Hatimaye waziri shoga nchini Marekani ala kiapo kulitumikia Taifa

Naomba nikusahihishe kwamba huyo aliyeshika msahafu ni mme wake na huyo waziri! Na ukumbuke kwamba waziri amechukua ubin wa mmewe maana hilo jina la mwisho ni la huyo mmewe (anaitwa somebody Buttigieg)
Sasa mkuu hujaelewa wapi mpaka unisahihishe pasipo hitaji kusahihisha?

Soma tena uelewe au nikusaidie kama ifuatavyo; Huyo waziri anaitwa Pete na huyo pusi wake anaitwa buttigieg so nilichoandika ni pete buttigieg, ikiwa na maana majina yameungana so what's wrong 😬?.
 
Uelewa wako mdogo sana! Mimi nilichokusahihisha hapo ni kusema aliyemshikia kitabu ni mpenzi wake! Kuna tofauti kati ya mpenzi na mtu wa ndoa!
 
So sad
 
Huyu ni Mkatoliki acha kuleta kashfa katika dini wewe pant dropper
Unafanya makusudi kutafuta reactions za watu
Anyway pole sana
Comrade kuna tatizo kwenye hii lugha yetu, msahafu ni kitabu kitakatifu, so hapo hakijatajwa either ni Biblia au Quran so tuwe wapole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…