Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hatma ya Muslim University of Morogoro na Maono ya Aga Khan kuwasaidia Waislamu kujenga Chuo Kikuu

Hakuna mahali nimesema wamepuuza kwanza kupuuza ni kuacha kabisa kufanya nimesema hawajatia mkazo.

Good umemtaja Happi na mdogo wako pekee wapo wengine unaweza kutuongezea kwenye list?

Kwahiyo hizo taasisi zilizowafund wanafunzi ziliwapeleka Iran sio?

Unaweza kututajia reputable universities 3 tu zilizopo Iran ukiingia sehemu yoyote duniani huhitaji maswali kwa ulichosomea na ziko recognized na mamlaka kama TCU?
Unamjua mkurugenzi wa LATRA ,au nikuache kuna wakurugenzi zaid ya 10 nawafahamu sipendi kuweka ID za watu.

Reputation ya universities🤣🤣🤣? Uislamu unajitegemea sio sheria za kizungu kama unaona iran hamna vyuo unavyotaka sikulazimishi...**** elimu nyingi nikitaja utatoa macho tu...Pia haubagui elimu ni nyingi.

Kwa hiyo elimu ya watu wa Iran huijui ?


Kozi niliyosom mm na hobby yang ilikuwa inapatikana chuo kimoja tu Tanzania nchi na wala hakipo Top 10 na pia sio cha dini ni cha Serikali....Hivyo vyuo vya dini vyote utopolo havina mzuka vyuo vikubwa bongo vinajulikana


Ungekuwa na akili ungeuliza wameenda kusomea nn ? Yaani uislamu una elimu zake ukisikia vyuo vya kiislamu sawa na mtu kaenda kusoma Vatican ndio namaanisha hapa....Hivyo vikuu nan kakwambia ni vya wakristo?
 
Ni
Kinyungu,
Wewe si serikali wala hujahusika na yote haya.

Waislam wamewasilisha waraka serikalini.
Serikali haijajibu.

Waislam wanasubiri jibu.
Kwa nini wewe unahangaika?
Ni kweli mimi siyo serikali. Hivi kweli Waislam watake kujenga chuo halafu Serikali iwazuie? Kweli? Au haujaelewa swali ngangu?
CCM na serikali yake hatuipendi ila hatuwezi kuisingizia hili.
 
Kinyungu,
Wewe si serikali wala hujahusika na yote haya.

Waislam wamewasilisha waraka serikalini.
Serikali haijajibu.

Waislam wanasubiri jibu.
Kwa nini wewe unahangaika?
Nahangaika kwa sababu nataka unijibu hilo swali rahisi tu. Kwa nini Waislam hawajengi chuo hadi leo? Je sababu zilizokuwepo enzi za EAMWS bado zipo? Ndizo zinawazuia hadi leo mshindwe kujenga hicho chuo?
 
Sasa hivi Waislam wanaongoza NECTA. Je Waislam wanafaulu kuliko wapagani au Wakristu? Kuna upendeleo? Nini kinafanya Waislam wasiongoze kwa ufaulu wakati dai la uongozi NECTA halipo tena?
 
Mama...
Mjadala huu si wa lugha hiyo yako.

Mimi si mpuuzi wala siandiki kwa kuwa nasukumwa na chuki.

Niko Cambridge Journal of African History nipo Dictionary of African Biography.

Kote nimeingia kwa ujuzi.
Mzee wangu una chuki. Nilikualika kwenye sherehe ya noeli tarehe 25 nyumbani Kimara Bucha hukujibu chochote. Tena niliwaalika wewe na bibi FaizaFoxy ila hamkujibu chochote. Tukijaliwa tena nitakualika nyumbani Kimara Bucha kwenye sherehe za pasaka.
 
Mzee wangu una chuki. Nilikualika kwenye sherehe ya noeli tarehe 25 nyumbani Kimara Bucha hukujibu chochote. Tena niliwaalika wewe na bibi FaizaFoxy ila hamkujibu chochote. Tukijaliwa tena nitakualika nyumbani Kimara Bucha kwenye sherehe za pasaka.
Mama...
Mimi sikuona mwaliko wako ningekujibu.
Tusameheane kwa hili.
 
Unamjua mkurugenzi wa LATRA ,au nikuache kuna wakurugenzi zaid ya 10 nawafahamu sipendi kuweka ID za watu.

Reputation ya universities🤣🤣🤣? Uislamu unajitegemea sio sheria za kizungu kama unaona iran hamna vyuo unavyotaka sikulazimishi...**** elimu nyingi nikitaja utatoa macho tu...Pia haubagui elimu ni nyingi.

