Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Haha 😂😂😂, naanzaje kwanza kua feminist 😃😃🙌Yaani ningejua kuwa nawe unaunga mkono hilo nadhani unajua ambacho kingefuata😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha 😂😂😂, naanzaje kwanza kua feminist 😃😃🙌Yaani ningejua kuwa nawe unaunga mkono hilo nadhani unajua ambacho kingefuata😊
Tunawaambia kila siku mnajifanya vichwa ngumu haya endeleeni sasa mpate mnachokitakataa ndoa mko wapi? kwa hili pigeni kampeni tu
Hapo sasa maana hawakutaki uwe na uzao wako wa kujivunia baadae. Hao wengi wao wameachika, pia wameona hawana soko either kwa kasoro ambazo wanazo na mbele za wanaume wanakuwa very inferior sasa wanajitutumua au ni wasagaji 😂😂Haha 😂😂😂, naanzaje kwanza kua feminist 😃😃🙌
Ewaaaa wewe unafaa sana, kilichobaki ni mambo madogo tu ambayo kungwi atayasimamia juu yako ili unoge zaidi sawa bibie eh😊Mi napenda serve My man.
ila sipendi kazi za ndani, so aendelee tu kumlipa dada anayefanya hizo kazi.
Mi ntaendelea kusogeza kahawa na kupanga suruali na shati la kuvaa kazini mabvyo of course vimefuliwa aidha dry cleaner au na dada!
Hamnaga ushujaa kwenye kuchoka na mikazi ya ndani!
Babe we lipa maid na hizo service mi ntakupangia soksi na boxe kitandani na chakula my wangu ntakupakulia, ntakupikia, ntakuandalia na kukukaribisha mezani.
Ila kudeki ,kufua, na mengineyo pambana tu na mshahara wa dada.
nakubaliana na wewe..nina mifano mingi sana iliyo hai😊🙌Hapo sasa maana hawakutaki uwe na uzao wako wa kujivunia baadae. Hao wengi wao wameachika, pia wameona hawana soko either kwa kasoro ambazo wanazo na mbele za wanaume wanakuwa very inferior sasa wanajitutumua au ni wasagaji 😂😂
Unadhani hawajulikani bhasi? Alafu pamoja na yote hayo utakuta kuna wanawake wanashawishika na upumbavu wao huu....nakubaliana na wewe..nina mifano mingi sana iliyo hai😊🙌
Mtawalaumu mabeki tatu wenu kisa us.....ge wenu huo, mbona ma beki tatu wanafanya yote hadi huduma zingine nyie mna kwama wapisana.....mtu unabeba mimba miez tisa tena Kwa maangaiko,bado uzae Kwa shida....bado ulee watoto na mume Kwa shida.....lakini mwanaume hatoi pole Wala kuhurumia zaidizaidi anasema hiyo Kwa mwanamke ni Nature...mwanamke ni chombo Cha starehe tu.....
Wanasemaga za kuambiwa changanya na zakoUnadhani hawajulikani bhasi? Alafu pamoja na yote hayo utakuta kuna wanawake wanashawishika na upumbavu wao huu....
KabisaHaha imagine icho kipele ndo mkeo haki unakufa ndani ya wiki.
Kuna sehemu nimeona ,umeandika imekaaa poa au?Hawajielewi
Eti eeh ?Imekaa poa
Na walipe pangoHamna shida na mimi nikileta Nyama nyumbani nawauzia
HahahahaHapo sasa maana hawakutaki uwe na uzao wako wa kujivunia baadae. Hao wengi wao wameachika, pia wameona hawana soko either kwa kasoro ambazo wanazo na mbele za wanaume wanakuwa very inferior sasa wanajitutumua au ni wasagaji 😂😂
Kwani ni uwongo bhasi mkuu? Na hawapendi wajulikane kama ni wasagaji😂😂Hahahaha
Ila nimekumiss mamii😊Wanasemaga za kuambiwa changanya na zako
sihusiki na kataa ndoa kwa namna yeyote ile nimewaita tuTunawaambia kila siku mnajifanya vichwa ngumu haya endeleeni sasa mpate mnachokita