Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hizi dini za waarabu na wazungu zimeharibu sana fikra za uafrika. Hakuna watu wenye roho mbaya, wabaguzi na wauji wakubwa kama washika dini za kuletewa. Kila dini inamfanya ajione yeye ni mwanadamu bora kuliko mwingine. Ndio maana wanaweza diriki kataa ishi na mtu mwingine kisa hana dini yake. Sasa huyo ni Mungu wa namna asiyetaka watu wote wamuaminiyo kwa njia tofauti wasiishi pamoja. Ni unyumbu fulani.

eti mashoga ndio wanasababisha mvua isinyeshe, na huyo ni mtu aliyeenda shule. Kweli mkoloni alifanikiwa, ajab hata kwenye dini hizi unaweza baguliwa kisa jina tu. Ukiitwa Donald, wavaa kanzu wanakuona sio muislam hadi uitwe Abdulratif. CULTURAL IMPERIALISM!
Kinachoniacha hoi ni hiki, wa africa wanaijua dini kuliko wale wenyewe walio ileta, yaan huwa sielewi kwa kweli nabaki kuduwaa na kushangaa tyuuh.
 
Mimi binafsi sioni tatizo kwa mtu kama huyo kuapa akiwa ameshika kitabu kitakatifu cha dini, maana hata hawa viongozi wasio mashoga nao hushika pia ili hali tunajua ni watu wa dhuruma kubwa na unyanyasaji kwa wanadamu wenzeo. Mungu ndio atakae muhukum, yeye ashike tu na atumikie taifa, anaweza akawa na ushoga wa kimwili na wengine wakawa na ushoga wa kiakiri ambao ndio mbaya zaidi.
 
Sometimes kitu hiki kinaweza kufanyika kuhadaa mataifa mengine ili watu waingie kwenye upumbavu,anaweza akawa si shoga lakini inafanywa kuvutia wale wanao hisi ushoga ni sahihi na haki,mwisho wa siku wanalenga watu wasizaliane na watu waingie kwenye ujinga na ushenzi usio kubalika mbele za MUNGU na wanadamu,wanaamini wakiona hivyo vijana walioko shuleni huko wasioweza kupambanua mambo wataiga na kuingia kwenye huo mkumbo.

Na hata kama kuna watu wapo humu jf wanafanya mambo hayo nikuulizeni tu, mtu anasisimka vipi na mwanaume mwenzie?

Ni jambo gumu sana hili na ingewezekana kungewekwa sheria kali sana ktk nchi zetu za Africa ili watu waogope na sheria hizo zitekelezwe
Shoga hana sifa ya kuitwa mwanaume, james delicious huwezi ukamweka kwenye kundi la wanaume la sivyo utakuta wameshampa ujauzito. Hivyo swala la kusisimuka mtu akimuona mwanaume mwenzake ni gumu ila kwa shoga mtu anaweza kusisimuka mana shoga anakuwa na vipengere vya kike na uume wake mara nyingi hauna uwezo wa kufanya chochote.
Hili jambo si jema na mm sikubaliani nalo laikin wenzetu wanangalia misingi ya kibinadamu zaidi, na ndio maana ikapewa go ahead, kila mtu apate haki yake ya kidunia
 
Mkuu hawa jamaa wanapoleta hadharani haya mambo wana makusudi maalum ambayo wewe huyajui, but siku ukija kuelewa will be too late.

Mfano ni hii corona, miili yetu itakapozoea kuishi na hawa virus tutakuwa tumezoea na kuona kitu cha kawaida sana hata ukijua jamaa uliye naye ofcn, home nk ana corona hutashtuka.
Kwani ulianza kujua ushoga upo lini?
 
Shoga hana sifa ya kuitwa mwanaume, james delicious huwezi ukamweka kwenye kundi la wanaume la sivyo utakuta wameshampa ujauzito. Hivyo swala la kusisimuka mtu akimuona mwanaume mwenzake ni gumu ila kwa shoga mtu anaweza kusisimuka mana shoga anakuwa na vipengere vya kike na uume wake mara nyingi hauna uwezo wa kufanya chochote.
Hili jambo si jema na mm sikubaliani nalo laikin wenzetu wanangalia misingi ya kibinadamu zaidi, na ndio maana ikapewa go ahead, kila mtu apate haki yake ya kidunia
Naam. Na hii ndio hoja yetu humanists. Si mambo yote wayaaminio wengine, na wengine wanakubaliana nayo, tunaamua kukubaliana kila mwanadamu ana uhuru na maamuzi yake Ambao unapaswa uheshimiwe na ulindwe so long haathiri maisha ya wengine.
 
Sometimes kitu hiki kinaweza kufanyika kuhadaa mataifa mengine ili watu waingie kwenye upumbavu,anaweza akawa si shoga lakini inafanywa kuvutia wale wanao hisi ushoga ni sahihi na haki,mwisho wa siku wanalenga watu wasizaliane na watu waingie kwenye ujinga na ushenzi usio kubalika mbele za MUNGU na wanadamu,wanaamini wakiona hivyo vijana walioko shuleni huko wasioweza kupambanua mambo wataiga na kuingia kwenye huo mkumbo.

Na hata kama kuna watu wapo humu jf wanafanya mambo hayo nikuulizeni tu, mtu anasisimka vipi na mwanaume mwenzie?