Kwa hiyo elimu ya watu wa Iran huijui ?


Kozi niliyosom mm na hobby yang ilikuwa inapatikana chuo kimoja tu Tanzania nchi na wala hakipo Top 10 na pia sio cha dini ni cha Serikali....Hivyo vyuo vya dini vyote utopolo havina mzuka vyuo vikubwa bongo vinajulikana


Ungekuwa na akili ungeuliza wameenda kusomea nn ? Yaani uislamu una elimu zake ukisikia vyuo vya kiislamu sawa na mtu kaenda kusoma Vatican ndio namaanisha hapa....Hivyo vikuu nan kakwambia ni vya wakristo?
Ingependeza sana hivyo vyuo vya Iran ungevitaja maana leo hii nikitaja Havard, Oxford, John Hopkins , Yale huwezi kuwa na maswali juu ya hilo.

Pia unaweza kunitajia walikwenda kusomea nini huko kama ulivyosema senstensi ya mwisho uislam una elimu zake basi ingependeza uzitaje.

Sijaomba uweke ID za watu hapa hatukuongelea watu zaidi ya public figures kama Ally Happi na wengineo ndio maana hata mimi sijawataja hao rafiki zangu wa kiislam maana sio public figures na ni kinyume na policies za JF.

Pia mimi possibly sikuuliza ulisoma nini wala hobby yako ni nini kama ulivyosema pia sikuponda vyuo vya dini kama nilifanya hivyo quote sentensi hiyo hapa.

Tukirudi kwenye mada kuu naomba majibu ya maswali yangu muhimu moja kuu likiwa ni ufadhili wa kimasomo uliowahi kutolewa kwenye vyuo vikuu vya nje ambavyo kimsingi ni notable.

Ukiangalia list ya matajiri wengi waislam wapo kwa kiasi kikubwa ikiwa ni jamii ya waarabu je kuna aliyempeleka mwanaye kusoma Iran?

Nitakupa mfano tu mwepesi ili uelewe nilichomaanisha huyu kasomea mambi yake ya biashara Georgetown university akijikita kusomea biashara na theolojia kwa kiasi akiwa ni muislam wa Shia mbona kama tulivyotarajia hakwenda kusomea Iran ambapo Shia wapo 95% na badala yake kaenda Marekani?

Tukija kwa Professor Mussa Assad baada ya kuhitimu shahada yake ya kwanza alijiendeleza katika nchi za Ireland( University of Dublin na Uingereza(University of Southampton) sijaona mahali Professor alikwenda Saudia Arabia au Pakistan kujiendeleza.

Marehemu Ali Mufuruki alisomea Ujerumani , university of Reutlingen.

Kwa rekodi zangu za haraka ni Hussein Mwinyi alisomea shahada ya udaktari wa binadamu nchini Uturuki chuo cha Marmara na shahada ya pili alifanyia Uingereza , Hammersmith.

Kwa jinsi hiyo utakuwa umepata picha fulani sio kuponda bali ni kipaumbele kiukweli waislam miaka hii ndio wameanza kuamka ndio maana unaona hata diversity inaanza taratibu kwa nchi kama Saudia Arabia leo hii ligi yao inakaribisha wageni wa kutosha tuendako sheria zile kali zitaisha na patakuwa kama UAE , ambapo kuna branches za vyuo vya US,CA na UK.

Mimi naona misimamo mikali ya kidini haina tija watu wapate elimu ya kuendana na kasi ya mabadiliko ya ulimwengu huku wakiendelea na dini yao maana sipo hapa kukataza watu wasiamini dini yao nazungumzia kipengele cha kuipa dini kipaumbele kuliko elimu.

Hata wapo waislam humu wanaoponda wakristu lakini miaka hiyo walisoma shule za mission na ndipo walijulia kusoma na kuhesabu na baadae kwenda mbele zaidi hadi kupata elimu ya juu katika nchi hizo kwa hao hao wanaowatukana leo hii kwakuwa hao ni wa humu na ninawafahamu basi si vyema kuwataja na wakiona ujumbe huu watanielewa.
 
Nilipita juzi nikakutana na madela meusi tu(mabaibui)
Inside 10,
Angalia video hii historia ya Ali Msham.
Alifungua tawi la TANU nyumbani kwake Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu mwaka wa 1954.

Akatenga sehemu hapo nyumbani kwake akafungua shule ya msingi chini ya Tanganyika African Parents Association (TAPA).

