The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Bila ushahidi wowote
Subiri manyoya ndiyo utajua tumeliwa. We unafikiri huo Ukwasi wa viongozi unatokana na kodi zenu tu....!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila ushahidi wowote
Ulitaka kusema liability? Tumbili siku hiz kawa assert hahaKitila na Kafulila ni asset kubwa sana ya Taifa
Ila tukiacha machuki ya kichawi Kwa Sasa Kafulila ni mtu muhimu ana kwa TaifaUlitaka kusema liability? Tumbili siku hiz kawa assert haha
Kwani zigo la mradi wa kwanza ulikuwa ujengwe chini ya mpango upiSerikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.
Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.
Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.
Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.
View attachment 3236905
====
Mwanzoni ulikuwa Uwekezaji kawaida sio hii PPP kama sijasahau ule mkataba wa wachinaKwani zigo la mradi wa kwanza ulikuwa ujengwe chini ya mpango upi
Ambao upo tofauti na huu
Maelezo mazuri sana hayaSerikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo ameliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.
Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo miradi mingine inayoangukia PPP ni Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri Kitila amesisitiza kila hatua za Ujenzi huu Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.
Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi anayesifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi kwa umri wake wote Bwana David Kafulila.
Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba Mali zote zinasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Tanzania.
View attachment 3236905
====
Mimi sio tofauti zaidi ya maneno ya Wana siasa, ilikuwa wajenge wachina na baada ya miaka....... , iwe ya bongoMwanzoni ulikuwa Uwekezaji kawaida sio hii PPP kama sijasahau ule mkataba wa wachina
PPP ni nzuri mara elfuMwanzoni ulikuwa Uwekezaji kawaida sio hii PPP kama sijasahau ule mkataba wa wachina
Yes ndio maana halisi ya PPP baada ya muda inakuwa ya wabongoMimi sio tofauti zaidi ya maneno ya Wana siasa, ilikuwa wajenge wachina na baada ya miaka....... , iwe ya bongo
Usimsifie sana Kafulila, everybody has a price tag.::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.
Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.
Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi Cde David Kafulila.
Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.
View attachment 3236905
:::::::
Wapi hapo Kafulila kasifiwa?Usimsifie sana Kafulila, everybody has a price tag.
Para 3, uliandika mwenyewe au uliandikiwa?Wapi hapo Kafulila kasifiwa?
Sasa hayo ni maneno ya Mwandishi au ni maneno ya wachambuzi wa Siasa na Uchumi?Para 3, uliandika mwenyewe au uliandikiwa?
"Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi Cde David Kafulila."
Kwa kuya quote kusaidia mada yako maana yake unakubaliana nayo, na huja yapinga katika mada yako.Sasa hayo ni maneno ya Mwandishi au ni maneno ya wachambuzi wa Siasa na Uchumi?
Huo sio msimamo wa chombo husikaKwa kuya quote kusaidia mada yako maana yake unakubaliana nayo, na huja yapinga katika mada yako.
Everybody has a price tag!
Ikiwemo na weweTanganyika nchi ya wajinga wengi!
Thats your opinionHuo sio msimamo wa chombo husika
Mimi sio Mtanganyika.Ikiwemo na wewe