Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Donnie Charlie
Unaelewa maana ya ‘chanjo iliyoharakishwa’? Au unatoa ubongo na kujaza funza kichwani?

Chanjo za surua, polio na zingine nyingi zimekuwapo mida mrefu na tumeweza kujiridhisha nazo, ila hiza za Covid-19 zinaonekana kuwa na agenda nyuma yake, hivyo ni hadi tutakapojiridhisha, na hatujui tutajiridhisha lini
D3CF4E29-47A6-4869-A699-00BB8C99BA48.jpeg
 
Ila hao hao mash.oga wakileta ARVs za bure na chanjo za pepopunda tunazikubali!!

Hvi tuna akili kweli?
Na ndio maana kila siku tunapiga kampeni za kuzuia matumizi ya sumu za ARV zinazoua kwa liver, heart na Kidney failure, pia hizo chanjo za pepo punda tumekuwa na muda wa kutosha wa kujiridhisha nazo, ila hizi za Covid19 zilizoharakishwa, inaonekana zina agenda nyuma yake na ndio maana tukasema ni hadi pale tutakapojiridhisha na ubora na usalama wake, na hatujui ni lini tutajiridhisha.

847D9E7D-332F-453A-A9C0-4109B721F3C9.jpeg
 
Donnie Charlie
Unaelewa maana ya ‘chanjo iliyoharakishwa’? Au unatoa ubongo na kujaza funza kichwani?

Chanjo za surua, polio na zingine nyingi zimekuwapo mida mrefu na tumeweza kujiridhisha nazo, ila hiza za Covid-19 zinaonekana kuwa na agenda nyuma yake, hivyo ni hadi tutakapojiridhisha, na hatujui tutajiridhisha lini
View attachment 1694643
Kwa kuwa nina funza kichwani naomba nitulie, ila maana yangu ilikuwa kama kuna kitu wana nia nacho kibaya wana uwezo bado wa kutudhuru.
 
Kwa kuwa nina funza kichwani naomba nitulie, ila maana yangu ilikuwa kama kuna kitu wana nia nacho kibaya wana uwezo bado wa kutudhuru.
Kwahiyo kisa wanauwezo wa kutudhuru, basi na sisi tuzubae tu kusubiri kudhurika bila kufanya kilicho ndani ya uwezo wetu kuepukana nalo , hata kwa zile hatari zilizo dhahiri?

CDFBCF56-2107-4ECD-8137-92C3D31E9AA1.jpeg
 
Halafu kenge kama hao wakuletee chanjo ya kuharakishwa na wewe uikubali, hivi itakuwa tuna akili sawa sawa kweli?!
Lakini ajabu pesa zao mnachukua


Hao ndio wale wadau wenu wa maendeleo

Msiwe wepesi kusahau
 
Lakini ajabu pesa zao mnachukua


Hao ndio wale wadau wenu wa maendeleo

Msiwe wepesi kusahau
Yeah, sasa kama mtu anajileta mwenyewe na visenti vyake na sisi tuna uhaba wa vitanda vya kujifungulia, ni kwanini tusilambe pesa hiyo, tunafyeka tu
 
Koma kutajataja Msahafu kwenye mambo za kijinga mnazofanya na huyo mzwenzio miosa akili wewe
Naomba nikusahihishe kwamba huyo aliyeshika msahafu ni mme wake na huyo waziri! Na ukumbuke kwamba waziri amechukua ubin wa mmewe maana hilo jina la mwisho ni la huyo mmewe (anaitwa somebody Buttigieg)
 
Ushetani ni nani aliyekufungua ukajua kuwa ni ushetani ama ni hizo dini jamaa walikuwa enzi za utumwa wakakupumbaza unashikilia kitabu huku wao wakichukua madini na ardhi nzuri.
Yaani bana MTU kama sokwe yeye akaletewa dini Leo hii anajifanya kumkosoa aliyemletea.
Huuu ushetani mwingine hata kama ni sio muislam lakini shoga hawezi kuapa ameshika kitabu cha mwenyenzi Mungu ni dharau kubwa sana
 
Kwa kuwa nina funza kichwani naomba nitulie, ila maana yangu ilikuwa kama kuna kitu wana nia nacho kibaya wana uwezo bado wa kutudhuru.
Si rahisi sana kutekeleza hilo , nchi zao zinaweza zisitawalike maana hayo si matakwa ya wananchi wanaowaongoza na inakuwa si matakwa na kipaumbelw za taifa
 
Koma kutajataja Msahafu kwenye mambo za kijinga mnazofanya na huyo mzwenzio miosa akili wewe
Na wewe naona ni mfia dini. Hivi Hao waaarabu na wazungu wasingekuja Africa ungeongea Hayo uliyoongea Leo hii.
Kumbuka dini ni tamaduni za watu wengine na sio kuwa unakuwa teja unafuata fuata tu.