Akamfungulia Mama Maria Nyerere duka la kuuza mafuta ya TAA.

Jiulize kwa nini Ali Msham alifungua shule?


View: https://youtu.be/c7oUpKo9vjA?si=hk05ZV5a8eRHOsGH
 
Nilipita juzi nikakutana na madela meusi tu(mabaibui)
Inside 10,
Angalia video hii historia ya Ali Msham.
Alifungua tawi la TANU nyumbani kwake Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu mwaka wa 1954.

Akatenga sehemu hapo nyumbani kwake akafungua shule ya msingi chini ya Tanganyika African Parents Association (TAPA).

Akamfungulia Mama Maria Nyerere duka la kuuza mafuta ya TAA.

Jiulize kwa nini Ali Msham alifungua shule?


View: https://youtu.be/c7oUpKo9vjA?si=hk05ZV5a8eRHOsGH
 
Mfumo wa elimu tangia ukoloni ulipindishwa kuwapa fursa wakiristo na kuwatenga waislamu. Huu ulikua ni mpango mmoja wa serikali ya kikoloni na kanisa katoliki. Hizi njama zilianza kutokea wajerumani na ukaendelezwa na waingereza na mpaka uhuru.
Kumbuka common factor ilikuwapo ni kanisa katika mipito yote serikali kuanzia wajerumani, waingereza na uhuru, kwa hiyo muendelezo wa hii njama haukuvurugwa katika mabadiliko yote ya serikali yaliotokea.

Taasisi za kiislamu hazikua na uhuru wa kutekeleza mipango yao hasa ya elimu wakati wa ukoloni. Baada ya uhuru wakaanzisha bidii kubwa kurekebisha mapungufu hayo ya elimu ndipo mwalimu Nyerere kuingilia na kudhoofisha taasisi za kiislamu na kuzima mipango yao yote ya kujiendeleza kielimu. Na hili limetia doa katika jina lake mwalimu sababu ni lazima alikua anajua kinachoendelea.

Muhimu sasa ihakikishwe kuwa fursa zinatolewa kwa haki na usawa. Na kanisa liwekwe mbali kabisa na shughuli za serikali.
Stori za misikitini magomeni,kwa mtoro, baada ya kutoka swalani hapo sasa kwenye ghahawa
 
Nilipita juzi nikakutana na madela meusi tu(mabaibui)
Inside 10,
Angalia video hii historia ya Ali Msham.
Alifungua tawi la TANU nyumbani kwake Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu mwaka wa 1954.

Akatenga sehemu hapo nyumbani kwake akafungua shule ya msingi chini ya Tanganyika African Parents Association (TAPA).

Akamfungulia Mama Maria hapo nyumbani kwake pembeni ya tawi la TANU duka la kuuza mafuta ya TAA.

Jiulize kwa nini Ali Msham alifungua shule?


View: https://youtu.be/c7oUpKo9vjA?si=hk05ZV5a8eRHOsGH
 
Nahangaika kwa sababu nataka unijibu hilo swali rahisi tu. Kwa nini Waislam hawajengi chuo hadi leo? Je sababu zilizokuwepo enzi za EAMWS bado zipo? Ndizo zinawazuia hadi leo mshindwe kujenga hicho chuo?
Kinyungu,
Tunasubiri majibu kutoka kwa muhusika.
 
Ingependeza sana hivyo vyuo vya Iran ungevitaja maana leo hii nikitaja Havard, Oxford, John Hopkins , Yale huwezi kuwa na maswali juu ya hilo.

Pia unaweza kunitajia walikwenda kusomea nini huko kama ulivyosema senstensi ya mwisho uislam una elimu zake basi ingependeza uzitaje.

Sijaomba uweke ID za watu hapa hatukuongelea watu zaidi ya public figures kama Ally Happi na wengineo ndio maana hata mimi sijawataja hao rafiki zangu wa kiislam maana sio public figures na ni kinyume na policies za JF.

Pia mimi possibly sikuuliza ulisoma nini wala hobby yako ni nini kama ulivyosema pia sikuponda vyuo vya dini kama nilifanya hivyo quote sentensi hiyo hapa.

Tukirudi kwenye mada kuu naomba majibu ya maswali yangu muhimu moja kuu likiwa ni ufadhili wa kimasomo uliowahi kutolewa kwenye vyuo vikuu vya nje ambavyo kimsingi ni notable.