Ni jambo gumu sana hili na ingewezekana kungewekwa sheria kali sana ktk nchi zetu za Africa ili watu waogope na sheria hizo zitekelezwe
Sio tu suala la Watoto kuhamasishwa ushoga, mapenzi kwa ujumla wake ni kosa na sio sahihi kwa watoto. Ndio maana hata filamu ziko rated kulingana na umri.

ushoga afrika umeanza lini mkuu?
 
waziri anatiwa gunzi kmmmk dah dunia simama nishuke 😂😂😂
 
Tutabishana sana, uwezo wa kufikiri upo tofauti.
cocastic [emoji1489]
Sielewi nyie mnabishana kuhusu nn, naona mnapeana tu maswali, kwani huyo waziri shoga si ameshaapa? Sasa nini kingine mnataka? Mumuache waziri atimize majukumu yake.
 
waziri anatiwa gunzi kmmmk dah dunia simama nishuke [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, nimeshindwa kujizuia kwa kweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, nimeshindwa kujizuia kwa kweli.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Sielewi nyie mnabishana kuhusu nn, naona mnapeana tu maswali, kwani huyo waziri shoga si ameshaapa? Sasa nini kingine mnataka? Mumuache waziri atimize majukumu yake.
Akikujibu naomba nitag 😭!
 
Issue ya ushoga haina udini Ila ipo kwenye nguvu ya mtu mwenyewe na tamaduni za nchi husika mfano zamani mababu zetu tamaduni zetu zilikuwa wanaume kuoa na mwanamke ndo mke hakuna ujinga wa ushoga maana ilikuwa ni kinyaa na aibu kubwa hivyo tamaduni Zina nguvu kulinda jamii kuliko dini zikiwezeshwa na serikali katika mifumo ya kutunga Sheria, dini hazina serikali na serikali haizitambui dini kwenye kuendesha mambo yake na tamaduni za nchi zake ndo maana unaona mambo Kama hayo yanakuwa hivyo Ila ingekuwa huku nguvu ya tamaduni ingeiabisha serikali na watu wangechukia kuchaguliwa kiongozi wa hivyo.
 
Sometimes kitu hiki kinaweza kufanyika kuhadaa mataifa mengine ili watu waingie kwenye upumbavu,anaweza akawa si shoga lakini inafanywa kuvutia wale wanao hisi ushoga ni sahihi na haki,mwisho wa siku wanalenga watu wasizaliane na watu waingie kwenye ujinga na ushenzi usio kubalika mbele za MUNGU na wanadamu,wanaamini wakiona hivyo vijana walioko shuleni huko wasioweza kupambanua mambo wataiga na kuingia kwenye huo mkumbo.

Na hata kama kuna watu wapo humu jf wanafanya mambo hayo nikuulizeni tu, mtu anasisimka vipi na mwanaume mwenzie?

Ni jambo gumu sana hili na ingewezekana kungewekwa sheria kali sana ktk nchi zetu za Africa ili watu waogope na sheria hizo zitekelezwe
Usha soma Historia ya Ushoga Marekani? Shida kuu nyie hamsomi mnasubilia story za Wakina Mirado Ayo.

Mkuu soma Historia ya Ushoga huko Marekani uone walivyo kuwa na sheria kari sana kuhusu Ushoga. Mashoga enzi hizo walikuwa hata wanauwawa na raia wameua mashoga wengi sana, kuna walio kuwa wanafungwa ila zote hizo hazikumaliza tatizo.
Ni kuulize sheria kari ya kuua imemamliza tatizo la kuua?vipi Ubakaji? Umeisha?
 
Hizi dini za waarabu na wazungu zimeharibu sana fikra za uafrika. Hakuna watu wenye roho mbaya, wabaguzi na wauji wakubwa kama washika dini za kuletewa. Kila dini inamfanya ajione yeye ni mwanadamu bora kuliko mwingine. Ndio maana wanaweza diriki kataa ishi na mtu mwingine kisa hana dini yake. Sasa huyo ni Mungu wa namna asiyetaka watu wote wamuaminiyo kwa njia tofauti wasiishi pamoja. Ni unyumbu fulani.

eti mashoga ndio wanasababisha mvua isinyeshe, na huyo ni mtu aliyeenda shule. Kweli mkoloni alifanikiwa, ajab hata kwenye dini hizi unaweza baguliwa kisa jina tu. Ukiitwa Donald, wavaa kanzu wanakuona sio muislam hadi uitwe Abdulratif. CULTURAL IMPERIALISM!
Ujue kitu ambacho watu hawajui Hata huko Marekani enzi hizo walikuwa na sheria kari sana kuhusu Mashoga, Marekani Mashoga walikuwa wanauwawa sana na kufungwa jera tena miaka ya 1970+ tu walikuwa wanafunga watu.

İla haikusaidia kitu na wala haikupunguza,

Watu wasome historia za Ushoga Marekani
 
Usha soma Historia ya Ushoga Marekani? Shida kuu nyie hamsomi mnasubilia story za Wakina Mirado Ayo.

Mkuu soma Historia ya Ushoga huko Marekani uone walivyo kuwa na sheria kari sana kuhusu Ushoga. Mashoga enzi hizo walikuwa hata wanauwawa na raia wameua mashoga wengi sana, kuna walio kuwa wanafungwa ila zote hizo hazikumaliza tatizo.
Ni kuulize sheria kari ya kuua imemamliza tatizo la kuua?vipi Ubakaji? Umeisha?
Muambie huyo aelewe.
 
Back
Top Bottom