Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Itakuwa jambo safi sana, ili tushuhudie mnyama anavyotoa jasho la ulimi.Mpaka hapa, naona uwezekana wa timu hizi mbili kuingia katika hatua ya makundi huku Yanga akiwa na chance ya asilimia 90 na Simba asilimia 80...
Sio rahisi maana simba na yanga zitakuwa kundi moja(underdog) hvyo zitagawanywa na makundi mengne ya timu kubwaMpaka hapa, naona uwezekana wa timu hizi mbili kuingia katika hatua ya makundi huku Yanga akiwa na chance ya asilimia 90 na Simba asilimia 80...
🤣🤣🤣🤣 Watu Muna maneno.itakuwa jambo safi sana, ili tushuhudie mnyama anavyotoa jasho la ulimi.
Ndio utaratibu?Tufafanulie wanavyocheza hizo droo mkuu.Sio rahisi maana simba na yanga zitakuwa kundi moja(underdog) hvyo zitagawanywa na makundi mengne ya timu kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu, ila mpira huwa na maajabu yake ndio maana Yanga nimewapa chance ya asilimia 90 ingawa nafsi inanitaka kuwapa chance ya asilimia 95.Hapo kwa Yanga, chance ni 99.9%, Simba ni 60%
Kupangwa kundi moja haiwezekani. Kwa sababu itakua kwenye kundi moja la underdogs ambalo haiwezekani zikakutana hatua ya makundi labda wakifuzu makundi waende kukutana hatua ya mtoanoMpaka hapa, naona uwezekana wa timu hizi mbili kuingia katika hatua ya makundi huku Yanga akiwa na chance ya asilimia 90 na Simba asilimia 80.
Kwa msingi huo, katika droo ya kupanga makundi, upo uwezekana wa Simba na Yanga kupangwa kundi moja.
Sijui sana utaratibu wa kucheza droo ukoje, ila naona hili linaweza kutokea.
Simba inawez kutana na yanga kwa sababu simba sasahv anawez ingia pot 3 yanga atakuwa pot4 la vilaza hivo wakinyofoa mmoja kila poti inawez tokeaKupangwa kundi moja haiwezekani. Kwa sababu itakua kwenye kundi moja la underdogs ambalo haiwezekani zikakutana hatua ya makundi labda wakifuzu makundi waende kukutana hatua ya mtoano
Yanga hii ni ya kuogopwa kama ukoma, usiichukulie poa kabisa unaweza kuja kuaibika bure.Simba inawez kutana na yanga kwa sababu simba sasahv anawez ingia pot 3 yanga atakuwa pot4 la vilaza hivo wakinyofoa mmoja kila poti inawez tokea
Msimu uliopita au msimu wa mwaka juzi kama sikosei mbona walipanga Al Hilal ya Sudan pamoja na Al Marekh kundi mojaKupangwa kundi moja haiwezekani. Kwa sababu itakua kwenye kundi moja la underdogs ambalo haiwezekani zikakutana hatua ya makundi labda wakifuzu makundi waende kukutana hatua ya mtoano
Nadhani wanaangalia timu za nchi moja zisikutaneSimba inawez kutana na yanga kwa sababu simba sasahv anawez ingia pot 3 yanga atakuwa pot4 la vilaza hivo wakinyofoa mmoja kila poti inawez tokea
Basi safari hii inaweza kuwa zamu ya timu zetu kupangwa kundi moja.Msimu uliopita au msimu wa mwaka juzi kama sikosei mbona walipanga Al Hilal ya Sudan pamoja na Al Marekh kundi moja
Sio vizuri kuchangia ukiwa na frustrations.Kwa mdomo tuu hamjambo..
Wazee wa propaganda za mdomo.
Simba ina asilimia 100 za kupita nyie inategemea kama Wakimbizi wakiwa wameshiba siku hyo na stress zimewatoka mtapima nguvu...
Hatua ya makundi timu zinazotoka nchi Huwa hazipangwi kundi mojaMpaka hapa, naona uwezekana wa timu hizi mbili kuingia katika hatua ya makundi huku Yanga akiwa na chance ya asilimia 90 na Simba asilimia 80.
Kwa msingi huo, katika droo ya kupanga makundi, upo uwezekana wa Simba na Yanga kupangwa kundi moja.
Sijui sana utaratibu wa kuchezesha hizi droo ukoje, ila naona hili linaweza kutokea.
Frustrations za nini na zitoke wapi...bwana kaka...wee pokea tuu comment yoyote kipindi hiki...Sio vizuri kuchangia ukiwa na frustrations.
Huna baya mtani...Ahaaaaaa