Ukiangalia list ya matajiri wengi waislam wapo kwa kiasi kikubwa ikiwa ni jamii ya waarabu je kuna aliyempeleka mwanaye kusoma Iran?

Nitakupa mfano tu mwepesi ili uelewe nilichomaanisha huyu kasomea mambi yake ya biashara Georgetown university akijikita kusomea biashara na theolojia kwa kiasi akiwa ni muislam wa Shia mbona kama tulivyotarajia hakwenda kusomea Iran ambapo Shia wapo 95% na badala yake kaenda Marekani?

Tukija kwa Professor Mussa Assad baada ya kuhitimu shahada yake ya kwanza alijiendeleza katika nchi za Ireland( University of Dublin na Uingereza(University of Southampton) sijaona mahali Professor alikwenda Saudia Arabia au Pakistan kujiendeleza.

Marehemu Ali Mufuruki alisomea Ujerumani , university of Reutlingen.

Kwa rekodi zangu za haraka ni Hussein Mwinyi alisomea shahada ya udaktari wa binadamu nchini Uturuki chuo cha Marmara na shahada ya pili alifanyia Uingereza , Hammersmith.

Kwa jinsi hiyo utakuwa umepata picha fulani sio kuponda bali ni kipaumbele kiukweli waislam miaka hii ndio wameanza kuamka ndio maana unaona hata diversity inaanza taratibu kwa nchi kama Saudia Arabia leo hii ligi yao inakaribisha wageni wa kutosha tuendako sheria zile kali zitaisha na patakuwa kama UAE , ambapo kuna branches za vyuo vya US,CA na UK.
Mbona sikuelewi 🤣🤣point yako ipo wapi?

Niambie chuo cha kikristo mara sijui Harvard vyuo vipo vingi kwma huikubali Iran ni sawa ,siwezi kulazimisha

Kwa hiyo vyuo vya Iran havina reputation ?🤣🤣Ndio maana nimekuambia hao marafiki hauna na umeandika uongo mtupu hapo...Vyuo ni Harvard , OXFORD sio!?

Jaribu kutembea hata china hapo Dubai nenda hata Ethiopi ,Mali ,Egypt ,libya vipo vyup vikubwa tu level za mbele ....Akili yako nishaisomw tangu ulipoanza kutaja watu hakuna hicho kitu ni uongo.

Kwa hiyo turkey pawe na chuo cheny reputation halafu Iran pakosea chuo chenye reputation?

Chuo kinaweza kuitwa sir johnson na kisiwe cha kikristo haswa nchi kama uingereza hata hostel ziitwe Magufuli sio za wakristo ni jina tu ,chuo na shule za dini
Zinajulikana kuanzia utaratibu wao na hakuna bifu sisi tunasoma kokote..


Elimu ni fardhi hata uende nchi za mbali ni moja ya maamrisho yetu...


Waislamu hwachagui vyuo ila hawawezi kusoma kweny vyuo vyenye sheria za dini ya kikristo kama malezi yao...

Kuna Mtanzania juzi amesoma nje amegundua n kuvuna gesi je unajua kasomes chuo gani?
 
Mzee wangu unazunguka sana na hutaki kuukubali ukweli........hakuna ambae hajui kuwa waasisi wa harakati za kudai uhuru wa nchi walikuwa ni Waislamu tena walikuwa hawana DNA za utanganyika

Äta dola pindi inaposhikwa na Waislamu uwa haifanyi vyema na ufisadi uwa mwingi na akiingia Muikristo ndo huanza kusafisha machafu yote yale yaliyo achwa na Waislamu
Paragraph ya mwisho ukweli mtupu tena siku hiyo waliokua wanasema ni waislamu watupu.
 
Masanja,
Mimi nimesahihisha historia iliokuwapl toka uhuru iliyowafuta wazee wangu katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ikambakiza Julius Nyerere peke yake.

Hizo imani nyingine ni zipi na zilikuwako katika kuunda African Association, Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa)na TANU?

Unaniuliza kuhusu mazuri ya Nyerere kwani nimeandika ubaya gani dhidi yake?

Nifahamishe.

Waislam na Ubaguzi wa Elimu nimekuwekea hapo una waraka kama huu kutoka kwengine kutaka maelezo kutoka serikalini?

Changamoto za Waislam ni NECTA na yalifanyika maandamano mwak wa 2012.

Unataka kufananisha MUM na vyuo vya makanisa vinavyopokea fedha za Memorandum of Understanding?

Memorandum ni kwa huduma za afya tu hakuna Chuo kanisa kwenye MoU
 
Back
Top Bottom