Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.

Twende kwa mada;
Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.

Amemsifia waziri huyo anayesemekana kuwa ni shoga na ambaye wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake aliyemsaidia kubeba msaafu, pia amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.

👉🏾Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.


View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
☝🏾PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.


👇🏾PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.

View attachment 1694416



Note: The day has come they wanna try it in their government.
Katiba yetu iliyotungwa na CCM inatetemeka ushoga pia.
 
Ila wamarekani bwana Yani wanaapishana popote hata barabarani.
 
Richard Grenell aliteuliwa kuwa DNI na Trump
Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.

Twende kwa mada;
Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.

Amemsifia waziri huyo anayesemekana kuwa ni shoga na ambaye wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake aliyemsaidia kubeba msaafu, pia amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.

[emoji1485]Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.


View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
[emoji1489]PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.


[emoji1484]PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.

View attachment 1694416



Note: The day has come they wanna try it in their government.
 
Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.

Twende kwa mada;
Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.

Amemsifia waziri huyo anayesemekana kuwa ni shoga na ambaye wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake aliyemsaidia kubeba msaafu, pia amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.

👉🏾Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.


View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
☝🏾PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.


👇🏾PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.

View attachment 1694416



Note: The day has come they wanna try it in their government.
MWANDISHI UTOFAUTISHE KATI YA MSAHAFU NA BIBLIA...........!!! USITAKE KUCHAFUA HALI YA HEWAA............. MSAHAFUUU.............?
 
MWANDISHI UTOFAUTISHE KATI YA MSAHAFU NA BIBLIA...........!!! USITAKE KUCHAFUA HALI YA HEWAA............. MSAHAFUUU.............?
Nini maana ya msahafu kijana wangu?
 
Ameshika msaafu?
Tutake radhi wewe kafiri.
Alah akbaru
IMG_20210205_115859.jpg
 
That was fake news mzee

Reuters walikanusha hii story kwa ushahidi.

Umeona sasa unavyoshindwa kutumia akili yako na kufuata upepo kama bendera, unaweza kuniambia tofauti ya ‘Vaccine’ na ‘anti- virus’ kama wanavyotaka kuiita? , mtu anapoweka ‘anti- viral’ software kwenye computer yake, maana yake nini?

Na hiyo ‘anti-virus’ wanachosema hao reauters ni kweli ilikuwa label kwenda kwa nchi hizo za Afrika, na maelezo wanayotoa ni masoko yanayopewa dawa kwa ufadhili, hebu sikiliza video ya hawa wanasanyansi wa kifaransa wanavyosema. Sasa unaposema fake news una maana gani, maana haikuwa news, ilikuwa ni label tu, na hiyo label si fake, ni kweli imeandikwa hivyo, soma hiyo link uliyoweka utaona.

 
Bila shaka''Democratic'' ni watumishi wa ibilisi /mawakala wa shetani,Marekani na duniani kwa ujumla!
 
Umeona sasa unavyoshindwa kutumia akili yako na kufuata upepo kama bendera, unaweza kuniambia tofauti ya ‘Vaccine’ na ‘anti- virus’ kama wanavyotaka kuiita? , mtu anapoweka ‘anti- viral’ software kwenye computer yake, maana yake nini?

Na hiyo ‘anti-virus’ wanachosema hao reauters ni kweli ilikuwa label kwenda kwa nchi hizo za Afrika, na maelezo wanayotoa ni masoko yanayopewa dawa kwa ufadhili, hebu sikiliza video ya hawa wanasanyansi wa kifaransa wanavyosema. Sasa unaposema fake news una maana gani, maana haikuwa news, ilikuwa ni label tu, na hiyo label si fake, ni kweli imeandikwa hivyo, soma hiyo link uliyoweka utaona.


Fake news ni kama ifuatavyo
1. Sio kweli inauzwa Africa tu bali hiyo batch ndio ina licence kwa kuuzwa hizo nchi tajwa ili iwe kwa bei rahisi.

