Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Ufeki ni kuita hizo vaccines wakati ni Anti Virus kwahiyo hyo caption uliyopost imepotosha. Watu watadhani ni jamii ya chanjo ambazo zinasambazwa kwa sasa!! Hyo ni misinformation mkuu kubali umechemka.

2. Aliyesema inauzwa Africa pekee ni ww unayepost package ambayo lipo kwenye soko la Afrika ili kuaminisha watu kwamba hyo Anti Virus ni specific kwa Africa tu na kwamba wazungu wanapewa tofauti. Toka lini package na content zikawa kitu kimoja?? Nmekuwekea link ya hyo Gilead inc. Kasome humo ndani uone sababu za kwanini ipo labeled tofauti kwa nchi husika.

3. Kingine ufadhili uko meant kwa ajili ya nchi za ulimwengu wa tatu ambazo obviously nchi nyingi za Africa zinaingia hapo!! Na negotiation unakuta imehusisha regional blocs mfano AU, ASEAN kwahyo batch inakuja kulingana na nchi signatories.

Ndio maana nmekwambia licensing, patents, Subsidies, Anti-trust policies or wateva zinachangia ku bar bidhaa fulani kuuzwa kwenye eneo specific na sio jingine.

Nmekuuliza hapa kwanini electronics kutoka japn huwa zinaandikwa for Exports only? Ina maana wanataka zitudhuru wengine wao wapone? Mbona waafrika tunajidharau sana.
1.) Vaccine au Anti-viral, ni ya Corona hiyo ndio hoja, ya Corona.

2.)Nimepost package aunthentic kama ilivyo, sijasema wala kutaka kuaminisha zaidi ya kile kilichooneshwa kwenye package.

3.) Hapa ndio penyewe, ni kigezo gani kimetumika kutoa ufadhili kwa nchi za AU zenye watu wenye ngozi nyeusi pekee? Mfano why South Africa ipo na Libya haipo? Au hao waarabu hawapo AU?
 
hii video imefichua kwamba ni kawaida ya hao wazungu kuleta chanjo za majaribio huku Afrika halafu wanawapa watu wao chanjo hewa,
Kawaida ya kina nani? Hvi umewahi fanya tafiti? Kuna kipengele kinaitwa generalisation!! Huwezi tumia case study moja kugeneralise topic nzima. Hyo ni error kubwa sana

Ssa ww unatumia mfano wa taasisi za vichochoroni kugeneralise kwamba mainstream health institutions kma CDC-Us ndio wanafanya huo uchafu? Hii ni mis information unayoleta nashangaa TCRA hawafiki huku.
 
Kawaida ya kina nani? Hvi umewahi fanya tafiti? Kuna kipengele kinaitwa generalisation!! Huwezi tumia case study moja kugeneralise topic nzima. Hyo ni error kubwa sana

Ssa ww unatumia mfano wa taasisi za vichochoroni kugeneralise kwamba mainstream health institutions kma CDC-Us ndio wanafanya huo uchafu? Hii ni mis information unayoleta nashangaa TCRA hawafiki huku.
Ndugu yangu, hao ni scientist nguli huko Ulaya, na ndio wamekuwa wakisimamia hizo tafiti, na wamesuggest kwamba kifanyike kile ambacho wamekuwa wakifanya, sasa sijui unatakaje. Au lugha iliyotumika ndio shida?
 
Moja ya mambo yanayoleta utofauti kati ya Donald Trump na huyu American presida wa sasa Joseph Biden ni msimamo katika baadhi ya mambo.

Twende kwa mada;

Masaa machache yaliyopita makamu wa Rais wa marekani mwanamama Kamala Harris, amemwapisha waziri wa usafirishaji na miundombinu nchini humo.

Amemsifia waziri huyo anayesemekana kuwa ni shoga na ambaye wakati wa kuapa kwake alikuwa na mwenza wake aliyemsaidia kubeba msaafu, pia amesema jamaa huyo ndiye atawaleta wamarekani pamoja katika kuimarisha idara hiyo.

[emoji1485]Hapa chini nimekuwekea picha tofauti usome alama za nyakati kwa safari iliyopo mbele kwa taifa hili kubwa kutoa alama hii maridhawa kwa mataifa yanaoendelea.

