Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Kafulila anatamba kwa sababu Zitto Yuko kimya
 
Huko Saudia kuna kampuni siku chache zilizopita wametangaza kwa bashasha eti wamepewa bandari ya Bagamoyo kwa utaribu wa 'concession'. Hebu tueleweshane jamani kama ni partnership au tumetoa bandari kwa concesssion. Tuelimishane mapema maana nchi hii kuna watu wamezoea sasa kuwaona watanzania kama mafala. Kafulila tufahamishe maana huko mbele usije kushangaa tukikuburuza mahakamani.
Huu wako ni uongo mkubwa
 
Huko Saudia kuna kampuni siku chache zilizopita wametangaza kwa bashasha eti wamepewa bandari ya Bagamoyo kwa utaribu wa 'concession'. Hebu tueleweshane jamani kama ni partnership au tumetoa bandari kwa concesssion. Tuelimishane mapema maana nchi hii kuna watu wamezoea sasa kuwaona watanzania kama mafala. Kafulila tufahamishe maana huko mbele usije kushangaa tukikuburuza mahakamani.
Makampuni matatu kutoka nchi tatu tofauti ndio yanayokwenda kugombania kupewa tender ya kuendesha bandari ya Bagamoyo. Hiyo habari yako ya Saudia ni uzushi wa humu mitandaoni.
 
Huko Saudia kuna kampuni siku chache zilizopita wametangaza kwa bashasha eti wamepewa bandari ya Bagamoyo kwa utaribu wa 'concession'. Hebu tueleweshane jamani kama ni partnership au tumetoa bandari kwa concesssion. Tuelimishane mapema maana nchi hii kuna watu wamezoea sasa kuwaona watanzania kama mafala. Kafulila tufahamishe maana huko mbele usije kushangaa tukikuburuza mahakamani.
Makampuni matatu kutoka nchi tatu tofauti ndio yanayokwenda kugombania kupewa tender ya kuendesha bandari ya Bagamoyo. Hiyo habari yako ya Saudia ni uzushi wa humu mitandaoni.
Tenda bado haijatangazwa?
Mjerumani, Mturuki na Mchina mmoja wao atapewa hiyo tenda, bado mikataba yao haijawasilishwa katika ofisi ya mwanasheria mkuu kwa ajili ya kutazamwa kwa kina.
 
Makampuni matatu kutoka nchi tatu tofauti ndio yanayokwenda kugombania kupewa tender ya kuendesha bandari ya Bagamoyo. Hiyo habari yako ya Saudia ni uzushi wa humu mitandaoni.

Mjerumani, Mturuki na Mchina mmoja wao atapewa hiyo tenda, bado mikataba yao haijawasilishwa katika ofisi ya mwanasheria mkuu kwa ajili ya kutazamwa kwa kina.
Bora apewe Mjerumani anajenga vitu serious Kama hii Reli ya Kati
 
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Mzigo mzito mpe mnyamwezi akubebee
 
Nashauri ufanyanyike utafiti wa kina lakini wapewe miaka michache ya kutoa huduma yaani isizidi 15
 
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Kazi na dawa
 
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Safi Kabisa
 
Back
Top Bottom