2. Hyo Anti-Virus na sio vaccine kama ulivyo dai. Maana chanjo ni kuzuia ila anti virus ni kuponya tatizo ambalo tayari limekupata so sio chanjo kabisa hiyo ambayo mtu asiye na Covid angepewa.

3. Hyo Anti virus pia inauzwa marekani na Canada na inatengenezwa na kampuni hyo hyo ya Gilead sema inauzwa kwa leseni tofauti kwa hyo hapo ni package tofauti ila sio kwamba soko ni tofauti kma unavyotaka kupotosha hapa kwamba chanjo ni kwa Africa tu.


Ndio maana kuna spaghetti na electronics unakuta zimeandikwa FOR EXPORT ONLY or NOT FOR SALE IN JAPAN!! haimaanishi ni sumu au haiuzwi ndani ya nchi bali kuna restrictions kutokana na licensing, Patents,Monopoly, Anti-trust laws, M & A, Special economic zones regulations etc.
 

Hii video nayo upuuzi tu... Selectivity ile ile. Wakisema wanafanya utafiti Asia au Ulaya hampost ila Wakisema Africa ndio mnalia lia eti ubaguzi.

Mfano clinical trials za Vaccine za pfizer au AstraZeneca wamefanyia wazungu ila sijasikia mkisema ni ubaguzi but angefanyiwa black America kma naona ambavyo mngejaza tweets kwa hashtag ya #BlackLivesMatter

Tuacheni inferiority complex na kuplay victim kila siku
 
Fake news ni kama ifuatavyo
1. Sio kweli inauzwa Africa tu bali hiyo batch ndio ina licence kwa kuuzwa hizo nchi tajwa ili iwe kwa bei rahisi.

2. Hyo Anti-Virus na sio vaccine kama ulivyo dai. Maana chanjo ni kuzuia ila anti virus ni kuponya tatizo ambalo tayari limekupata so sio chanjo kabisa hiyo ambayo mtu asiye na Covid angepewa.

3. Hyo Anti virus pia inauzwa marekani na Canada na inatengenezwa na kampuni hyo hyo ya Gilead sema inauzwa kwa leseni tofauti kwa hyo hapo ni package tofauti ila sio kwamba soko ni tofauti kma unavyotaka kupotosha hapa kwamba chanjo ni kwa Africa tu.


Ndio maana kuna spaghetti na electronics unakuta zimeandikwa FOR EXPORT ONLY or NOT FOR SALE IN JAPAN!! haimaanishi ni sumu au haiuzwi ndani ya nchi bali kuna restrictions kutokana na licensing, Patents,Monopoly, Anti-trust laws, M & A, Special economic zones regulations etc.
1.) Aliyesema inauzwa Africa pekee ni nani?
2.)Point is ni kwa ajili ya Corona
3.)Aliyesema haiuzwi Marekani na Canda ni nani?

Mwisho, ufeki wa hiyo label ni upi? Na waliotengeneza wamekiri kuiandika hivyo kwa malengo ya bei za ufadhili? Swali kuu litakuja, wametumia Criteria ipi kutoa huo ufadhili? Rangi ya ngozi?
4D318B42-96DA-48F9-8B12-32ED1E1CE6B4.jpeg
 
Hii video nayo upuuzi tu... Selectivity ile ile. Wakisema wanafanya utafiti Asia au Ulaya hampost ila Wakisema Africa ndio mnalia lia eti ubaguzi.

Mfano clinical trials za Vaccine za pfizer au AstraZeneca wamefanyia wazungu ila sijasikia mkisema ni ubaguzi but angefanyiwa black America kma naona ambavyo mngejaza tweets kwa hashtag ya #BlackLivesMatter

Tuacheni inferiority complex na kuplay victim kila siku
Labda kama hujasikiliza walichosema, wamesema kwamba wawape wazungu chanjo za placebo (chanjo hewa) halafu zile chanjo zenyewe za majaribio waje wawajaribie waAfrika ili wakiona haina madhara, ndio wakawape wazungu, au huelewi lugha inayotumika kwenye subtitle?
 