View attachment 1694413View attachment 1694414View attachment 1694415
[emoji1489]PHOTOS: Maelezo ya picha hizo tatu ni kuapishwa kwa viongozi tofauti wakiwa na familia zao, picha ya kwanza ni mmoja wa mawaziri asiye na mume wala jamaa/ndugu aliyeambatana naye.


[emoji1484]PHOTO: Huyu ndiye waziri wa usafirishaji na miundombinu Pete Buttigieg aliyeapishwa na VP Kamala, inasemekana ni shoga, pembeni ni mpenzi wake aliyeshika msaafu.

View attachment 1694416

Note: The day has come they wanna try it in their government.
Huo msaafu ni upi?
 
1.) Vaccine au Anti-viral, ni ya Corona hiyo ndio hoja, ya Corona.

2.)Nimepost package aunthentic kama ilivyo, sijasema wala kutaka kuaminisha zaidi ya kile kilichooneshwa kwenye package.

3.) Hapa ndio penyewe, ni kigezo gani kimetumika kutoa ufadhili kwa nchi za AU zenye watu wenye ngozi nyeusi pekee? Mfano why South Africa ipo na Libya haipo? Au hao waarabu hawapo AU?
1. Kwenye sheria ukishasema hii ni konyagi... Ikionekana ni maji huwezi sema eti zote ni jamii moja kisa rangi!! Kubali kwamna caption imepotosha kwamba chanjo zimeletwa kwa ajili ya Africa hapana ni Anti Virus yaani kwa mgonjwa tu tena wa level ya mwisho!!! Ikimaanisha waafrika 0.00002% ndio wako eligible kuitumia.

2. Package ni authentic ndio ila hujapost na package ya same dawa inayopelekwa Canada. Kuna heading nliwahi kusoma inadai mchezaji kafungiwa kisa kunyoa mywele..... Mie nkafungua link kumbe kafungiwa sababu ya kunyoa nywele kwenye eneo ambalo kuna strict lockdown rules!! Yaani unatoa habari biased ilo kupotosha. Kwanni usingesema kwa caption kwamba hii ni batch ya Africa ila zipo za kuelekea kwingine?

3. Kma ww umesoma takwimu za WITS au world bank mara kibao reference ya GDP ni sub sahara na north africs ziko treated tofauti. Same to takwimu za ukimwi na uchumi...... Hta umaskini ikipihwa average ni sub sahara kivyake na North kivyake hili kwa mtu yeyote ambaye ni mchambuzi wa ripoti analielewa. Kwahiyo sio hoja unless ungehoji kwanni takwimu zimebagua sub sahara ila sio kuibua hapa kwamba tumetengwa. Still unarudia kosa lile lile
 
Ndugu yangu, hao ni scientist nguli huko Ulaya, na ndio wamekuwa wakisimamia hizo tafiti, na wamesuggest kwamba kifanyike kile ambacho wamekuwa wakifanya, sasa sijui unatakaje. Au lugha iliyotumika ndio shida?
Scientist nguli kivipi? Niambie wapo taasisi gani alafu tugoogle market share yao!! Yaani leo AZAKI ikitoa tafiti ndio msimamo wa nchi nzima?

Kuhusu lugha mbona unakimbilia huko..... Kma unajiamini I challenge you tu-debate hii mada kwa kiingereza mwanzo mwisho ili tuone kma lugha ni changamoto kwa nani haswa!!
 
Unasema 'inasemekana kwamba ni shoga' sasa hapo bado inasemekana nini, wakati ni kweli yuko hivyo na mwenza wake huyo hapo.

Anyway, mashoga nao si wanasoma, sasa wasipoteuliwa kuwa viongozi elimu zao wanazitumia wapi maana moja ya faida za kuwa na ujuzi ni ikiwemo kupata fursa ya kuteuliwa kuongoza. hongera kwake kwa kupata wadhifa huo mkubwa.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Comrade kuna tatizo kwenye hii lugha yetu, msahafu ni kitabu kitakatifu, so hapo hakijatajwa either ni Biblia au Quran so tuwe wapole.
So ndio nimeshangaa watu walivyokuwa Wana react .. Bila Shaka hawajui maana ya msahafu ninini!!?
 
