Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Kuna mtu kaandika huko:

"Moja ya ukatili ambao Wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako.

Yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani"
Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake"- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

JE HII NI HAKI?
 
🤣🤣🤣kweli lakin
Kuna wake za watu wanazeeka haraka kwa majukumu ya nyumbani,ya kufua mijinsi,kupikia ukoo,kutunza mifugo kama mbuzi, kuku, bata, kuosha mijivyombo,kuteka maji, daily kupiga deki nyumba, wengine kulima kila msimu yeye na watoto,bado kuzaa double double na kulea bila hata hausigelo.
 
A
🤣🤣🤣kweli lakin
Kuna wake za watu wanazeeka haraka kwa majukumu ya nyumbani,ya kufua mijinsi,kupikia ukoo,kutunza mifugo kama mbuzi,kuku,bata,kuosha mijivyombo,kuteka maji, daily kupiga deki nyumba,wengine kulima kila msimu yeye na watoto,bado kuzaa double double na kulea bila hata hausigelo.
Anapokuja kwangu kama hana ajira huwa anakuja kuangalia TV si ndiyo?
 
Shamira ni wa kupuuzwa ila kama alivyotangulia kusema mwanaJF Ironbutterfly ni kweli kuna wanawake wanazeeshwa fasta kutokana na kazi nyingi huku akizalishwa kwa kasi.

Vijijini hasa uchagani utakuta msichana mdogo kakomaa kwa kazi zilimzozidi nguvu.

Hata kama hatuwalipi tuwatafutie wasaidizi au ikiwezekana kuwasaidia sisi wenyewe pale tunapoweza. Mimi kiukweli dada zangu niliwashauri wasiolewe na maskini. Wangeteseka sana aisee.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli lakin
Kuna wake za watu wanazeeka haraka kwa majukumu ya nyumbani,ya kufua mijinsi,kupikia ukoo,kutunza mifugo kama mbuzi,kuku,bata,kuosha mijivyombo,kuteka maji, daily kupiga deki nyumba,wengine kulima kila msimu yeye na watoto,bado kuzaa double double na kulea bila hata hausigelo.
Komaaa hayo ndiyo maisha
Ukishindwa kataa kuolewa sio lazima uolewe

Kula maisha subiri kufa wala usizae
 
Kwa hiyo hao wanaofanya kazi warudi nyumbani kupika?

Au umenielewa vip ? hao feminists wanatoa hoja hizo ni kwamba wengi wanafanya kazi na hawana mda wa kupika makwao ...Hoja yao imesimamia kwamba hapo lazima utoe malipo kwa wanaofanya kazi za nyumbani ikiwezekana mke asifanye na ufanye kuajiri mfanyakazi wa ndani.

Mbona unafafanua mada na sio msemaji! how do you know?

Mbona unaweka utaratibu kulingana na fikra zako! Wakati kila familia inamifumo yake! Hata familia za watumishi zinamifumo yao yakuendesha ndoa bila shida na wala bila ayo malipo unayoyapromote hapo, year it can be impossible to you but not for all.

Mke kufanya kazi/kutokufanya kazi za ndani ni swala la maelewano watu wawili, kinachopigwa hapo ni uyo dada kuamka alipotoka na kutaka kuonesha kama vile wanawake wanateswa kwa kuwapikia wammezao na kufanya shighuli zingine za nyumbani, mbaya zaidi kaamua kabisa kuweka utaratibu kwamba iwe malipo as if ndoa sasa imekua ajira!

Hivi hujui kua kuna nyumba zingine wanaume na wanawake zao wanafanya kazi kwa kushirikiana! Leo hii akitokea mwanaharakati wakiume akasema sio sawa ela za mwanaume ndo zitumike ndani kwakua wote wanalipwa mishahara iwe sheria ela ikitoka inakatwa pasu kwa pasu kwajil ya matumizi ya nyumbani ivi unahisi wanawake wote watakubali? Je kama wataibuka wanaharakati wakiume wakasema sio sawa kutoa mahari ili kuoa maana upendo sio biashara je wanawake watakubali?

Hayo mambo hua nimaelewano ya mke na mume ndani sasa kama yeye ndo kaona ivo akakokotane na mme wake mahakani sio apangie watu wengine utaratibu wamaisha.
 
Na vile wanaume hawana shukrani hii si mbaya sana.....mtu unabeba mimba miez tisa tena Kwa maangaiko,bado uzae Kwa shida....bado ulee watoto na mume Kwa shida.....lakini mwanaume hatoi pole Wala kuhurumia zaidizaidi anasema hiyo Kwa mwanamke ni Nature...mwanamke ni chombo Cha starehe tu.....aisee...ndoa zenye amani mtazisikia tu Kwa wanyama

Nayapa ndio unayosema hapo sio sawa but nawe unakumbuka kumpa pole na kazi mumeo? Hua unamshukuru akiwalipia watoto wenu ada? je chakula alichokileta ndani mkishiba hua unakumbuka kusema baba junior mungu akubariki au unasubiri tu wewe ujifungue ndo upewe pole? Kila mtu kwenye ndoa anateseka kwa upande wake, cha muhimu ni vyema kuoneana huruma kupeana pongezi na hongera kabla ya watu wanje hawajafanya ivo kwa mume au mke wako ilo jukumu la wote kufanyiana na sio upande mmoja tuu.

Ukuona unafanya ivo still ye hakufanyii mema pia basi hakupendi au kustick nawe haikua plani yake.
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
"Malengo Maalum" ni nini ?
 
Kwa hiyo hao wanaofanya kazi warudi nyumbani kupika?

Au umenielewa vip ? hao feminists wanatoa hoja hizo ni kwamba wengi wanafanya kazi na hawana mda wa kupika makwao ...Hoja yao imesimamia kwamba hapo lazima utoe malipo kwa wanaofanya kazi za nyumbani ikiwezekana mke asifanye na ufanye kuajiri mfanyakazi wa ndani.
Kasikilize video ya huyo mbuzi wewe ndiyo hujaelewa mada
 
kataa ndoa mko wapi? kwa hili pigeni kampeni tu
7oreq4.jpg
 
Back
Top Bottom