"Hats Off" Rais Samia Suluhu hii ni moja ya Hotuba za kuwekwa kwenye rekodi

"Hats Off" Rais Samia Suluhu hii ni moja ya Hotuba za kuwekwa kwenye rekodi

Mkuu hata kama ila ameonesha Dira kwenye UHURU NA HAKI na mimi ni muumini mkubwa wa kutaka uhuru na haki ya kujieleza.
Wewe nyumbani kwako huwa unatumia demokrasia kwamba watu wale nini au kilichopo??
 
Hvi CHADEMA hawajatoa tamko kwamba UTUNDU LISSU anarudi lini bongo? Au bado wanaogopa kivuli cha JPM? Nasubiria kwa hamu sana hilo tamko.
 
Wanajukwaa habari zenu,

Ni siku nyingine baada ya mapumziko marefu ya Pasaka, kama tunavyofahamu leo kulikuwa na zoezi la kuapishwa Makatibu na Manaibu Katibu wa wizara mbali mbali, pamoja na wakuu wa mashirika na taasisi mbalimbali.

Baada ya zoezi la uapisho zilifuata salamu kutoka kwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na baadae ikafuatia HOTUBA ya Mh. Rais, hotuba hii imekuwa ni kusimumua sana kwasababu imejikita katika kutoa dira ya Mh. Rais katika kutatua matatizo mbali mbali ikiwa ni:-

Kusisitiza matumizi ya AKILI badala ya "MISULI" nafikiri hapa Mh. Rais alimaanisha MIGUVU na hasa kwa kuendelea kuwasisitiza TRA kuhakikisha wanakusanya kodi bila ya kuwaumiza walipa kodi.

Rais sasa ameonesha njia katika namna ya kukabiliana na tatizo la Covid 19 kisayansi akisisitiza kuwa Tanzania sio kisiwa, kwa hili tunamshukuru sana kwasababu ni wazi sasa tunaenda kubadili taswira yetu KIMATAIFA kwenye kukabiliana na changamoto hii inayoikabili Tanzania.

Uwekezaji, hapa kwakweli amezungumza UKWELI mtupu na ni vyema watu wenye dhamana katika suala hili kuhakikisha wanafanyia kazi kwasababu hawa wawekezaji ndio ambao watasaidia katika kukuza ajira na kuipunguzia mzigo mzito serikali ya kuajiri. Hapa ni muhimu kuondoa urasimu ili kuweza kurudisha imani kwa wawekezaji si vizuri kusema Private sector haikupewa uzito inaostahili hapo nyuma lakini ni vyema kuanzia sasa tukawa na kiu ya kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza Tanzania.

Uhuru wa kwa vyombo vya habari, huu ni mwanzo mzuri kwasababu kukiwa na uhuru katika vyombo vya habari hii itampa nafasi ya kuweza kufahamu namna watendaji wake wanavyofanya kazi, wanasema Vyombo vya habari ni "Mhimili wa nne" katika serikali kwasababu ni wazi itakuwa ni rahisi kwake Rais kufahamu kwa uwazi mambo ambayo ingekuwa ni vigumu kwake kupata taarifa kwa wakati.

Kupitiwa upya kwa mitaala ya elimu, hapa ni kweli tunahitaji elimu ambayo itakuwa na msaada kwa vijana wengi wa Tanzania kwasababu elimu tuliyonayo sio siri hamuandai kijana kujiari bali kuwa muajiriwa ni kweli hapa tunahitaji mabadiliko ambayo yataenda kuleta suluhisho katika elimu ya Tanzania.

Kwakweli ni mambo mengi na ya umuhimu aliyoyaongelea kuweza kuayaandika hapa yote si rahisi sana ila ni hotuba yenye matumaini makubwa na kama watendaji watakuwa wamemsikiliza kwa umakini na kuyafanyia kazi basi tunaweza kuanza enzi mpya kwa mafanikio makubwa sana.

Niwatakie heri tunapoenda mapumziko ya Karume day.

Asanteni sana.
Mama anafurahisha sana , Mungu amlinde na wanafiq.
 
Wewe nyumbani kwako huwa unatumia demokrasia kwamba watu wale nini au kilichopo??
Hakika Mkuu ilimradi kipo kwenye uwezo wangu lakini sio kudictate "fanya hiki hautaki basi".

Uungwana doesn't cost anything.
 
Hvi CHADEMA hawajatoa tamko kwamba UTUNDU LISSU anarudi lini bongo? Au bado wanaogopa kivuli cha JPM? Nasubiria kwa hamu sana hilo tamko.
Atarudi kwa utukufu siku ikifika.
 
Hakika Mkuu ilimradi kipo kwenye uwezo wangu lakini sio kudictate "fanya hiki hautaki basi".

