Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilikua umepiga ile takbiriiiii.nimshtue jamaa afute kauli.[emoji23][emoji23][emoji23]Ameshika msaafu?
Tutake radhi wewe kafiri.
Alah akbaru
[emoji848],Sasa ndo nimeanza kumuelewa huyu jamaa sijui Elon musk,ambae amekomaa na space x,2035 asepe zake sayari ya mars kimaisha forever.maana ameona kwa uchafu unaondelea dunia sio salama tena kuishi.Itafika kipindi tutaona ni kawaida tu, mda utaongea
nilijua umepiga ile takbiriiiii.nimshtue jamaa afute kauli.[emoji23][emoji23][emoji23]
Bwana ana huruma atawasamehe hawa pamoja na genge la jiwe!!Sidhani kama hawa watuu watauona ufalme wa bwana
آمين.Bwana ana huruma atawasamehe hawa pamoja na genge la jiwe!!
Hujui maana ya influence issues mkuu?Mambo kama haya mnayaleta humu ya nini? sasa mnatuletea ili tufanye nini, tutalaani tu lkn itasaidia nini na watu wako huko Marekani thousands of kilometers away. We're not concerned with their evil.
Maandiko yapi? Yali walio tuletea wao? Au maandiko ya Dini zetu wenyewe za Kiafrica?Sijaona jipya hapo. Mnashangaa kumuona waziri shoga ila hamshangai kuona scene za kishogo na kisagaji kwenye movies na series zao mkiwa mpo na familia zenu?
Hii kampeni imeanza mda mrefu kuanzia kwenye burudan na sasa imeamia kwenye siasa hiyo yote ni kutuaminisha kuwa hilo ni jambo la kawaida japo wanajua ukwel kuwa ni kinyume na maandiko matakatifu
Kazi ipo kwa wazazi na walezi wa sasa kuwalinda watoto wetu
Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.
Twende kwa mada;
Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.
Amemsifia waziri huyo anayesemekana kuwa ni shoga na ambaye wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake aliyemsaidia kubeba msaafu, pia amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.
👉🏾Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.
View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
☝🏾PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.
👇🏾PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.
View attachment 1694416
Note: The day has come they wanna try it in their government.
yote waliyo leta wao na mila zetu waafrika piaMaandiko yapi? Yali walio tuletea wao? Au maandiko ya Dini zetu wenyewe za Kiafrica?
[emoji3][emoji3][emoji3]Huku kwetu Kuna mpaka walio tayari kuzaa Tena sio mtoto mmoja Bali watatu.
Tunahangaika na mambo mengi yasiyotuhusu mno mpaka inakera! Awe shoga au asiwe shoga hainihusu!Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.
Twende kwa mada;
Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.
Amemsifia waziri huyo ambaye ni shoga na wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake (eti mke) aliyemsaidia kubeba msahafu, pia VP amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.
👉🏾Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.
View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
☝🏾PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.
👇🏾PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.
View attachment 1694416
Note: The day has come they wanna try it in their government.
Ubarikiwe sanaaaaah [emoji120][emoji120][emoji120]Unasema 'inasemekana kwamba ni shoga' sasa hapo bado inasemekana nini, wakati ni kweli yuko hivyo na mwenza wake huyo hapo.
Anyway, mashoga nao si wanasoma, sasa wasipoteuliwa kuwa viongozi elimu zao wanazitumia wapi maana moja ya faida za kuwa na ujuzi ni ikiwemo kupata fursa ya kuteuliwa kuongoza. hongera kwake kwa kupata wadhifa huo mkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah lolHuku kwetu Kuna mpaka walio tayari kuzaa Tena sio mtoto mmoja Bali watatu.
Hakika kabisa.Watajua wenyewe na maungo yao[emoji28][emoji28]
Cha msingi afanye yale yanayompasa kufanya kama waziri.
😂😂😂🤣🤣🤣Umeona eeeh? Naona huwa kanafurahia muhogo wa Jang'ombe!Tena akiwa na bashasha na tabasaamu mwanana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]