Labda kama hujasikiliza walichosema, wamesema kwamba wawape wazungu chanjo za placebo (chanjo jewa) halafu zile chanjo zenyewe za majaribio waje wawajaribie waAfrika ili wakiona haina madhara, ndio wakawape wazungu, au huelewi lugha inayotumika kwenye subtitle?
Hyo video ni toka mwaka jana April au May nadhani, hata hakuna vaccine iliyokua developed na hao sio CDC au WHO kiasi wadictate clinical trials kwa racial grounds. Tukileta maoni ya kila mtu wa mtaani na kusema ndio yanareflect Mainstream medical Hierarchies tunakosea sana.

Ni sawa na leo umuhoji Dr.Mwaka alafu useme ndio malengo ya Sekta ya Afya Tanzania kwa ujumla wake!! What's that??
 
Hyo video ni toka mwaka jana April au May nadhani, hata hakuna vaccine iliyokua developed na hao sio CDC au WHO kiasi wadictate clinical trials kwa racial grounds. Tukileta maoni ya kila mtu wa mtaani na kusema ndio yanareflect Mainstream medical Hierarchies tunakosea sana.

Ni sawa na leo umuhoji Dr.Mwaka alafu useme ndio malengo ya Sekta ya Afya Tanzania kwa ujumla wake!! What's that??
Kama umesikikiza utagundua wamesema kwamba wafanye kama wanavyofanyaga miaka yote kwa magonjwa kama HIV, hii video imefichua kwamba ni kawaida ya hao wazungu kuleta chanjo za majaribio huku Afrika halafu wanawapa watu wao chanjo hewa, wakishajua ipi haina madhara baada ya kujaribi waAfrika ndio sasa wanaenda kuwapa watu wao, hayo si maoni yao, hao ni wanasayansi nguoi ambao wamekuwa wakishiriki hizo tafiti. Hivi tatizo ni lugha iliyotumika kwenye subtitle au shida ni nini?
 
1.) Aliyesema inauzwa Africa pekee ni nani?
2.)Point is ni kwa ajili ya Corona
3.)Aliyesema haiuzwi Marekani na Canda ni nani?

Mwisho, ufeki wa hiyo label ni upi? Na waliotengeneza wamekiri kuiandika hivyo kwa malengo ya bei za ufadhili? Swali kuu litakuja, wametumia Criteria ipi kutoa huo ufadhili? Rangi ya ngozi?
View attachment 1695375
Ufeki ni kuita hizo vaccines wakati ni Anti Virus kwahiyo hyo caption uliyopost imepotosha. Watu watadhani ni jamii ya chanjo ambazo zinasambazwa kwa sasa!! Hyo ni misinformation mkuu kubali umechemka.

2. Aliyesema inauzwa Africa pekee ni ww unayepost package ambayo lipo kwenye soko la Afrika ili kuaminisha watu kwamba hyo Anti Virus ni specific kwa Africa tu na kwamba wazungu wanapewa tofauti. Toka lini package na content zikawa kitu kimoja?? Nmekuwekea link ya hyo Gilead inc. Kasome humo ndani uone sababu za kwanini ipo labeled tofauti kwa nchi husika.

3. Kingine ufadhili uko meant kwa ajili ya nchi za ulimwengu wa tatu ambazo obviously nchi nyingi za Africa zinaingia hapo!! Na negotiation unakuta imehusisha regional blocs mfano AU, ASEAN kwahyo batch inakuja kulingana na nchi signatories.

Ndio maana nmekwambia licensing, patents, Subsidies, Anti-trust policies or wateva zinachangia ku bar bidhaa fulani kuuzwa kwenye eneo specific na sio jingine.

Nmekuuliza hapa kwanini electronics kutoka japn huwa zinaandikwa for Exports only? Ina maana wanataka zitudhuru wengine wao wapone? Mbona waafrika tunajidharau sana.
 
Back
Top Bottom