Hatimaye zigo la Bandari ya Bagamoyo atwikwa PPP

Kwani zigo la mradi wa kwanza ulikuwa ujengwe chini ya mpango upi
Ambao upo tofauti na huu
 
Maelezo mazuri sana haya
 
Mimi sio tofauti zaidi ya maneno ya Wana siasa, ilikuwa wajenge wachina na baada ya miaka....... , iwe ya bongo
Yes ndio maana halisi ya PPP baada ya muda inakuwa ya wabongo
 
Usimsifie sana Kafulila, everybody has a price tag.
 
Wapi hapo Kafulila kasifiwa?
Para 3, uliandika mwenyewe au uliandikiwa?

"Wachambuzi wa maswala ya Kiuchumi na kisiasa toka nchini Tanzania walipohojiwa na chombo hiki walionesha kuwa na imani na kituo cha Ubia kama msimamizi mkuu wa Mali za Umma kwakuwa kituo hicho Kiko chini ya Kiongozi ambaye kwa umri na rekodi zake zote anasifika kwa kuchukia rushwa na Ufisadi Cde David Kafulila."
 
Sasa hayo ni maneno ya Mwandishi au ni maneno ya wachambuzi wa Siasa na Uchumi?
 
Sasa hayo ni maneno ya Mwandishi au ni maneno ya wachambuzi wa Siasa na Uchumi?
Kwa kuya quote kusaidia mada yako maana yake unakubaliana nayo, na huja yapinga katika mada yako.
Everybody has a price tag!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…