Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

YAY

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
362
Reaction score
381
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.















:::::::
 
Sasaaa tunapoenda tunakujua ? Ppp ishindane DPW serikali ni referee au atakas pembeni ??...kazi sana mtoto wa ndoa na wa kambo....kazii ipoo
 
Sasaaa tunapoenda tunakujua ? Ppp ishindane DPW serikali ni referee au atakas pembeni ??...kazi sana mtoto wa ndoa na wa kambo....kazii ipoo
Serikali ndio hiyo PPP
 
Hivi yule wakili msomi wa Bandari ya DP world alipotea kabisa 😀

Naona ameficha kichwa....
 
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.








View attachment 3236905






====
Huo uzalendo wa Kafulila tunataka kuuona kwenye mambo kama haya
 
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.








View attachment 3236905






====
Kitila na Kafulila ni asset kubwa sana ya Taifa
 
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.








View attachment 3236905






====
Kafulila ataumudu sana tu huu mzigo
 
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.








View attachment 3236905






====
Kafulila mwokozi wa CCM
 
PPPP itakuwa ndio karata ya mwisho ya Kafulila kisiasa ipo siku ubaya wowote watasema ni yeye kaufanya
Unafahamu vizuri mfumo PPP inafanya kazi?

Uwekezaji wowote unaanzia kwenye Wizara husika hivyo sio Kafulila kwenye kila hatua
 
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.








View attachment 3236905






====
Ccm ndio adui namba moja wa Tanganyika
 
Back
Top Bottom