Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Matapeli mnawaita Wake zenu mnategemea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa madole ya mnduku watapigwa sana .Na madildo ndio wanayotaka hao wanaojiita Wanaharakati.
akiona ana kazi nyng atafute housegirl na amlipe yeye, kazi ya mwanaume ni kuhudumia familia, kazi ya mwanamke ni kulea familia, usafi, vyakula etc ni shughuli za kawaida za mwanamke kwenye familia, mwanaume kazi yake kuhakikisha mahitaji yanatimizwa, Mungu hakukosea kusema huyu azae kwa uchungu na huyu ale kwa jasho, kula kwa jasho ni wewe na kuilisha familia yako, kuzaa kwa uchungu ni pamoja na kulea watoto na familia, huwez zaa kwa uchungu halafu iishie hapo, nan alee ulichozaa wewe... na kwann ulpiwe kwa kulea wanao.Wengi hamjaelewa hapo kuna hali kadhaa zinatokea.
Mwanamke aliyeolewa akiwa hana kazi kabisa ,huyu kufanya kazi hata yeye ataona ni sawa kwa vile hawezi kukaa tu bila ya kazi utakuta anajishughulisha wengine kufua kila baada ya siku kadhaa ,mara kupika,kufagia uwanja yaani binafsi ni asili ya binadamu kujishughulisha ili mwili ukae sawa.
Tuje fungu la utandawazi hawa wale wanaofanya kazi kwa wale walioa watumishi ,mke anatoka nyumba saa 2 asubuhi anarudi jioni hapo nyumbani nan atapika ,atafagia asubuhi na mchana? huoni hapa kiuhalisia unatafuta mfanyakazi ili umlipe kwa shughuli hizo ambazo angefanya mke....Sasa mnakataa maneno hayo wakati ndo yale yale tu kawaida.
Hawa wanaharakati wanaongea haya kwa mitamazo ya haki ila kwa ground mambo hayana uhalisia.akiona ana kazi nyng atafute housegirl na amlipe yeye, kazi ya mwanaume ni kuhudumia familia, kazi ya mwanamke ni kulea familia, usafi, vyakula etc ni shughuli za kawaida za mwanamke kwenye familia, mwanaume kazi yake kuhakikisha mahitaji yanatimizwa, Mungu hakukosea kusema huyu azae kwa uchungu na huyu ale kwa jasho, kula kwa jasho ni wewe na kuilisha familia yako, kuzaa kwa uchungu ni pamoja na kulea watoto na familia, huwez zaa kwa uchungu halafu iishie hapo, nan alee ulichozaa wewe... na kwann ulpiwe kwa kulea wanao.
HeheheHawa madole ya mnduku watapigwa sana .
Unajua kama mwanamke hana heshima naye hapaswi kupewa heshima
Ukiona mwanamke analalamika mambo madogo ya kazi za nyumbani ujue huo ji Uvivu tu. Sio mambo ya hakiakiona ana kazi nyng atafute housegirl na amlipe yeye, kazi ya mwanaume ni kuhudumia familia, kazi ya mwanamke ni kulea familia, usafi, vyakula etc ni shughuli za kawaida za mwanamke kwenye familia, mwanaume kazi yake kuhakikisha mahitaji yanatimizwa, Mungu hakukosea kusema huyu azae kwa uchungu na huyu ale kwa jasho, kula kwa jasho ni wewe na kuilisha familia yako, kuzaa kwa uchungu ni pamoja na kulea watoto na familia, huwez zaa kwa uchungu halafu iishie hapo, nan alee ulichozaa wewe... na kwann ulpiwe kwa kulea wanao.
Yaani hata Sasa wapo wengi mtaani wamejaa, wengine wamepeleka watoto Mikoani Ili aje kudanga vizuri. Akizalishwa anapeleka mtoto Mikoani anarudi Tena kudanga. Sijui Miaka 5 itakuwaje?Single maza watazidi mara dufu. Sawa na sisi tutawapeni kile mnakitafuta.
WEEE UJUE MAMA SAMIA ANASOMA HUKU OHOO.ilo lifeministi likubwa unalikamata unaliinamisha unachana marinda yote qmmmmmmq
akajinyee mbele huko
pumbavu kabisaaaaa
KATAA NDOA
Ndio mmefikia huku rafiki yangu?🤔Aisee 😃😃🤔
Sio mimi ni wao😃😃Ndio mmefikia huku rafiki yangu?🤔
Nakubaliana nawe 100% sasa waache walio kwenye ndoa waanze kudai malipo Kama hawajashangaa kesho analetwa mwanamke mwengine ndani ya nyumba 😄😄HAWA WANAWAKE WENGI AMBAO NI WANAHARAKATI, WALA HAWAPO KWENYE NDOA. WANAWAPOTOSHA TU WENZAO.
MLIO KWENYE NDOA AKILI KICHWANI MWENU AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYENI NA ZA KWENU.
Yaani ningejua kuwa nawe unaunga mkono hilo nadhani unajua ambacho kingefuata😊Sio mimi ni wao😃😃