Uungwana doesn't cost anything.
Unaelewa maana ya Udictator? Je mtoto wako huwa unamuuliza kwamba anataka aende shule au hataki??
 
Hii hotuba ataitumia kwenye kampeni 2025 luwafyekelea mbali upinzani na majizi...
 
Wanajukwaa habari zenu,

Ni siku nyingine baada ya mapumziko marefu ya Pasaka, kama tunavyofahamu leo kulikuwa na zoezi la kuapishwa Makatibu na Manaibu Katibu wa wizara mbali mbali, pamoja na wakuu wa mashirika na taasisi mbalimbali.

Baada ya zoezi la uapisho zilifuata salamu kutoka kwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na baadae ikafuatia HOTUBA ya Mh. Rais, hotuba hii imekuwa ni kusimumua sana kwasababu imejikita katika kutoa dira ya Mh. Rais katika kutatua matatizo mbali mbali ikiwa ni:-

Kusisitiza matumizi ya AKILI badala ya "MISULI" nafikiri hapa Mh. Rais alimaanisha MIGUVU na hasa kwa kuendelea kuwasisitiza TRA kuhakikisha wanakusanya kodi bila ya kuwaumiza walipa kodi.

Rais sasa ameonesha njia katika namna ya kukabiliana na tatizo la Covid 19 kisayansi akisisitiza kuwa Tanzania sio kisiwa, kwa hili tunamshukuru sana kwasababu ni wazi sasa tunaenda kubadili taswira yetu KIMATAIFA kwenye kukabiliana na changamoto hii inayoikabili Tanzania.

Uwekezaji, hapa kwakweli amezungumza UKWELI mtupu na ni vyema watu wenye dhamana katika suala hili kuhakikisha wanafanyia kazi kwasababu hawa wawekezaji ndio ambao watasaidia katika kukuza ajira na kuipunguzia mzigo mzito serikali ya kuajiri. Hapa ni muhimu kuondoa urasimu ili kuweza kurudisha imani kwa wawekezaji si vizuri kusema Private sector haikupewa uzito inaostahili hapo nyuma lakini ni vyema kuanzia sasa tukawa na kiu ya kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza Tanzania.

Uhuru wa kwa vyombo vya habari, huu ni mwanzo mzuri kwasababu kukiwa na uhuru katika vyombo vya habari hii itampa nafasi ya kuweza kufahamu namna watendaji wake wanavyofanya kazi, wanasema Vyombo vya habari ni "Mhimili wa nne" katika serikali kwasababu ni wazi itakuwa ni rahisi kwake Rais kufahamu kwa uwazi mambo ambayo ingekuwa ni vigumu kwake kupata taarifa kwa wakati.

Kupitiwa upya kwa mitaala ya elimu, hapa ni kweli tunahitaji elimu ambayo itakuwa na msaada kwa vijana wengi wa Tanzania kwasababu elimu tuliyonayo sio siri hamuandai kijana kujiari bali kuwa muajiriwa ni kweli hapa tunahitaji mabadiliko ambayo yataenda kuleta suluhisho katika elimu ya Tanzania.

Kwakweli ni mambo mengi na ya umuhimu aliyoyaongelea kuweza kuayaandika hapa yote si rahisi sana ila ni hotuba yenye matumaini makubwa na kama watendaji watakuwa wamemsikiliza kwa umakini na kuyafanyia kazi basi tunaweza kuanza enzi mpya kwa mafanikio makubwa sana.

Niwatakie heri tunapoenda mapumziko ya Karume day.

Asanteni sana.
Haya yote yanaonesha aliyekuwepo kabla alikuwa na walakini mkubwa sana
 
Unaelewa maana ya Udictator? Je mtoto wako huwa unamuuliza kwamba anataka aende shule au hataki??
Wewe hayo yako hebu tujikite kwenye mada, mtoto kama unamuelekeza vizuri manufaa ya shule na unamtengenezea mazingira mazuri atakuwa anakuambia asubuhi na mapema umuandae aende shule.

Wawekezaji hawahitaji unpredictability behaviour na pia hatuwezi kwenda wenyewe bali tunahitaji kwenda na Dunia nzima.
 
Haya yote yanaonesha aliyekuwepo kabla alikuwa na walakini mkubwa sana
Hapana, anayekuja hatakiwi kuwaacha wakae katika speed ile kwa kuwasifu, kikubwa ni kuwachallenge ili wajione kumbe bado, msichokielewa ni nini? Mama anachofanya ni kuongeza volume ya kikichopo.
 
Wanajukwaa habari zenu,

Ni siku nyingine baada ya mapumziko marefu ya Pasaka, kama tunavyofahamu leo kulikuwa na zoezi la kuapishwa Makatibu na Manaibu Katibu wa wizara mbali mbali, pamoja na wakuu wa mashirika na taasisi mbalimbali.

