Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta Ajira sema neno🤝🤝🤝 uko wapi lakini.....
Kama vile nakupenda
Mtoa mada ni kama unapenda mfumo wa MALE DOMINACY vile Natafuta AjiraWe waache tu 😀😀😀😀 ipo siku wataangusha kilo na kusema natafuta ajira aliniambia mimi
Ivyo ndivyo inavyotakiwa, mwanamke hana characters za kuwa kiongozi, utamuongoza vipi mtu ambae akiamua kukucharaza makofi hauna cha kumfanya zaidi ya kulialia tu na kwenda kuomba msaada polisi?Mtoa mada ni kama unapenda mfumo wa MALE DOMINACY vile Natafuta Ajira
Apo sawa kaka,Ivyo ndivyo inavyotakiwa, mwanamke hana characters za kuwa kiongozi, utamuongoza vipi mtu ambae akiamua kukucharaza makofi hauna cha kumfanya zaidi ya kulialia tu na kwenda kuomba msaada polisi?
Kiongozi lazima awe na nguvu za kumshurutisha anaemuongoza endapo akitoka nje ya mstari.Apo sawa kaka,
najua kuna mifeminist mingine itakuja kusema "tafuta hela"
Umeongea ukweli mtupu mkuu,Kiongozi lazima awe na nguvu za kumshurutisha anaemuongoza endapo akitoka nje ya mstari.
Bro I LOVE YOU nmetokea kukupenda nkiona tu ID yako moyo unaenda mbio.Ivyo ndivyo inavyotakiwa, mwanamke hana characters za kuwa kiongozi, utamuongoza vipi mtu ambae akiamua kukucharaza makofi hauna cha kumfanya zaidi ya kulialia tu na kwenda kuomba msaada polisi?
Aluta continuaNakubali Mr.putin, mada za kikamanda kama hizi uwe unani-tag mkuu
sisi wengine ni slow learner, hivyo inabidi uwe una rudia rudia hizi mada ili dawa iingie vizuri
Taken my bro.Bila ya wewe uyo mwanamke hatokufa, acha kujipa stress ili upate sifa za kijinga, eti responsible boyfriend, unapigwa mwanangu.
Kama bajeti hairuhusu kumpa hicho anachokitaka lala salama kabisa hata usisumbue akili wala nafsi yako, na akinuna akatishia kuondoka mfungulie mlango aende.
You don't owe your girlfriend a lifestyle her father cannot give her. Don't allow any woman to put you under pressure in this life, most of them are absolutely liability in your life.
The key is to put your plans first and chase money, striving to satisfy a woman will not add anything significant in your life.
Prioritze yourselves my brothers, these hoes aint loyal.
kama bado hujawa na maisha stable hutakiwi kuwa na malengo na mwanamke labda yeye ndo awe na malengo na wewe.Ndo ukute una malengo ma
aWatu wanawekeza mkuu
Ila haya mambo duh
Mkuu unangeuzia qibla kimasihara.....mzabzab ni muhuni flan sio weweUnaweza kunicheki pm kwa id yangu nyingine natumia user name ya mzabzab
Hata ukiwa na maisha stable chukua muda kumsoma uyo mwanamke kabla ya kuwa na malengo naye. Kumbuka mke ndie atakua mshauri wako, mkeo ndio ataambatana na wewe kwenye kila mapito, mkeo ndie atakua mama wa watoto wako, kwaiyo usiangalie kigezo cha uchumi tu.kama bado hujawa na maisha stable hutakiwi kuwa na malengo na mwanamke labda yeye ndo awe na malengo na wewe.
Kuna watu wana id nyingi hapa wanaswitch characters, usishangae siku ukagundua zero iq ndio max melo mwenyeweMkuu unangeuzia qibla kimasihara.....mzabzab ni muhuni flan sio wewe
🤣🤣🤣🤣 Maxxxxxxx uko wapiiiiiKuna watu wana id nyingi hapa wanaswitch characters, usishangae siku ukagundua zero iq ndio max melo mwenyewe