Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kubwa siyo kauli, ni vitendo.Kung’olewa hakutoshi, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria kwa kauli hizo tata?
Huna lolotemasuala ya uhalifu wa aina mbalimbali sijui uporaji, uhujumu uchumi, utekaji, ubakaji n.k ni ya kiuchunguzi na hivi tunavyo fanya engagements katika platform hii vyombo vya kiuchunguzi vya ulinzi na usalama vinaendelea na kazi yao,
ile ya muhimu zaidi,
ni kua na wastahimilivu na wenye subra, kuepuka kuzua taharuki na kuchochea hisia na kuleta huruma ambazo hazina maana yoyote badala yake zinaweza kuathiri kazi ya Uchaguzi na upelelezi inayoendelea...
so,
ladies and gentlemen ni muhimu sana tukawa watulivu, na zaidi sana ikiwa kuna yeyote mwenye taarifa za uhakika kuhusu uhalifu wowote humu nchini, basi asisite kutoa taarifa kwa vyombo vya uchunguzi na hatua zichukuliwe kabla ya kuleta madhara mathalani uharibifu na pengine maafa....🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Neema na Baraka za Mungu zanipa nguvu uwezo na maarifa zaidi kurekebisha haya yote,aisee tlaatlaah kazi anayo anajaribu kupaweka sawa mara paap mwingine kaliamsha tena kinyesi juu ya meza ya chakula
Kauli tata kivipi wakati huo ndio ukweli? Yaani, wapinzani tu ndio walishindwa kujaza fomu kwa usahihi halafu CCM waliweza wote? Wanang'olewa kwa sababu wanatoa siri na si kwa sababu wanasingizia serikali na CCM.Kung’olewa hakutoshi, kwanini hawachukuliwi hatua za kisheria kwa kauli hizo tata?
Kwanza ilibidi aeleleza kwa uwazi chimbuko la hizo 4Rs. Hapo huyo DC anamsaidia kuonesha umuhimu wa hizo 4Rs, halafu anatumbuliwa!Mbona wenzake wanaosemaga Siri za wazi na ukweli wa yaliyojificha chamani na serikalini wanatenguliwa?🤣🤣
Kwanini msije tu hadharani mkakiri maovu yenu ili wadanganyika waelewe umuhimu wa hizo 4RS?
Swali fikirishi je wewe data hujizimi, hahahaa, kwa uhalisia mambo mengi kwenye jamii yanakwama kwasababu ya watu kuahirisha kufikiri kwa nafsi, mimi nailaumu jamii kwakunyamaza inawezakana imenyamazishwa je itanyamaza hadi lini nini madhara yake, (silent society), nakuomba pia usome kuhusu ostracism utanishukurunadhani kama Taifa,
tupo pazuri, tunakwenda vizuri na uelekeo mwema ni wa uhakika sana, hasa chini ya kiongozi wetu makini na shupavu sana mtukufu Rais Dr Samia Suluhu Hassan...
wale ambao dhamira na nia zao ni tofauti na za mwenyekiti wa CCM taifa Dr Samia Suluhu Hassan, basi taasisi za uteuzi hazita sita hata sekunde moja kumbandua kwenye nafasi yake pale alipo, bila kujali mbambamba ya mtu yoyote 🐒
nimefurahi umeelewa vyema hoja ya msingi na dhamira ya dhati ya Dr Samia Suluhu Hassan, nakushukuru sana kwa ungwana wako kwenye hilo....Huna lolote
Wewe upo hapa as CHAWA na si vinginevyo.
Yule mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyesema kuwa watawateka nyara na kuwapoteza wakosoaji wa Rais mmemfanya nini kama siyo utaahira wa kusifia na kuabudu?
aisee upepo unavuma kwa kasi sana utakwama, kwa sasa nyeti za kuku hadharaniNeema na Baraka za Mungu zanipa nguvu uwezo na maarifa zaidi kurekebisha haya yote,
acha tu wachafue nitasafisha, na itafahamika tu, uongozi ni karama, uongozi ni jalala ndrugu yangu daktari wa porini huko ndrani ndrani kabisa 🐒
Haya sasanimefurahi umeelewa vyema hoja ya msingi na dhamira ya dhati ya Dr Samia Suluhu Hassan, nakushukuru sana kwa ungwana wako kwenye hilo....
lakini hilo la pili,
nadhani chama husika kina taratibu zake katika kuchukua hatua kwa viongoz wake waandamizi na wanachama wanao kwenda kinyume na malengo mahususi ya chama husika....
fuatilia vizuri,
kuna hatua za kurekebisha mambo kama hayo huko kagera na maeneo mengine nchini..🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Kupitia falsafa ya 4Rs,
Rais wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ana lenga na anakusudia kuiponya Tanzania kwa majeraha mbalimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, na kujenga hali na mazingira ya kuaminiana na kurejesha imana za wanachi zilizotoweka katika kuamini taasisi za Umma.
Na kwahivyo,jitihada za makusudi, dhamira ya dhati na nia yake njema ni kutibu kabisa majeraha yote ya kisiasa, kuliunganisha taifa na waTanzania wote, na zaidi sana kufungua nchi miongni mwa mataifa ya ulimwengu.
