Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka hapa, naona uwezekana wa timu hizi mbili kuingia katika hatua ya makundi huku Yanga akiwa na chance ya asilimia 90 na Simba asilimia 80.
Kwa msingi huo, katika droo ya kupanga makundi, upo uwezekana wa Simba na Yanga kupangwa kundi moja.
Sijui sana utaratibu wa kuchezesha hizi droo ukoje, ila naona hili linaweza kutokea.
Al Merrikh akija kutangulia kupata goli hapo Kwa Mkapa mtaanza kubana pu.mbu maana akiongeza zikawa 2 na ikaisha hivyo ni mnaenda matuta ambapo mnaweza kutolewa huko. Sasa hizo za kusema sijui lazima washinde 3-0 unazitoa wapi? Hapo Kwa Yanga ni 80% Al Merrikh 20%. Haijaisha kabisa hiyo goli 2 huwa zinarudi.Yanga asilimia ni 100% maana Al Merreikh hawana ubavu wa kuifunga Yanga 3-0 Kwa Mkapa!
Chance ya Simba ni 50% maana Simba walirudisha goli Baada ya Power Dynamos kubaki 10 uwanjani na Simba waliendeleza papatu papatu Yao! Simba hawakueleweka wanacheza kitu Gani magoli yalikuwa yakipatikana bila utaratibu unaoeleweka!
Sidhani kama Simba wataingia makundi! Itakuwa ndondokela kama walivyobeba ngao ya jamii bila kufunga goli lolote ktk dkk 90! Hata walipofungwa magoli ya wapinzani wao yalikataliwa!
Al Merrikh akija kutangulia kupata goli hapo Kwa Mkapa mtaanza kubana pu.mbu maana akiongeza zikawa 2 na ikaisha hivyo ni mnaenda matuta ambapo mnaweza kutolewa huko. Sasa hizo za kusema sijui lazima washinde 3-0 unazitoa wapi? Hapo Kwa Yanga ni 80% Al Merrikh 20%. Haijaisha kabisa hiyo goli 2 huwa zinarudi.
Kwa hiyo hujawahi kusikia ,mpira una matokeo ya kikatili? Ndio huwa hivyo sasa kufungwa ambae haikutegemewa atafungwa.Yanga hajaruhusu goli tangu msimu huu uanze.
Diara anasinzia tu golini kule hawazi ata.
Kiungo wakabaji na beki za yanga wapewe maua.
Kulitokea maajabu gani hapo Mkwakwani? Kama ni moto mlipelekewa kuanzia dakika ya 1 mpaka ya mwisho! Ball possession 80 kwa 20!!
Simba yuko kwenye pot 2 wakati yanga yupo pot 4.Aahàaaa,levo gani?
Tusubirie draw ya makundiSimba yuko kwenye pot 2 wakati yanga yupo pot 4.
Moja ya ndoto mbaya sana ya kutisha ambayo makolo wakiiota usiku wanashtuka wakiwa wanaweweseka huku wakivuja jasho mwili mzima ni hiiMpaka hapa, naona uwezekana wa timu hizi mbili kuingia katika hatua ya makundi huku Yanga akiwa na chance ya asilimia 90 na Simba asilimia 80.
Kwa msingi huo, katika droo ya kupanga makundi, upo uwezekana wa Simba na Yanga kupangwa kundi moja.
Sijui sana utaratibu wa kuchezesha hizi droo ukoje, ila naona hili linaweza kutokea.
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaaItakuwa jambo safi sana, ili tushuhudie mnyama anavyotoa jasho la ulimi.
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tuYanga asilimia ni 100% maana Al Merreikh hawana ubavu wa kuifunga Yanga 3-0 Kwa Mkapa!
Chance ya Simba ni 50% maana Simba walirudisha goli Baada ya Power Dynamos kubaki 10 uwanjani na Simba waliendeleza papatu papatu Yao! Simba hawakueleweka wanacheza kitu Gani magoli yalikuwa yakipatikana bila utaratibu unaoeleweka!
Sidhani kama Simba wataingia makundi! Itakuwa ndondokela kama walivyobeba ngao ya jamii bila kufunga goli lolote ktk dkk 90! Hata walipofungwa magoli ya wapinzani wao yalikataliwa!
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana.Kulitokea maajabu gani hapo Mkwakwani? Kama ni moto mlipelekewa kuanzia dakika ya 1 mpaka ya mwisho! Ball possession 80 kwa 20!!
Ushindi wa mikwaju ya penati nao ni wa kushangilia mbele za watu!
Ujue mwanzon kabisa nilisikiaga kuwa simba yeye direct anaingia makundi bila kupitia mtoano, sasa hik kinachoendelea ni nini???
Oyaa GENTAMYCINE
Simba SC na Timu zingine 7 Kutocheza hatua za Awali CAFCL bali zitaingia Makundi Moja kwa Moja
Wakati Timu Moja mbovu mbovu nchini Tanzania na isiyo na Uzoefu wa Kucheza CAFCL japo ilibahatisha kufanya vyema CAFCC ikianza Kucheza Mechi zake Mbili au Nne za Hatua za Awali ambapo GENTAMIYCINE nina uhakika itatolewa na kurejea Kucheza NBC Premier League CAF wametoa Utaratibu mpya ambao...www.jamiiforums.com
Bado huo ubingwa utatambulika ni kwa mikwaju ya penati. Hivyo hakuna cha ajabu hapo.Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana.
Hiv mabingwa wa world cup walichukua kwa njia ipi?????
Hahaaaa!!!!hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaBado huo ubingwa utatambulika ni kwa mikwaju ya penati. Hivyo hakuna cha ajabu hapo.
Sawa kijana wa Ismail Aden Rage.Hahaaaa!!!!hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sana
Hapana sijui lolote ndio maana nimeuliza.Knockout najua mtoano hiyo preliminary ndio nini?Unajua tofauti ya Preliminary stage and Knockout stage?
Huu ni uongo. Kuna waka barceleno walifungwa 5~0 na psg