Hatuhitaji vita vya kikanda na Iran-Waziri Mkuu wa zamani wa Israel

Kwa hiyo umekaa hapo kijijini kwenu ukiidhania Israeli ni kama ilivyo familia yenu isiyojielewa?
 
Iran anaweza akapata kiburi endapo watamuacha hivihivi, ni hatari sana kwa mataifa ya magharibi kuangalia tu maslahi yao ya kiuchumi kuliko usalama wa taifa la Israel.
Taratibu mtapata na akili kila siku ziendavyo kuwa Israel c taifa la Mungu kama mnavyo danganywa na bibilia zenu nchi zote ni za Mungu tu.

Dini ni moja tu Uislam.
 
Usalama wa Taifa la Israel upo mikononi mwa Israel na sio nchi zingine, akili zao na maamuzi yao ndio yatafanya aidha nchi yao iwe salama ama wapigike
Nani amekudanganya wewe,tatizo mna amka mapema kuvuta bhangi bira hata kunywa chai.
 
Iran anaweza akapata kiburi endapo watamuacha hivihivi, ni hatari sana kwa mataifa ya magharibi kuangalia tu maslahi yao ya kiuchumi kuliko usalama wa taifa la Israel.

Mazayuni hawatabaki salama maisha yao yote.
 
Iran anaweza akapata kiburi endapo watamuacha hivihivi, ni hatari sana kwa mataifa ya magharibi kuangalia tu maslahi yao ya kiuchumi kuliko usalama wa taifa la Israel.

Mazayuni hawatabaki salama maisha yao yote.
 
Iran anaweza akapata kiburi endapo watamuacha hivihivi, ni hatari sana kwa mataifa ya magharibi kuangalia tu maslahi yao ya kiuchumi kuliko usalama wa taifa la Israel.

Mazayuni hawatabaki salama maisha yao yote.
 
Israeli ndio anadhulumiwa na majirani zake.
 
Netapaka tena???khaaa umejua kunichekesha jioni hiii
 
Iran ingekua na uongozi wenye staha isingekua kinara wa kufuga magaidi duniani.
Kama akili zako ndio hizi hufai hata kujibiwa hoja zako, nchi zote zikizoendelea zina vikundi vyao vya kujihami na kushambulia, marekani , russia , israel etc sema tatizo lako ni hadi marekani aseme fulani ni gaidi na wewe unabwabwaja, hadi mandela aliitwa gaidi na hao wazungu wako wakati anapigania haki kwenye taifa lake, hivi huko shuleni mnaendaga kufanya nini kama mnashindwa hata kufikiri
 
Iran anaweza akapata kiburi endapo watamuacha hivihivi, ni hatari sana kwa mataifa ya magharibi kuangalia tu maslahi yao ya kiuchumi kuliko usalama wa taifa la Israel.
Nyie ndo mlikuwa mnasema anaitafutwa ni iran... mwenye kiburi ni nani kama sio Israeli. Ndio tusema iran anakiburi mtamfanyeje
 
Shikamoo Dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…