Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Ujue kitu ambacho watu hawajui Hata huko Marekani enzi hizo walikuwa na sheria kari sana kuhusu Mashoga, Marekani Mashoga walikuwa wanauwawa sana na kufungwa jera tena miaka ya 1970+ tu walikuwa wanafunga watu.

İla haikusaidia kitu na wala haikupunguza,

Watu wasome historia za Ushoga Marekani
Waambie hao waelewe.
 
Ujue kitu ambacho watu hawajui Hata huko Marekani enzi hizo walikuwa na sheria kari sana kuhusu Mashoga, Marekani Mashoga walikuwa wanauwawa sana na kufungwa jera tena miaka ya 1970+ tu walikuwa wanafunga watu.

İla haikusaidia kitu na wala haikupunguza,

Watu wasome historia za Ushoga Marekani
nakubaliana na wewe. Miaka hyo hata kuwa idara kama foreign ilikuwa wakipimwa kuthibitisha kuwa sio gays!. Kimsingi haipo sheria itayoweza kudhibiti maamuzi na utashi wa kihisia za wanadamu. Makaburu SA walipiga marufuku mzungu na muafrika kuzaa, lakini kina Trevor noah walizaliwa wengi tu. Wanadamu tujifunze kukubali na kuheshimu tofauti zetu. Jambo ambalo sijawahi pata jibu ni kuwa mtu anaathirika vipi kwenye kuabudu kwake pale mtu mwingine anapokua shoga!
 
mwisho wa siku wanalenga watu wasizaliane
Huo "mwisho wa siku" ni upi? miaka mia ijayo?

Takwimu zinasema, ikifika mwaka 2074, Tanzania itakuwa ni ya tano duniani kwa wingi wa watu (nyuma ya Nigeria, china, india na marekani).

Huo "mwisho wa siku" unaouzungumzia weye ni upi? siku ya kiama?

Ukweli ni kwamba, kama una hamu sana ya kuzaa, basi ukazae. Hakuna atakayekuzuia, wala hakuna sheria yoyote inayoweka mipaka ya kuzaa.

Kuzaa sio jukumu la JUMUIA. Ni jukumu BINAFSI.

Wala usijifanye wewe ni muhamasishaji wa kuzaa. Hiyo sio kazi yako. Ni kiherehere tu.

Ikiwa wengine hawataki kuzaa kwa sababu wao ni mashoga, basi na wasizae. Sio lazima.

Kama unadhani dunia ina watu wachache sana, basi zaa kweli kweli. Fyatua mpaka korodani zikauke.

Una jukumu zito na unaonekana una KIU KALI na ARI ya kuujaza ulimwengu.

Kwa kweli hakuna mwenye ubavu wa kukuzuia kwenye hilo.
 
ujinga na ushenzi usio kubalika mbele za MUNGU
Inategemeana na "mungu" gani unayemzungumzia weye!

Kuna watu wanaabudu miungu inayoruhusu ushoga!

Wengine wanaabudu mawe, tembo, majini na mashetani. Hao ni miungu yao na wanaiheshimu na kuiabudu kweli kweli.

Last i checked, kuna uhuru wa kuabudu as a constitutional right, but also as an international human right.

Ukileta habari za "mungu" usizungumze tu kiujumla jumla kana kwamba watu wote wanaishi kwenye kapu lako la fikra binafsi za kipentekoste!

Zingatia sana specifics.
 
Wewe ndiye unayababakia hizo dini za waume zako mkuu ila Hao Hao waliokuletea hawana time Nazo.
Komaa Nazo sasa na ilhali na wewe ni mwafrika kisa unavaa suti ama kanzu za kwao BASI na wewe unajiona umefanana nao.
Haya mwarabu/ mzungu komaa bana na tamaduni za watu tuone.
Utaniambia kama Hao wachina wapan wahindi hizo dini ni chafu mbele ya aliye juu.
Nakukumbusha tu ya kuwa wapo Wachina Waislamu, Wajapani Waislamu na Wahindi Waislamu.

Wewe mimi naweza kukupa hata miaka hata kumi uokosoe Uislamu hutaweza, naongelea kwa hoja za kielimu siyo hii mihemko ya kijinga na kurukaruka, mkiwa mnaambiwa ukweli mnaelewa.

Sasa kuvaa kanzu au suti ni jambo baya ? Ubaya wake uko wapi na kipimo chako ni kipi ? Kwahoja za mtindo huu wa kitoto utabaki kuwa mjinga mpaka unakufa.
 
Kuna watu wanaabudu mawe, tembo, majini na mashetani. Hao ni miungu yao na wanaiheshimu na kuiabudu kweli kweli.

Last i checked, kuna uhuru wa kuabudu as a constitutional right, but also as an international human right.

Ukileta habari za "mungu" usizungumze tu kiujumla jumla kana kwamba watu wote wanaishi kwenye kapu lako la fikra binafsi.

Zingatia sana specifics.
Hujatuambia ni miungu gani inaruhusu ushoga ?

