Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
My dia mimi naamini ktk mapenzi, na imani yangu ni kuwa when i say "i do" ama ninapoamua kureciprocate someones love, i mean it from every bit of me.......yaani ni kupenda tu kwa kwenda mbele na sio vinginevyo. Sina sababu ya kuishi kwa mashaka na wasiwasi eti ohh nitaumia, sijui nitavunjwa moyo.....kwa sababu hakuna kitu kinachodumu milele, watu wanakufa bila kujiandaa itakuwa mapenzi after all maisha yenyewe mafupi haya kuishi kwa kujibana bana kisa........lol
Nami nimaamini the same maty but ah.....sometimes bwana yapaswa ufunge kibwebwe maana unawezakuta mkaka mwenyewe naye ni "mzito" so ukizubaa utakosa mwana na maji moto....kuna lugha nyingi za mtoto wa kike anazowezatumia bila kutamka neno nakupenda kwa mwanaume...maadili ni vyema yakazingatiwa
If you love something, set it free. If it comes back, it was, and always will be yours. If it never returns, it was never yours to begin with - Maty
....Maty hapa nazungumzia mpya unayempenda wewe................Labda sijakuelewa kidogo unaemzungumzia hapa ni yule ambae alishawahi kuwa mpenzi wako au mwingine mpya inatokea ndio umemdondokea?
Katiba mabandiko yote niliyoyapitia.........nimejikuta mimi ni mshamba tena mshamba wa kutupwa. Sielewi nitakuwa kwenye mapenzi vipi na nisionyeshe hisia zangu, sielewi ni jinsi gani nimpende mtu 50% au 70% huku asilimia nyingine niweke akiba kama ikitokea nikaumizwa, sielewi jinsi gani niwe kwenye mahusiano na kama backup wakati ninamwingine kwa upande mwingine, yaani ukweli sielewi.
Ngoja kwanza niendelee kutulia maana huu ulimwengu wa dot com hata sijui upepo wake unaelekea wapi ktk maswala haya.........what a naive me!!!!lol
....Maty hapa nazungumzia mpya unayempenda wewe................
mmmh......:A S-coffee::A S-coffee:
Kdb..hiyo avartar yako imenikosha.......mwanangu anaiita mpenzi wangu and she look like that one in your avartar natamani upost kila saaIf you love something, set it free. If it comes back, it was, and always will be yours. If it never returns, it was never yours to begin with - Maty
BTT
Narudia tena mapenzi ni how you take and make of it. ukitaka kufurahia jichanganye na sahau all the possibilities...kama alivyosema maty enjoy while it last acha kufikiria yajayo kuwa itafell itafanya nini......if there is any person in doubt like me....namshauri atizame movie iitwayo No strings attached..that is what I am going to do this evening
Stay blessed......till baadae
....Maty hapa nazungumzia mpya unayempenda wewe................
Hapa sasa nimekupata lol, kama ni mpya hakuna shida kabisa maana hata yeye atakua anajifikiria fikiria aanzaje so ukishaonyesha dalili ............................................................
Hahahaha lolmmmh......:A S-coffee::A S-coffee:
Kwa hiyo amwambie live au ampe ma bodi language?Hapa sasa nimekupata lol, kama ni mpya hakuna shida kabisa maana hata yeye atakua anajifikiria fikiria aanzaje so ukishaonyesha dalili ............................................................
Kdb..hiyo avartar yako imenikosha.......mwanangu anaiita mpenzi wangu and she look like that one in your avartar natamani upost kila saa
BTT
Narudia tena mapenzi ni how you take and make of it. ukitaka kufurahia jichanganye na sahau all the possibilities...kama alivyosema maty enjoy while it last acha kufikiria yajayo kuwa itafell itafanya nini......if there is any person in doubt like me....namshauri atizame movie iitwayo No strings attached..that is what I am going to do this evening
Stay blessed......till baadae
mjukuu mtiifu.
hatuzungumzii kwamba "uishi kwa woga wa kuogopa yatakayotokea baadae" nadhani tunazungumzia "uishi kwa kuelewa kwamba anything can happen baadae", kuna tofauti kubwa ya hyo misamiati miwili, though I might be wrong.