Katika kipindi kifupi sana cha uongozi wake wa awamu ya sita na kwakupitia serikali sikivu ya CCM, Rais, Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa kiasi kikubwa mno kuwaleta waTanzania wote pamoja mathalani katika suala la maridhiano limechochea kwa kiasi kikubwa kidemokrasia nchini kuimarika sana, mikutano ya hadhara rukhsa, maandamano rukhsa, ukosowaji kwa Serikali rukhsa, uhuru wa maoni, habari, haki na usawa wa habari na kuabudu, chaguzi huru, sawa na haki n.k
Lakini pia, uwazi na uwajibikaji serikalini ni mkubwa sana, kwamfano sheria za uchaguzi na Tume Huru ya Uchaguzi vimefanyiwa marekebisho mukubwa sana muhimu kwa uwazi sana na kufanya mazingira bora zaidi na ya kuaminika kwa wananchi, kwamba chaguzi zetu hasa zinazokuja.
zinafanyika katika mazingira ya uwazi, usawa na uhuru ili kuondoa manung"uniko na sintifahamu na hujuma za wasiolitakia mema Taifa letu.
sasa katika hali hiyo, anatokea kiongozi muandamizi tena mteule wa Rais eti ng"we ng"we ng"we kuhusu uchaguzi? wateule wa aina hii ni sharti wabanduliwe kwenye nafasi zao maramoja bila maelezo wala ufafanuzi wa kina.
Soma Pia: Kama taifa, zawadi pekee ya kumpa Rais Samia kwa kazi nzuri ya maendeleo ni ushindi wa kishindo uchaguzi mkuu 2025 ikiwa atagombea
Huko ni kumuhujumu Mwenyekiti wa CCM taifa na kuhujumu kwa makusudi dhamira njema na jitihada kubwa sana za Rais Samia Suluhu Hassan kuliunganisha Taifa na kufungua nchi na zaidi sana kuimarisha umoja, amani, utulivu na mshikamano wa waTanzania wote.
Natoa rai kwa watumishi wa Umma kote nchini , kutunza ndimi zao na kuheshimu mamlaka hasa za uteuzi..🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Machawa wanahaha mitandaoni kujaribu kurekebisha kiitikio cha wimbo4R za mchongo
ntajitahid kusoma hiyo Ostracism nione kuna nini hasa ndani yake...Swali fikirishi je wewe data hujizimi, hahahaa, kwa uhalisia mambo mengi kwenye jamii yanakwama kwasababu ya watu kuahirisha kufikiri kwa nafsi, mimi nailaumu jamii kwakunyamaza inawezakana imenyamazishwa je itanyamaza hadi lini nini madhara yake, ( silent society), nakuomba pia usome kuhusu ostracism utanishukuru
Gentleman,Haya sasa
Chaula
Soka
Mbise
Na wengine mmewapoteza na kuwaficha wapi?
Maana baada ya Mkiti wa UVCCM kutoa msimamo, utekelezaji ukaanza maeneo mbalimbali hususan ikumbukwe assassination attempt kwa Sativa ilifeli na akaelezea namna pale Oysterbay Polisi alivyotulizwa gereji na kuanza kushughulikiwa.
Uache kutufanya majuha. CCM ndiyo mhusika mkuu wa huu upuuzi, dola inatumika tu
Hata ufanye veting vipi makada wa CCM hawana uwezo wa kuongoza wala kufanya lolote kusogeza nchi hii mbele.ni muhimu sana jambo hilo kuzingatiwa na kukumbusha mabiresho zaidi, japo ndivyo inavyofanyika pia hata sasa 🐒
Mimi naandika kitabu fikirishi cha ujasiriamali na ni mjasiriamali nakiandika miaka 35 baada ya kupata elimu ya ujasiriamali na kufanya ujasiriamali nafahamu kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike kwa hiyo usi sifu sanaa, not ready to be brain washedntajitahid kusoma hiyo Ostracism nione kuna nini hasa ndani yake...
kama nilivyoeleza awali,
nchi ni tulivu, nchi ina amani na inchi inafuraha...
hakuna mambo yanayokwama kwenye jamii hasa za kiTanzania, na wala hakuna mwananchi anae nyamazishwa kusema au kutenda jambo lenye maslahi kwake na kwa Taifa...
mambo yanakwama vipi wakati maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao yanaendelea vizuri, mambo yamekwama vipi vyama vya siasa vinafanya mikutano ya hadara na maandamano kwa uhuru bila mbambamba yoyote,
mambo yamekwama wap wakati biashara, uwekezaji, utalii, kilimo na viwanda vinaendelea kuzalisha bila mbambamba yoyote?🐒
au wewe ndio umekwama na kunyamazishwa na maajabu ya vijana wadogo ulowaacha kijijini hivi sasa wanamiliki majumba na magari ya kifahari?🐒
kila kijana wa nchi hii hivi sasa, ana matumaini makubwa sana ya kutimiza ndoto na matarajio yake ya maisha chini ya uongozi wa Dr Samia Suluhu Hassan, 🐒
ama nasema urongo ndrugu zango?
Ndugu yangu ipo namna hii.Gentleman,
haya unayonieleza actually si mapya bali unayaongeza kadiri muda unavyosonga....
Nadhani ni muhimu kuyaeleza yote na upate relief kubwa na ya kutosha zaidi moyoni,
hata hivyo,
hayo yote yako chini ya uchunguzi wa vyombo imara vya ulinzi na usalama wa nchi yetu, ni muhimu tukawapa nafasi wafanye kazi yao kwa uhuru na kwa nafasi..
sawa gentleman,
kua muungwana isije kuathiri uchunguzi unaoendelea 🐒
no,Hata ufanye veting vipi makada wa CCM hawana uwezo wa kuongoza wala kufanya lolote kusogeza nchi hii mbele.
Ona tu madudu yanayofanywa huko wilayani ,wizarani unajiuliza huyu mtu alisoma kweli.