Ushetani ni nani aliyekufungua ukajua kuwa ni ushetani ama ni hizo dini jamaa walikuwa enzi za utumwa wakakupumbaza unashikilia kitabu huku wao wakichukua madini na ardhi nzuri.
Yaani bana MTU kama sokwe yeye akaletewa dini Leo hii anajifanya kumkosoa aliyemletea.
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Taratibu za kidini haziruhusu sababu jamaa kaolewa na mwanaume mwenzake then wanashika Quran haina hata taswira njema
Kuapa kwa kitabu cha dini ni takwa la kisheria, quran au bible hiyo ni imani Ya muapaji. Sasa kama ni mkosaji kwa dini yake, hayo serikali haiwahusu, ni kati yake na Mungu wake. Ni kama vile tu muislam yeyote akitaka kuapa haulizwi kama ameoga janaba au Hapimwi pombe[ambayo ni makatazo kwa kushika quran].
 
Kuapa kwa kitabu cha dini ni takwa la kisheria, quran au bible hiyo ni imani Ya muapaji. Sasa kama ni mkosaji kwa dini yake, hayo serikali haiwahusu, ni kati yake na Mungu wake. Ni kama vile tu muislam yeyote akitaka kuapa haulizwi kama ameoga janaba au Hapimwi pombe[ambayo ni makatazo kwa kushika quran].
Boss mbona upo upande wa gays boss au na wewe sio jinsia yetu huwa hatuhukumu ila lazima uwe na msimamo
 
1. Kwenye sheria ukishasema hii ni konyagi... Ikionekana ni maji huwezi sema eti zote ni jamii moja kisa rangi!! Kubali kwamna caption imepotosha kwamba chanjo zimeletwa kwa ajili ya Africa hapana ni Anti Virus yaani kwa mgonjwa tu tena wa level ya mwisho!!! Ikimaanisha waafrika 0.00002% ndio wako eligible kuitumia.

2. Package ni authentic ndio ila hujapost na package ya same dawa inayopelekwa Canada. Kuna heading nliwahi kusoma inadai mchezaji kafungiwa kisa kunyoa mywele..... Mie nkafungua link kumbe kafungiwa sababu ya kunyoa nywele kwenye eneo ambalo kuna strict lockdown rules!! Yaani unatoa habari biased ilo kupotosha. Kwanni usingesema kwa caption kwamba hii ni batch ya Africa ila zipo za kuelekea kwingine?

3. Kma ww umesoma takwimu za WITS au world bank mara kibao reference ya GDP ni sub sahara na north africs ziko treated tofauti. Same to takwimu za ukimwi na uchumi...... Hta umaskini ikipihwa average ni sub sahara kivyake na North kivyake hili kwa mtu yeyote ambaye ni mchambuzi wa ripoti analielewa. Kwahiyo sio hoja unless ungehoji kwanni takwimu zimebagua sub sahara ila sio kuibua hapa kwamba tumetengwa. Still unarudia kosa lile lile
1.) Nimeshakueleza, na narudia, ni ya Corona, be it Vaccine au Anti-Viral drug, ni ya Corona. Lengo kuu lilikuwa ni kuonyesha discrepancies katika ugawaji wa hizo zana (vaccine/ anti-virals) kwa watu wa Afrika wenye ngozi nyeusi.

2.) Hiyo package ya hiyo dawa ya kupelekwa Canada wewe ndio upost kama unadhani ipo au umewahi kuiona, ila nimepost package authentic kama ilivyo, na si feki.

3.) Kama Criteria ni kuwapa Subsahara na kuwaengua North Africa, nitakuuliza, kati ya Mali na Libya ipi ipo North na ipi ni Subsahara (South of the Sahara) , na kwanini?.(Rejea ramani ya sahara desert). Pia, uchumi wa South Africa na Libya upi upo juu, na upi unastahili ufadhili?
10737FD3-97DF-4317-95CF-E89730E3793D.jpeg



F7D846EA-ED87-4A2B-9324-F9BF436D7D72.jpeg
 
Ushetani ni nani aliyekufungua ukajua kuwa ni ushetani ama ni hizo dini jamaa walikuwa enzi za utumwa wakakupumbaza unashikilia kitabu huku wao wakichukua madini na ardhi nzuri.
Yaani bana MTU kama sokwe yeye akaletewa dini Leo hii anajifanya kumkosoa aliyemletea.
Haha. Mwanafunzi anamkosoa mwalimu wake!

