Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Wengi hamjaelewa hapo kuna hali kadhaa zinatokea.

Mwanamke aliyeolewa akiwa hana kazi kabisa ,huyu kufanya kazi hata yeye ataona ni sawa kwa vile hawezi kukaa tu bila ya kazi utakuta anajishughulisha wengine kufua kila baada ya siku kadhaa ,mara kupika,kufagia uwanja yaani binafsi ni asili ya binadamu kujishughulisha ili mwili ukae sawa.

Tuje fungu la utandawazi hawa wale wanaofanya kazi kwa wale walioa watumishi ,mke anatoka nyumba saa 2 asubuhi anarudi jioni hapo nyumbani nan atapika ,atafagia asubuhi na mchana? huoni hapa kiuhalisia unatafuta mfanyakazi ili umlipe kwa shughuli hizo ambazo angefanya mke....Sasa mnakataa maneno hayo wakati ndo yale yale tu kawaida.
Hivi unajua maana ya kuolewa vizuri kweli?
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Hao wengi ni wasimbe sugu pia hawajawahi kuolewa wao ni kuzalishwa tu
 
Unaeza kuta kenyewe huko kwake ni katiifu balaa.
Magoti mengi mixa heshima debe.
Lakn akija huku mtandaoni anajifanya supawumani.
Wanawake kaeni chonjo, kikiumana kwenye ndoa zenu mkabaki mnatangatanga hawa wasenzi wanaowashauri hata DM hawatajibu na bloku mtakula
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Wana visebengo sana hawa
 
Hivi unajua maana ya kuolewa vizuri kweli?
Kwa hiyo hao wanaofanya kazi warudi nyumbani kupika?

Au umenielewa vip ? hao feminists wanatoa hoja hizo ni kwamba wengi wanafanya kazi na hawana mda wa kupika makwao ...Hoja yao imesimamia kwamba hapo lazima utoe malipo kwa wanaofanya kazi za nyumbani ikiwezekana mke asifanye na ufanye kuajiri mfanyakazi wa ndani.
 
Unaeza kuta kenyewe huko kwake ni katiifu balaa.
Magoti mengi mixa heshima debe.
Lakn akija huku mtandaoni anajifanya supawumani.
Wanawake kaeni chonjo, kikiumana kwenye ndoa zenu mkabaki mnatangatanga hawa wasenzi wanaowashauri hata DM hawatajibu na bloku mtakula
Hii inaitwa za kuambiwa................
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Single maza watazidi mara dufu. Sawa na sisi tutawapeni kile mnakitafuta.
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Ndoa zao zimewashinda. Wanataka kuharibu na za wenzao.

Uvivu wa kufanya kazi ni laana.
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Ni sawa tu, lakini lazima nitamkata mshahara huo kwa ajili ya gharama nyingine/ huduma ninazompatia. Pia, kama mshahara wake ni mkubwa sana kiasi kwamba siwezi kumudu, nitamwondoa kazini!!!!
 
Back
Top Bottom