Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

Hatutaki Tabia hizi za wanaJF mibaba!

sio hivyo jamani. Juzi nimehangaika kweli. Sahvi sikumbuki niliwezaje.
Nitamuuliza invisible kama hutaki kunielekeza.
Kwenye mobile ni ngumu lakini kwenye pc/laptop unabonyeza kitufe cha thanks na inatokea saa hiyohiyo.
 
Kama hutaki si umwambie tu kuliko kumchana live mwenzio wewe.
Atajisikia vibaya bana

mbona dada dena alipontaka nilimjibu kistarabu mpaka akanielewa. husniyo pia hivyo hivyo. na yule mwingine nani?
 
Ok ebu twende slow:-

"..,,,Mambo mtoto mzuri?, vipi umeshatoka job?, nimekuwa nikisoma mabandiko yako hapa JF kwa kweli yananivutia sana na sijui imekuwaje kila unapobandika huwa nasikia roho "inapasuka"! Kha! Anywayz nadhani ni mipango ya Mwenyezi mungu, lakini yaani nashindwa hata kuelezea.. Mimi naishi Mwanza ni Mwalimu wa Shule ya Sekondari Sengerema, vipi wewe unaishi wapi na unafanya kazi gani?

Mimi nimeoa nina mke na watoto saba, na maisha yanaenda, namshukuru Mungu.. Kama hutajali ningependa tuwe marafiki wa kawaida tuwe tuna-chat hapa JF na ikiwezekana siku moja tutaweza kuonana na kuongea mengi.. Bye kwa leo.. Namba yangu ya simu ni +2711505800800 Mwanza. . Jioni Njema ............."

Samahani wakuu hii ni sampo ... Baba_Enock ni Paroko!


Ha ha ha umenichekesha mpaka basi lakini nashukuru kwa kunipa usingizi
 
Nani kamtongoza dada yake huyu?

images



Anyway nawasiwasi kuwa huyu mama alitongozana na mtu kwenye PM wakakutana wanakojua wakamalizana, na yule mtu akamchunia moja kwa moja labda alijua atamwoa ....... ID kabadili na simu haipatikani so this was ze onlyi wei tu deliva the meseji.

umeona eeee
 
mbona dada dena alipontaka nilimjibu kistarabu mpaka akanielewa. husniyo pia hivyo hivyo. na yule mwingine nani?

Halafu tuliyamalizia huko huko tukaendelea kunywa maji ya Ilala. Halafu wewe mbona ile bill hukulipa?? Una kesi
 
yap, uporoto ni street which i was born

subzero,

Ungeandika FAO - Kiongozi uporoto1 angekuelewa!

BTW:: Wewe ulizaliwa street au hospitali? Labda umelelewa na umekulia Mtaa wa Uporoto? right?
 
Popote pale ambapo kuna mkusanyiko wa Wanaume na Wanawake iwe mashuleni, vyuoni, makazini na hata katika zile nyumba zetu takatifu za ibada makanisa na misikiti n.k. kutongoza na kutongozwa ni kama kawa. Wajibu wako kila unapotongozwa na mtongozaji ni kukubaliana naye au kukataa utongozaji toka kwake.

Kwa ushauri tu itakuwa vizuri ukiweka signature yako na isomeke hivi, "Mibabu na Mibaba ya JF tafadhali msinitongoze."

Always remember that Mibabu na Mibaba ya JF need love too :behindsofa:

Have a great day

Umenena vyema sana BAK huwezi kumzuia mtu kukutongoza cha muhimu ni msimamo wako ndio kinga kwako na maisha yako yote hapa duniani
Pia kuna mmoja kasema Trusme ka-join Jan 2011 tayari kishatongozwa na kuamua kukutana nao ,sasa sijui ni wangapi kakutana nao
Na nikijaribu kuangalia January haijaisha tayari kishatoa malalamiko
Au inawezekana huyu ni member mkongwe kaamua kuja na new ID ili kutoa dukuduku late?
 
Umenena vyema sana BAK huwezi kumzuia mtu kukutongoza cha muhimu ni msimamo wako ndio kinga kwako na maisha yako yote hapa duniani
Pia kuna mmoja kasema Trusme ka-join Jan 2011 tayari kishatongozwa na kuamua kukutana nao ,sasa sijui ni wangapi kakutana nao
Na nikijaribu kuangalia January haijaisha tayari kishatoa malalamiko
Au inawezekana huyu ni member mkongwe kaamua kuja na new ID ili kutoa dukuduku late?

Inawezekana kabisa
 
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?

Jibu ni, tusiwakubali.
 
Back
Top Bottom