Mijitu nyumbu nyumbu hii, wao kila kitu wanabugia tu.

Hawajui hata chimbuko na dhima ya hizi dini za kikoloni. Wao ni kumeza tu!

Ooohh ati shoga hapaswi kuapa kwa Quran na biblia! Anaandika kwa mamlaka kama ka-mungu fulani kalichosimikwa na kutawazwa!

Huko Tanganyika Rais anaweza kuamrisha MAMIA ya wanaoandamana WAUWAWE kwa risasi, halafu kesho yake anashika biblia anaapa tena kwa bashasha kabisa!

Ni unafiki ulioje WAUWAJI wanaweza kuapa kwa biblia huku wanatabasamu na kupigiwa makofi, lakini huyu mzungu anayeishi maisha yake anaambiwa ati hapaswi kushika biblia!

Kama dini zinawajaza watu utaahira wa aina hii, basi kwa hakika zinapaswa kufutiliwa mbali na kuwa legislated as a criminal offense.

Hizi biblia na Quran ni chanzo cha GHASIA na UWENDAWAZIMU katika jamii! Zinawafanya watu kuwehuka na kupoteza fahamu.
 
Boss mbona upo upande wa gays boss au na wewe sio jinsia yetu huwa hatuhukumu ila lazima uwe na msimamo
hahaha, mimi navutiwa na wanawake tu. Vipi wewe upo upande wa wanaoruhusu utumwa na kuoa mabinti wa miaka 9.

Msimamo wangu ni kuwa mambo ya imani ya mtu binafsi so long hayathiri maisha ya wengine, hiyo ni juu yake na Mungu wake.
 
Scientist nguli kivipi? Niambie wapo taasisi gani alafu tugoogle market share yao!! Yaani leo AZAKI ikitoa tafiti ndio msimamo wa nchi nzima?

Kuhusu lugha mbona unakimbilia huko..... Kma unajiamini I challenge you tu-debate hii mada kwa kiingereza mwanzo mwisho ili tuone kma lugha ni changamoto kwa nani haswa!!
Walichosema ni kwamba, kifanyike kile ambacho wamekuwa wakifanya, na hao ni prominent scientists katika moja ya vituo vya utafiti huko ufaransa, na ndio wamekuwa wakiendesha na kisimamia baadhi ya hizo tafiti ambazo walifanya huko nyuma, sasa kama wao ndio walikuwa wakifanya hicho kitu, na wamefanya rejea katika televisheni wakijadili na kushauriana wafanye kama ambavyo wamekuwa wakifanya katika tafiti za HIV, unahitaji nini tena? Maana lugha kumbe sio tatizo..., je, huna bundle la kuangalia hiyo video?
 
hahaha, mimi navutiwa na wanawake tu. Vipi wewe upo upande wa wanaoruhusu utumwa na kuoa mabinti wa miaka 9.

Msimamo wangu ni kuwa mambo ya imani ya mtu binafsi so long hayathiri maisha ya wengine, hiyo ni juu yake na Mungu wake.
Mimi ni mkristo kwanza issue ni kuhusu mtu kuwa gay na kujihusha na maneno ya Mungu hii HAIKUBALIKI
 
Mimi ni mkristo kwanza issue ni kuhusu mtu kuwa gay na kujihusha na maneno ya Mungu hii HAIKUBALIKI
Kwa hiyo waasherati, wazinzi, walevi, wafitini, waongo, wachawi n.k wao ndio wanahaki ya kujishughulisha na Mungu? If, so huyo Yesu [unayemuamini] hata sijui kama unajua kuwa alikuja kwa ajili gani.

unanifanya niamini kuwa washika ndio most inhuman people. Mtazamo wako huu, napata shida kukutofautisha na wanazi au boko kharam.
 
Back
Top Bottom