Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweza kukutana kwasababu watakuwa pot tofautHatua ya makundi timu zinazotoka nchi Huwa hazipangwi kundi moja
By the way:
Nashukuru umeanza kukubari kuwa Yanga anaringia makundi
Ahaaaaaa
Yote kheriWanaweza kukutana kwasababu watakuwa pot tofaut
Sare ya chini ya magoli mawili au ushindi wa aina yeyote uleKwani Simba anahitaji matokeo ya aina gani ili afuzu hii hatua?
Kama hujui kitu nyamazaKupangwa kundi moja haiwezekani. Kwa sababu itakua kwenye kundi moja la underdogs ambalo haiwezekani zikakutana hatua ya makundi labda wakifuzu makundi waende kukutana hatua ya mtoano
Mwaka 2022 mbona walipanga Al hilal na Al Marekh zote za sudanHatua ya makundi timu zinazotoka nchi Huwa hazipangwi kundi moja
By the way:
Nashukuru umeanza kukubari kuwa Yanga anaringia makundi
Ahaaaaaa
Draw ya 0-0 ,1-1 .Kwani Simba anahitaji matokeo ya aina gani ili afuzu hii hatua?
Mwambie ajue alikuwa ajui kitu huyoMwaka 2022 mbona walipanga Al hilal na Al Marekh zote za sudanView attachment 2751456
Unafikiri kila siku ijumaa kakaTukipangwa na Gongowazi mbona Kibu atachekelea sana
Makolo ndo harakati zao hiziYan mashabiki wa Tanzania Bana [emoji23][emoji23] mtu hajui kanuni wala sheria analeta ubishi na ujuaji. Tuna Safari ndefu sana kwenye mpira wetu
Kwenye makundi tunakuwaga ni wengine sio wale mliotuzoeaUnafikiri kila siku ijumaa kaka
Akili mtu wangu kwamba simba na yanga zipo pot moja sio?Sio rahisi maana simba na yanga zitakuwa kundi moja(underdog) hvyo zitagawanywa na makundi mengne ya timu kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tutaona mengi kakaKwenye makundi tunakuwaga ni wengine sio wale mliotuzoea
Utalala hoi leoKwa mdomo tuu hamjambo..
Wazee wa propaganda za mdomo.
Simba ina asilimia 100 za kupita nyie inategemea kama Wakimbizi wakiwa wameshiba siku hyo na stress zimewatoka mtapimana nguvu...
bado hujasema mpka useme,yaaan8 bado badoKwa mdomo tuu hamjambo..
Wazee wa propaganda za mdomo.
Simba ina asilimia 100 za kupita nyie inategemea kama Wakimbizi wakiwa wameshiba siku hyo na stress zimewatoka mtapimana nguvu...
kumbuka juwaneng galaxy na ile timh ya msumbuji iliwatoa hivi hivi futa kauli ya 100 [emoji817]Kwa mdomo tuu hamjambo..
Wazee wa propaganda za mdomo.
Simba ina asilimia 100 za kupita nyie inategemea kama Wakimbizi wakiwa wameshiba siku hyo na stress zimewatoka mtapimana nguvu...
Sio kweliHatua ya makundi timu zinazotoka nchi Huwa hazipangwi kundi moja
By the way:
Nashukuru umeanza kukubari kuwa Yanga anaringia makundi
Ahaaaaaa