4) Always Balance ur feeling (Unaweza kabisa kumpenda mtu na akajua kwamba unampenda na at the same time akaelewa kwamba akiamua kuleta za kuleta, u r ready to face it na hautotetereka na ukiweza kubalance hii beleive u me, u r a star )
"uishi kwa woga wa kuogopa yatakayotokea baadae" nadhani tunazungumzia "uishi kwa kuelewa kwamba anything can happen baadae", kuna tofauti kubwa ya hyo misamiati miwili, though I might be wrong.
Nafikiri mtoa sentensi alimaanisha 'hataki kuishi kwa uoga uoga kwa sababu eti anything can happen'..
Narudia tena mapenzi ni how you take and make of it. ukitaka kufurahia jichanganye na sahau all the possibilities...
ZANTA kibaya si ni kuvunja NDOA ya mtu si ndio? What if umpendaye bado hajaoa/olewa but ana mahusiano yasiyo rasmi? Unaruhusiwa kurusha ndoano?
Kwanza: lazima tukubali kwamba Love is a two way traffic, itakuwa unajidanganya kusema kwamba utapenda bila kuweza kuangalia upande wa mwenza wako.Sometimes we use too much energy in trying to understand somebody's feelings..What is the balance, and are the metrics?
Mie nafikiri kama upo kwenye mapenzi, toa upendo kwa asilimia zote (100%), akikutenda na akutende tu..He/she is not perfect.
Maumivu ya kuachwa na umpendaye yapo..lakini huwezi kulazimisha penzi kwa mtu asiyekupenda. And the principle of love is based on giving... Yaani kama unaishi kwa kutegea tegea, ili kumpima uone kama anakupenda au la (kwa kusubiri zawadi au kitu chochote kuonyesha ishara ya upendo) ni kujidanganya na hapo ni kuishi nje ya sheria ya upendo.
Kila mtu akijifunza kutoa upendo na sio kupokea, sidhani kama machungu haya tungekuwa tunayapata na kutuathiri kiasi hiki. Tatizo letu tuna-ubinafsi sana kwenye mapenzi..eti asipofanya hiki basi hanipendi, au akifanya kile basi atakuwa ananipenda..a TRUE love will always give..
Sometimes we use too much energy in trying to understand somebody's feelings..What is the balance, and are the metrics?
Mie nafikiri kama upo kwenye mapenzi, toa upendo kwa asilimia zote (100%), akikutenda na akutende tu..He/she is not perfect.
Maumivu ya kuachwa na umpendaye yapo..lakini huwezi kulazimisha penzi kwa mtu asiyekupenda. And the principle of love is based on giving... Yaani kama unaishi kwa kutegea tegea, ili kumpima uone kama anakupenda au la (kwa kusubiri zawadi au kitu chochote kuonyesha ishara ya upendo) ni kujidanganya na hapo ni kuishi nje ya sheria ya upendo.
Kila mtu akijifunza kutoa upendo na sio kupokea, sidhani kama machungu haya tungekuwa tunayapata na kutuathiri kiasi hiki. Tatizo letu tuna-ubinafsi sana kwenye mapenzi..eti asipofanya hiki basi hanipendi, au akifanya kile basi atakuwa ananipenda..a TRUE love will always give..
Nafikiri mtoa sentensi alimaanisha 'hataki kuishi kwa uoga uoga kwa sababu eti anything can happen'..
"Anything can happen" niliokusudia ni ile ya expectation na sio ya beleive, hivi unajua sababu nyingi za suicide ni zile za "higher expectation failure", labda nifafanulie ni upi uhusiano wa "uoga" na "expectation"?.
Kiongozi naaona unaanzisha darasa ngoja nikae siti ya mbele"Anything can happen" niliokusudia ni ile ya expectation na sio ya beleive, hivi unajua sababu nyingi za suicide ni zile za "higher expectation failure", labda nifafanulie ni upi uhusiano wa "uoga" na "expectation"?.
Kdb..hiyo avartar yako imenikosha.......mwanangu anaiita mpenzi wangu and she look like that one in your avartar natamani upost kila saa
BTT
Narudia tena mapenzi ni how you take and make of it. ukitaka kufurahia jichanganye na sahau all the possibilities...kama alivyosema maty enjoy while it last acha kufikiria yajayo kuwa itafell itafanya nini......if there is any person in doubt like me....namshauri atizame movie iitwayo No strings attached..that is what I am going to do this evening
Stay blessed......till baadae
My dia hongera kwa binti wako.........Mungu atukuzie na aje kuwa mwenye busara kama mama wake. Mbarikiwe nyote pia.