Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hata hivyo Morogoro Muslim University inamilikiwa na taasisi bimafsi inayoitwa African Muslim ambayo pia inamiliki taasisi kadhaa za kielimu kama mashule na vyuo.
 
Hata hivyo Morogoro Muslim University inamilikiwa na taasisi bimafsi inayoitwa African Muslim ambayo pia inamiliki taasisi kadhaa za kielimu kama mashule na vyuo.
Ebu waambie hawa hizo ni taasisi za mtu binafsi
 
Tatizo la Mohamed Said liko hapa




Kwa sasa inaongozwa na Muislam wala sijaona Waislam wakifanya vizuri kuliko wa dini nyingine. Waislam wanaojali ubora wa elimu wanapeleka watoto wao shule za Wakristu vyuo vya kanisa
Kinyungu,
Niwe accommodative kwa namna gani?
Huu ni mjadala.

Mengi ninayokuelezeni hamkuwa mnayajua.

Mnatoa fikra zenu nami nakupeni majibu.

Nyie hamkuwa mnaijua historia ya kweli ya uhuru.

Mimi nimeandika kitabu kizima.
Nakala ya Kiswahili ni kurasa 416.

Wasomi walipokisoma wamepigwa na mshangao mkubwa na wengine wametaka kujua zaidi.

Bahati mbaya hapa wengi wenu mkisoma msichokijua ghadhabu zinapanda.

Ukweli unawaumiza.
 
Tatizo la Mohamed Said liko hapa




Kwa sasa inaongozwa na Muislam wala sijaona Waislam wakifanya vizuri kuliko wa dini nyingine. Waislam wanaojali ubora wa elimu wanapeleka watoto wao shule za Wakristu vyuo vya kanisa
Kwa hiyo waislamu wote wanapeleka taasisi za wakristo 😆😆😆...Kuna chuo kinachomilikiwa na mkristo na chuo cha kikristo.


Haya leta watoto wanaosoma St wakiislam ? Na hao wakristo sio wote ni baadhi , wengi pesa hamna ndio tatizo.


Hakuna waislamu wnasoma taasisi yenye mlengo wa kidini ya kikristo ,inayolea watoto kweny maadili ya kikristo ni uongo unless sio muislamu labda ni jina.

Ukisma labda mkristo anamiliki shule hata za international zile sio za kikristo 😄😄😄..


Ukiona mmiliki ni mkristo wewe unasema ni ya kikristo basi hata bidhaa za Bakhressa mnalishwa na uislamu hapa Tanzania...kama huduma inatolea na haina mlengo wa kidini yeyote anaweza kutumia tu ina maana wewe hata upande basi unataka kujua mmiliki ni dini gani.

Usifike huko vyuo vikubwa TZ sio vya dini kama udsm usifananishe udsm na takataka zako hata moja hapa nchini ...
 
Hata hivyo Morogoro Muslim University inamilikiwa na taasisi bimafsi inayoitwa African Muslim ambayo pia inamiliki taasisi kadhaa za kielimu kama mashule na vyuo.
Nya...
Umekusudia African Muslim Agency ya Kuwait?

Hawa ndiyo wanaendesha shule za sekondari.

Kuhusu MUM historia yake inafahamika.
Fanya utafiti kidogo utajua.

Bahati mbaya sana wengi wenu hapa mnadhani mnajua kumbe hamjui na mfano mzuri ni kama hivi.
 
Nya...
Umekusudia African Muslim Agency ya Kuwait?

Hawa ndiyo wanaendesha shule za sekondari.

Kuhusu MUM historia yake inafahamika.
Fanya utafiti kidogo utajua.

Bahati mbaya sana wengi wenu hapa mnadhani mnajua kumbe hamjui na mfano mzuri ni kama hivi.
Ufafanuzi wako ni mzuri sana 🙏
 
Sema dingi umekula kitabu ila nashangaa huu upuuzi wa kuwachukia watu wasio waislamu umeanzia wapi!!... yaani pamoja na kuwa msomi mkubwa ila harakati zako ni kama za wale ambao hawakwenda hata chekechea. Udini wa kipumbavu sana.
Mama...
Mjadala huu si wa lugha hiyo yako.

Mimi si mpuuzi wala siandiki kwa kuwa nasukumwa na chuki.