Baada ya zoezi la uapisho zilifuata salamu kutoka kwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais na baadae ikafuatia HOTUBA ya Mh. Rais, hotuba hii imekuwa ni kusimumua sana kwasababu imejikita katika kutoa dira ya Mh. Rais katika kutatua matatizo mbali mbali ikiwa ni:-

Kusisitiza matumizi ya AKILI badala ya "MISULI" nafikiri hapa Mh. Rais alimaanisha MIGUVU na hasa kwa kuendelea kuwasisitiza TRA kuhakikisha wanakusanya kodi bila ya kuwaumiza walipa kodi.

Rais sasa ameonesha njia katika namna ya kukabiliana na tatizo la Covid 19 kisayansi akisisitiza kuwa Tanzania sio kisiwa, kwa hili tunamshukuru sana kwasababu ni wazi sasa tunaenda kubadili taswira yetu KIMATAIFA kwenye kukabiliana na changamoto hii inayoikabili Tanzania.

Uwekezaji, hapa kwakweli amezungumza UKWELI mtupu na ni vyema watu wenye dhamana katika suala hili kuhakikisha wanafanyia kazi kwasababu hawa wawekezaji ndio ambao watasaidia katika kukuza ajira na kuipunguzia mzigo mzito serikali ya kuajiri. Hapa ni muhimu kuondoa urasimu ili kuweza kurudisha imani kwa wawekezaji si vizuri kusema Private sector haikupewa uzito inaostahili hapo nyuma lakini ni vyema kuanzia sasa tukawa na kiu ya kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza Tanzania.

Uhuru wa kwa vyombo vya habari, huu ni mwanzo mzuri kwasababu kukiwa na uhuru katika vyombo vya habari hii itampa nafasi ya kuweza kufahamu namna watendaji wake wanavyofanya kazi, wanasema Vyombo vya habari ni "Mhimili wa nne" katika serikali kwasababu ni wazi itakuwa ni rahisi kwake Rais kufahamu kwa uwazi mambo ambayo ingekuwa ni vigumu kwake kupata taarifa kwa wakati.

Kupitiwa upya kwa mitaala ya elimu, hapa ni kweli tunahitaji elimu ambayo itakuwa na msaada kwa vijana wengi wa Tanzania kwasababu elimu tuliyonayo sio siri hamuandai kijana kujiari bali kuwa muajiriwa ni kweli hapa tunahitaji mabadiliko ambayo yataenda kuleta suluhisho katika elimu ya Tanzania.

Kwakweli ni mambo mengi na ya umuhimu aliyoyaongelea kuweza kuayaandika hapa yote si rahisi sana ila ni hotuba yenye matumaini makubwa na kama watendaji watakuwa wamemsikiliza kwa umakini na kuyafanyia kazi basi tunaweza kuanza enzi mpya kwa mafanikio makubwa sana.

Niwatakie heri tunapoenda mapumziko ya Karume day.

Asanteni sana.
umesahau ya bando na mitandao yetu mkuu!
 
Mama akiendelea hivihivi kadi yangu ya CHAUMA naichoma moto
Anaongea yani hutaki hata amalize
Tuzidi kumweka kwa maombi anaonekana ana nia ya dhati ya kufufua private sector ili ajira zirudi na hii itaongeza mzunguko wa fedha mtaani!
Mungu akupe afya njema mama
 
Wewe hayo yako hebu tujikite kwenye mada, mtoto kama unamuelekeza vizuri manufaa ya shule na unamtengenezea mazingira mazuri atakuwa anakuambia asubuhi na mapema umuandae aende shule.

Wawekezaji hawahitaji unpredictability behaviour na pia hatuwezi kwenda wenyewe bali tunahitaji kwenda na Dunia nzima.
My point is i support mama sana, kwa mengi. Najaribu kukueleza kuwa kama ni dictatorship hata nyumbani ipo, kila mahali ipo, hata sometimes kazini kwako ipo, ila ni ile ya kubring changes
 
Mama akiendelea hivihivi kadi yangu ya CHAUMA naichoma moto
Anaongea yani hutaki hata amalize
Tuzidi kumweka kwa maombi anaonekana ana nia ya dhati ya kufufua private sector ili ajira zirudi na hii itaongeza mzunguko wa fedha mtaani!
Mungu akupe afya njema mama
Kabisa Mkuu analeta TUMAINI YA TANZANIA YA KESHO
 
Mama yupo vizuri and I wish her the very best ila ni swala la muda tu kabla hawajaanza kumpiga vitu. Sisi ndo wamatumbi tunakupenda mwanzo tu, usipotuletea ugali mezani tunaanza kukuchukia.
 
Back
Top Bottom