Hebu check mahindi,waarabu,wajaapan,wakorea,wazungu,wathailand,wamongolia na watu wa mataiafa yao wana tamaduni zao ikiwemo majina yao,mavazi,chakula,lifestyle, dini zao ila mwafrika tu ndiye uliyefanywa ndondocha ama msukule kukomaa na tamaduni za wanaume wengine.

They'd brainwashed us that every things belongs to us even our own names are evils,our culture belong to Satan lifestyle, our foods,even our colours are not superior.

By doing so our people try to bleach skinso that become like wazungu but Our creator created you with our own identity.
Hebu Africa tusiwe wajinga bana kwanza dini zenyewe na ukabila zinafanya watu tunachukiana na kupigana na tunakosa umoja.

Jikomboe sasa toka utumwani jamani.

Yaani afrika bana MTU akioa mzungu ama mwarabu anajiona kuwa ni Bonge LA mjanja mbona sioni na Hao jamaa wanashobokea Dada zetu.

Hizi dini na makabila zinatugawanya na tunauana Africa kisa hizo tamaduni Hao wenye ngozi kama ya nguruwe wametuletea
 
Moja kati ya vitu wakoloni walivyofanikiwa Africa ni kujaza ujinga waafrika kupitia hizi dini.
Yaani mkuu siku Africa ikiamka tutapiga hatu sana.

Kamsome kuna mchina mmoja twitani anashauri waafrika tuwe na identity yetu.

Leo hii mtoto kuongea English ama kiarabu kuwa ndo unajiona mjanja na ilhali mfaransa ,mjerumani,mchina hashobokei hizo lugha.
 
Sijaona jipya hapo. Mnashangaa kumuona waziri shoga ila hamshangai kuona scene za kishogo na kisagaji kwenye movies na series zao mkiwa mpo na familia zenu?

Hii kampeni imeanza mda mrefu kuanzia kwenye burudan na sasa imeamia kwenye siasa hiyo yote ni kutuaminisha kuwa hilo ni jambo la kawaida japo wanajua ukwel kuwa ni kinyume na maandiko matakatifu

Kazi ipo kwa wazazi na walezi wa sasa kuwalinda watoto wetu
 
Vizuri ungeondoa neno MSAAFU,kwani ustaarabu ni pamoja na kuheshimu imani za wengine.
Wewe ndiye unayababakia hizo dini za waume zako mkuu ila Hao Hao waliokuletea hawana time Nazo.

Komaa Nazo sasa na ilhali na wewe ni mwafrika kisa unavaa suti ama kanzu za kwao BASI na wewe unajiona umefanana nao.
Haya mwarabu/ mzungu komaa bana na tamaduni za watu tuone.

Utaniambia kama Hao wachina wapan wahindi hizo dini ni chafu mbele ya aliye juu.
 
Si wamefanikiwa kukuaminisha na umekaririshwa kuwa afrika dini zetu hazifai Bali za wazungu na za waarabu hazifai.
Kumbuka mhindi angeweza kuitawala dunia BASI Leo hii Ungekuwa wewe ni Buddha ama Hinduism
Huyu ni Mkatoliki acha kuleta kashfa katika dini wewe pant dropper
Unafanya makusudi kutafuta reactions za watu
Anyway pole sana
 
Wewe ndiye unayababakia hizo dini za waume zako mkuu ila Hao Hao waliokuletea hawana time Nazo.
Komaa Nazo sasa na ilhali na wewe ni mwafrika kisa unavaa suti ama kanzu za kwao BASI na wewe unajiona umefanana nao.
Haya mwarabu/ mzungu komaa bana na tamaduni za watu tuone.
Utaniambia kama Hao wachina wapan wahindi hizo dini ni chafu mbele ya aliye juu.
"Waume zako....ndio akina nani..."

Au asifiaye mvua mmemnyeshea au kwenu mpo vice vera ndio michezo yenu.
 
Back
Top Bottom