Niko Cambridge Journal of African History nipo Dictionary of African Biography.

Kote nimeingia kwa ujuzi.
 
Mh mzee Said nafikiri ni muhimu ukawa unajiridhisha haswa kwenye takwimu

Yaani waislamu 71% na wakristo 29% wapo shule moja. Matokeo yanakuja 71% wakristo wamechaguliwa na 29% waislamu wamechaguliwa.

Kabla hatujahukumu.

Totala number ya wanafunzi ilikua wangapi? Katika hii total waislamu wangapi na wakristo wangapi?

Waliofanya mtihani walikua wangapi? Katika hawa waliofanya, wakristo wangapi na waislamu wangapi?

Waliofaulu mtihani wangapi? Hapa waislamu wangapi na wakristo wangapi?

Waliofeli mtihani wangapi? Waislamu wangapi na wakristo wangapi?

Ambao hawakufanya mtihani wangapi? Wakristo wangapi na waislamu wangapi?

Hizi factors zote zizingatiwe. Haiwezekani mtu anakuletea namba tu hizo na wewe unaziwasilisha kwetu, hii siyo sawa.
Cast,
Hakika inashangaza.

Waziri wa Elimu hadi leo hajatoa jibu kwa Shura ya Maimamu wa Tanzania.

Aliyeonyeshwa takwimu mwingine anaejibu mwingine na wala hausiki.

Kwangu haya si mambo ya utani ndiyo sababu sijaficha sura wala jina langu.

Tumesimama kwenye kweli na huu ukweli tumeufikisha serikalini.
 
Huu upumbqvu wa kupigwa marufuku kujengwa chuo hapa tanzania umekuwa ni kilio kila mwaka hebu zeeka vizuri na wajukuu wako huna cha maana na mawazo ya kujenga kwa miaka ijayo wewe kilio chako chuo chuo
Amengia mwinyi kafanya kitu gani cha maana
Jakaya?
Na huyu s100 bado tu unalilia chuo sio kutoa ushauri kama taifa kwenda mbele zaidi wewe kulilia chuo tu ?
Kibu...
Kuhujumiwa ujenzi wa Chuo Kikuu mwaka wa 1968 ni katika mambo muhimu katika historia ya Tanganyika.

Ilisababisha Mufti Sheikh Hassan bin Ameir akamatwe na kufukuzwa Tanganyika na serikali kuipiga marufuku EAMWS na kuunda BAKWATA.

Hii si historia ya upumbavu wala viongozi wale wa Waislam hawakuwa wapumbavu.

Marais Waislam kazi yao ni kuendesha nchi si kuwajengea Waislam Chuo Kikuu.

Mwinyi na Kikwete hawahusiki na historia hii.
 
Waislam wenye uelewa wanajua kabisa tatizo ni wao wenyewe lkn wachache kama akina Mohamed Said ndio wanaong'ang'ania kutupa lawama ili mradi tu waonekane wanaonewa. Wew nenda mikoa kama ya Mbeya, Iringa au mkoa wowote wenye wakristo wengi utazame jinsi walivyo serious na elimu alaf nenda Zanzibar uone jinsi wanavyoishi na hyo elimu yani ni kama mlima na kichuguu.

Haya MUM hyo hapo nani amewazuia kuiendeleza?
 
Cast,
Hakika inashangaza.

Waziri wa Elimu hadi leo hajatoa jibu kwa Shura ya Maimamu wa Tanzania.

Aliyeonyeshwa takwimu mwingine anaejibu mwingine na wala hausiki.

Kwangu haya si mambo ya utani ndiyo sababu sijaficha sura wala jina langu.

Tumesimama kwenye kweli na huu ukweli tumeufikisha serikalini.
Mzee wangu kwa muda mdogo nilijihusisha na maswala ya namba na takwimu naona kuna viambata vingi havijazingatiwa.

Hii yaweza changia kukosa majibu kwakua hoja imeundwa na viambata visivyo sahihi.
 
Stux...
Wa kutoa majibu wamekuwa kimya hata pale tatizo hili lilipoletwa Bungeni.

Wewe unajibu kama nani?
Sisi tunasubiri majibu kutoka serikalini.
Kuna habari kwamba chuo cha MUM kinasema mpaka pale ilipo mitambo ya Tanesco Msamvu ni eneo la Chuo
 
Kinyungu,
Niwe accommodative kwa namna gani?
Huu ni mjadala.