Ushoga na usagaji ni watu kufata matamanio yao ya nafsi na kutotumia akili, kwa akili ya kawaida kila kiungo kina kazi yake huwezi kuitumia tupu ya kunyea kwa kama tupu ya uzazi huku ni kuwa zaidi ya mnyama ndiyo maana hukumu ya mashoga na wasagaji wote ni kuuwawa na hakuna huruma katika hukumu hizi, sababu ni uzandiki na hila na kuchupa mipaka ya wazi.

Wenye akili timamu siku zote wanaoambana kuweka kila kitu mahala pake na si kinyume chake.
 
Na ndio maana kila siku tunapiga kampeni za kuzuia matumizi ya sumu za ARV zinazoua kwa liver, heart na Kidney failure, pia hizo chanjo za pepo punda tumekuwa na muda wa kutosha wa kujiridhisha nazo, ila hizi za Covid19 zilizoharakishwa, inaonekana zina agenda nyuma yake na ndio maana tukasema ni hadi pale tutakapojiridhisha na ubora na usalama wake, na hatujui ni lini tutajiridhisha.

View attachment 1694648
Swali ni hizo chanjo wameleta wao je unatumia au hutumii? Maelezo mengiii lakini jibu lilikua moja tu,
Kila kitu cha maisha yako unakitumia kutokana na akili zao wakati babu zako wanapekecha moto kwa vijiti, wakina Charlie Chaplin walikua wanafanya maigizo na camera na video cameras vilikuwepo tayari,

Lol.
 
huwezi kuitumia tupu ya kunyea kama tupu ya uzazi
Mbona wameweza sasa?

Actually unaweza hata kuichukua tupu yako ya kunyea kisha ukaikaangia chips mayai. Ni jambo linalowezekana kabisa.

It is called "privacy" and "self determination".

We vipi bwana! Eti haiwezekani?

Kwani wewe ndio msemaji wao?
 
Swali ni hizo chanjo wameleta wao je unatumia au hutumii? Maelezo mengiii lakini jibu lilikua moja tu,
Kila kitu cha maisha yako unakitumia kutokana na akili zao wakati babu zako wanapekecha moto kwa vijiti, wakina Charlie Chaplin walikua wanafanya maigizo na camera na video cameras vilikuwepo tayari,

Lol.
Nasikia eti ushoga ni mpango wa mafirimason wa kuwafanya watanganyika wasizae?
 
Mbona wameweza sasa?

Actually unaweza hata kuichukua tupu yako ya kunyea kisha ukaikaangia chips mayai. Ni jambo linalowezekana kabisa.

It is called "privacy" and "self determination".

We vipi bwana! Eti haiwezekani?

Kwani wewe ndio msemaji wao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mfano wa chipsi mayai nimecheka sana
 
Mbona wameweza sasa?

Actually unaweza hata kuichukua tupu yako ya kunyea kisha ukaikaangia chips mayai. Ni jambo linalowezekana kabisa.

It is called "privacy" and "self determination".

We vipi bwana! Eti haiwezekani?

Kwani wewe ndio msemaji wao?
Ukiwa unasoma maneno uwe unaelewa, naposema huwezi namaanisha inawezekana ndiyo maana wapo mashoga kisha nikasema kitendo hicho ni matumizi mabaya ya akili,na ni hila na uzandiki. Ni sawa leo utembee ukiwa umevaa chupi kichwani utaonekana vipi ? Jibu utaonekana akili yako haiko sawa na ndivyo ilivyo kwa watu hao.

Ichukue tupu yako ya kunyea ikaangie chips kisja uone madhara yake yakoje na ndivyo ilivyo kwa wale wanao ipa kazi tupu ya kunyea kazi ya tupu ya uzazi, hawatoki salama, vipi wnadhuru nafsi zao. Hakuna mpaka kiyama kinasimama atakaye weza kusimamisha hoja kutetea huu usenge kisha akapatia zaidi ya kuzidi kukosea.

Hakuna faragha ya sampuli hiyo, faragha ambayo ilishakemewa tangu na miaka na mikaka.

Siwezi kuwasemea waouvu, bali naisema haki ambayo hakuna wakuipindisha wala kuishusha,sababu kilichoandikwa kimeandikwa.
 
Sasa ndiyo uache kuandika usiyo yajua, ukajiona unajua. Sina muda wa kutafuta jambo ambalo halipo, bali nimekuuliza swali hilo nikiwa najua kabisa huna jibi na nimefanya hivyo kuonyesha uninga wako ulipo.
 
Swali ni hizo chanjo wameleta wao je unatumia au hutumii? Maelezo mengiii lakini jibu lilikua moja tu,
Kila kitu cha maisha yako unakitumia kutokana na akili zao wakati babu zako wanapekecha moto kwa vijiti, wakina Charlie Chaplin walikua wanafanya maigizo na camera na video cameras vilikuwepo tayari,

Lol.
Tulizojiridhisha nazo tunatumia, shida nini kwani? Unataka tutumie ambacho hatujajiridhisha nacho? Ona kilichowakuta South Africa na Astra Zenenca yao

 
Back
Top Bottom