo uchukue kwa tukio hilo la wamarekani kuja nchi ga dunia ya tatu.
Sasa tatzo liko wapi? Kwani nchi za dunia ya 3 huko ushoga haupo? Mbna mnaleta sana ujuaji ktk mambo ambayo hata hayataki hivyo.
 
Sasa tatzo liko wapi? Kwani nchi za dunia ya 3 huko ushoga haupo? Mbna mnaleta sana ujuaji ktk mambo ambayo hata hayataki hivyo.
Umetokea wapi, mbona umekuja na joto kali kiasi hicho?.
 
Back
Top Bottom