Mengi ninayokuelezeni hamkuwa mnayajua.

Mnatoa fikra zenu nami nakupeni majibu.

Nyie hamkuwa mnaijua historia ya kweli ya uhuru.

Mimi nimeandika kitabu kizima.
Nakala ya Kiswahili ni kurasa 416.

Wasomi walipokisoma wamepigwa na mshangao mkubwa na wengine wametaka kujua zaidi.

Bahati mbaya hapa wengi wenu mkisoma msichokijua ghadhabu zinapanda.

Ukweli unawaumiza.
Sina ghadhabu na pia hujanijibu. Nini kinazuia Waislam kujenga chuo kikuu kwa sasa?
 
Mzee wangu kwa muda mdogo nilijihusisha na maswala ya namba na takwimu naona kuna viambata vingi havijazingatiwa.

Hii yaweza changia kukosa majibu kwakua hoja imeundwa na viambata visivyo sahihi.
Cast...
Waislam huko hatupo tena.
Tumeieleza serikali dhulma iliyopo.

Serikali haijaomba taarifa zaidi.
Tumetosheka na ukimya wake.
 
Wamekudanganya elimu ya madrasa ina vitu vingi ila sio ndefu kwa mfano ukisoma ukiwa darasa la kwanza yaani miaka 7 mpaka ukifika darasa la saba unakuwa mbali sana.

Hakuna sehemu ambayo waislamu wanapuuza elimu kwa hawaweki mkazo wapo wanaosoma na kufadhiliwa na taasisu ila haya mambo yakuwa chinu ya taasisi husika...Pia kusoma vyuo ambavyo sio vya kiislamu hakuna mtu kalazimishwa kusoma chuo cha kiislamu ni jukumu la mtu binafsi kusoma popote ....Vyuo ni biashara kama biashara nyingine wapo wanaoenda kusoma mpaka iran nawajua kibao ila wanakuwa chini ya taasisi kama ni mtu wa taasisi utapata fursa.

Hao wenzio wanakudanganya na hakuna ukweli yupe Ally hapi kasoma madarasa na wapo kibao,ukisoma ukiwa mdogo ukifa form four basi unakuwa unajua vingi sana wapo watota wana miaka 10 wanajua Qur an yote ....Hao wamekudanganya hakuna kitu kama hicho Qur an unasoma kutokana na akili yako wewe unaweza kuruka madarasa kibao kwa miaka 3 tu ,kama una kichwa kizuri unamaliza kila kitu..

Kwa vile elimu ya uislamu ni utekelezaji yaani mafunzo makubwa kama ndoa unaweza kusoma ukiwa form one yaani miaka 14,15 hata kuosha maiti ..Shariq zote unless otherwise utake kusoma upate degree ,masters na lazima uende nje ya
nchi kusoma kwa sana...

Kufundishwa kwa level ya chuo ni haki kwa vile ni ubobezi kama masomo mengine mbona programms za udaktari mpaka miaka minne ,kuna masters za miezi 18 wengine ni miaka 2 ..


Unachotaka ni hicho kama unataka kubobea kweny fani fulani.


Mdogo wangu yupo SUA yeye elimu ya madrasa mpaka kuwa mkubwa alisoma akiwa na miaka 5 mpaka anaanza form one kamaliza kitu ni shekhe anafundisha akiwa na miaka 15 tu.
Hakuna mahali nimesema wamepuuza kwanza kupuuza ni kuacha kabisa kufanya nimesema hawajatia mkazo.

Good umemtaja Happi na mdogo wako pekee wapo wengine unaweza kutuongezea kwenye list?

Kwahiyo hizo taasisi zilizowafund wanafunzi ziliwapeleka Iran sio?

Unaweza kututajia reputable universities 3 tu zilizopo Iran ukiingia sehemu yoyote duniani huhitaji maswali kwa ulichosomea na ziko recognized na mamlaka kama TCU?
 
Ungenijibu kwanza swali langu ndipo uulize la kwako
Kinyungu,
Wewe si serikali wala hujahusika na yote haya.

Waislam wamewasilisha waraka serikalini.
Serikali haijajibu.

Waislam wanasubiri jibu.
Kwa nini wewe unahangaika?
 
Back
Top Bottom