Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi Cde David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
 

Attachments

  • 3049818-bea797ab6cbc71c96b0e8f1726a165b5.mp4
    55.4 MB
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi Cde David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Kafulila mpeni nafasi ya maana awasaidie kuipaisha nchi
 
Yes ndio maana halisi ya PPP baada ya muda inakuwa ya wabongo
Kwa hiyo hapo mwanzo mzigo ulikuwa wa PPP na sasa hivi ni wa PPP kwanini mtu aweke kichwa cha habari namna hii

Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP​

 
IMG-20250205-WA0108.jpg
 
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi Cde David Kafulila.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Huko Saudia kuna kampuni siku chache zilizopita wametangaza kwa bashasha eti wamepewa bandari ya Bagamoyo kwa utaribu wa 'concession'. Hebu tueleweshane jamani kama ni partnership au tumetoa bandari kwa concesssion. Tuelimishane mapema maana nchi hii kuna watu wamezoea sasa kuwaona watanzania kama mafala. Kafulila tufahamishe maana huko mbele usije kushangaa tukikuburuza mahakamani.
 
Huko Saudia kuna kampuni siku chache zilizopita wametangaza kwa bashasha eti wamepewa bandari ya Bagamoyo kwa utaribu wa 'concession'. Hebu tueleweshane jamani kama ni partnership au tumetoa bandari kwa concesssion. Tuelimishane mapema maana nchi hii kuna watu wamezoea sasa kuwaona watanzania kama mafala. Kafulila tufahamishe maana huko mbele usije kushangaa tukikuburuza mahakamani.
Imani kwa Kafulila na team yake ni kubwa sana
 
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Hii bandari tuende polepole
 
Hivi yule wakili msomi wa Bandari ya DP world alipotea kabisa 😀

Naona ameficha kichwa....
Hamza Johari (Mzanzibari)
Kama huna taarifa baada ya kukamilisha dili la kuuza bandari za Tanganyika aliteuliwa kuwa Mwanasheria Mkuu
Kizimkazi hawacheki na wowote
 
Misukule ya Komredi Kafulila inakuja kujaza uzi.
Kafulila ndio tegemeo Kwa Sasa kwenye Ulinzi wa Mali zetu.
Kwa historia Kafulila amekuwa akipambana na rushwa na ufisadi atumie moyo huo huo huko ppp
 
Bado hatuna akili za kudeal na hizi international business.

Hizi biashara zinahitaji watu wenye elimu nzuri, akili nzuri na exposure kwenye biashara husika kimataifa.

Watu wana uelewa mdogo sana, wamejaza matheory kichwani na akili za kufaulu mitihani.
Huwezi kudeal na hivi vitu kama umesoma sijui UDSM, sijui SAUT halafu ukaajiliwa na GOT, labda baada ya shule uwe umefanya kazi kwenye international companies/business kwenye level ya decision making.
Unamawazo mazuri fanya kuandika andiko unaweza kuwa msaada sana
 
::::::
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wake wa Mipango na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo imeliambia Taifa hilo kuwa Ujenzi na Uendeshaji wa Bandari ya Bagamoyo bado haujaanza na kama utaanza basi Serikali hiyo itaufanya mradi huo kwa sharti la Ubia kati yake na Sekta binafsi yaani PPP kupitia kituo cha Ubia PPPC.

Mbali na Ujenzi wa Bandari hiyo Waziri Kitila amesema miradi mingine itakayoangukia PPP ni pamoja na Ujenzi wa Kituo cha Reli ambapo Waziri huyo amesisitiza kuwa kila hatua za Ujenzi huo Wananchi kupitia PPPC watashirikishwa kikamilifu ili Tanzania na Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao walizopewa na Mungu wao.

Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi wake David Kafulila ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kama mtu anayechukia rushwa na Ufisadi.

Ikumbukwe na ifahamike kuwa Ubia PPP sio Ubinafshaji bali ni Uendeshaji wa miradi | mradi wa pamoja kati ya Serikali na Sekta binafsi na wakati wote baada ya ukomo wa mkataba husika Mali zote zitasalia kuwa ni Mali za Wananchi wa Jamuhuri ya Tanzania.








View attachment 3236905






:::::::
Bandari mikataba bado hayo mengine ni chesha bongo tu
 
Back
Top Bottom