The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Na wao siku wasipotoa papuchi watulipe pia,
hata kama wakiwa kwenye hedhi,watulipe fidia.
hata kama wakiwa kwenye hedhi,watulipe fidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Hamna shida na mimi nikileta Nyama nyumbani nawauzia
Hivi unajua maana ya kuolewa vizuri kweli?Wengi hamjaelewa hapo kuna hali kadhaa zinatokea.
Mwanamke aliyeolewa akiwa hana kazi kabisa ,huyu kufanya kazi hata yeye ataona ni sawa kwa vile hawezi kukaa tu bila ya kazi utakuta anajishughulisha wengine kufua kila baada ya siku kadhaa ,mara kupika,kufagia uwanja yaani binafsi ni asili ya binadamu kujishughulisha ili mwili ukae sawa.
Tuje fungu la utandawazi hawa wale wanaofanya kazi kwa wale walioa watumishi ,mke anatoka nyumba saa 2 asubuhi anarudi jioni hapo nyumbani nan atapika ,atafagia asubuhi na mchana? huoni hapa kiuhalisia unatafuta mfanyakazi ili umlipe kwa shughuli hizo ambazo angefanya mke....Sasa mnakataa maneno hayo wakati ndo yale yale tu kawaida.
Wataoumia ni wenzakoImekaa poa
Hao wengi ni wasimbe sugu pia hawajawahi kuolewa wao ni kuzalishwa tu"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Wana visebengo sana hawa"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Kwa hiyo hao wanaofanya kazi warudi nyumbani kupika?Hivi unajua maana ya kuolewa vizuri kweli?
Hii inaitwa za kuambiwa................Unaeza kuta kenyewe huko kwake ni katiifu balaa.
Magoti mengi mixa heshima debe.
Lakn akija huku mtandaoni anajifanya supawumani.
Wanawake kaeni chonjo, kikiumana kwenye ndoa zenu mkabaki mnatangatanga hawa wasenzi wanaowashauri hata DM hawatajibu na bloku mtakula
Single maza watazidi mara dufu. Sawa na sisi tutawapeni kile mnakitafuta."Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Ndoa zao zimewashinda. Wanataka kuharibu na za wenzao."Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Ni sawa tu, lakini lazima nitamkata mshahara huo kwa ajili ya gharama nyingine/ huduma ninazompatia. Pia, kama mshahara wake ni mkubwa sana kiasi kwamba siwezi kumudu, nitamwondoa kazini!!!!"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Ni devils advocate.Wanaharakat wa hili hata hawapo kwenye ndoa,
Uko sahihi. Tutapeana Job description😅😅Ni sawa tu, lakini lazima nitamkata mshahara huo kwa ajili ya gharama nyingine/ huduma ninazompatia. Pia, kama mshahara wake ni mkubwa sana kiasi kwamba siwezi kumudu, nitamwondoa kazini!!!!