Small letter
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 280
- 177
Kosa la CCM ni lipi?Ccm ndio adui namba moja wa Tanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa la CCM ni lipi?Ccm ndio adui namba moja wa Tanganyika
Bwana Kafulila kazi kwako kama nikutuuza basi tuuze kabisa kama kutusaidia basi tusadieSerikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.
Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.
Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.
Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.
View attachment 3236905
====
Walau Kwa Sasa CCM inajitahidi sanaCcm ndio adui namba moja wa Tanganyika
PPP Ni Wahuni Wachache
Lini tutapata hiyo akili?Bado hatuna akili za kudeal na hizi international business.
Hizi biashara zinahitaji watu wenye elimu nzuri, akili nzuri na exposure kwenye biashara husika kimataifa.
Watu wana uelewa mdogo sana, wamejaza matheory kichwani na akili za kufaulu mitihani.
Huwezi kudeal na hivi vitu kama umesoma sijui UDSM, sijui SAUT halafu ukaajiliwa na GOT, labda baada ya shule uwe umefanya kazi kwenye international companies/business kwenye level ya decision making.
Abdul, Riziwani, JK, Saa100, RostaPPP Ni Wahuni Wachache
Abdul, Riziwani, JK, Saa100, RostaPPP Ni Wahuni Wachache
Hayo yako ni maneno tu hata hivyoAbdul, Riziwani, JK, Saa100, Rosta
Kuna mijitu ipo siku itaozea jela , mda ni MwalimSerikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.
Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.
Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.
Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.
View attachment 3236905
====
Full ujanja ujanjaKuna mijitu ipo siku itaozea jela , mda ni Mwalim
Mchongokuna watu wanahangaika kweli kuhakikisha huu ‘mradi’ unakuwa. wana maslahi gani?
SanaMchongo
Acha kuweweseka na ujinga wako wa akiliKuna mijitu ipo siku itaozea jela , mda ni Mwalim
Iko mingi sanaMisukule ya Komredi Kafulila inakuja kujaza uzi.
Bila ushahidi wowoteThe New way of eating the Money. Same way kama walivyofanya huko nyuma kwenye miradi ya emergency power supply.
Hongera PPPCSerikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.
Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.
Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.
Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.
View attachment 3236905
====
Wabongo ni wa kupuuzwa tuBila ushahidi wowote