Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

Ndoa sio lazima Ivo yani,maana mambo yanazidi kuwa mengi: mwanamke alipweashahara,mara ndoa ikivunjika mwanamke apewe nusu ya Mali yote iliyochumwa atakama hakushiriki kutafuta ila tu kwakuwa uliishi nae kinyumba,mara mke ni msaidizi WA mwanaume lakini hapohapo apewe mshahara,mara mke Naye harusiwe akafanye kazi huko maofisini n.k

.NDOA sio lazima bhana huitaki achana nayo waachie wanao iweza, makelele tu Kila siku ya Hawa wanaharakati uchurwa
wajinga pekee, ndiyo wanaooa
 
Kuna mtu kaandika huko:

"Moja ya ukatili ambao Wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako.

Yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani"
Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake"- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

JE HII NI HAKI?
Hivi kwenye suala la ndoa ni nani anamhitaji mwenzake zaidi?
Kama wote mnategemeana hakuna sababu ya kulipana chochote.
Tatizo kuna baadhi ya wanawake wamegeuza ndoa kuwa mtaji.
 
Feminist wao ni kilio Cha tukose wote Kama ndoa haikuwa bahati yako ishi bila ndoa Sio lazima Wala Sio dhambi kutooa au kuolewa.
Waache kupotosha kusudi la ndoa.
Kwanza mwanamke hakuumbwa kutafuta au kufanya kazi yeye anatakiwa akae home aletewe vyote avitakavyo ili kubalance familia,sema tu mabadiliko ya uchumi ndio yamewafanya wanawake nao wafanye majukumu yasiyo Yao yaani kufanya kazi ili familia iende.
Uarabuni wapo sahihi,mke ni pambo anatunzwa
 
Nikishamlipa mshahara kwa kazi anayofanya, napendekeza yafuatayo:-

1. Asiwe na haki ya umiliki wa Mali zangu,
2. Alipie kodi ya pango anapoishi
3. Ajihudumie mavazi na huduma za Afya.
4. Mimi nitahudumia watoto tu
 
"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."

"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.

Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Mshangama....atakuwa comorian huyu. Jamaa yangu lkn siungi mkono hoja yake
 
Unaeza kuta kenyewe huko kwake ni katiifu balaa.
Magoti mengi mixa heshima debe.
Lakn akija huku mtandaoni anajifanya supawumani.
Wanawake kaeni chonjo, kikiumana kwenye ndoa zenu mkabaki mnatangatanga hawa wasenzi wanaowashauri hata DM hawatajibu na bloku mtakula
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili nalo neno...huku mtandaoni ukibeba kila jambo itakula kwako wewe peke yako
 
Hapo zamani mambo hayakuwa hivi ila kuiga western culture imefanya yawe hivi. Ukitaka ku prove hilo angalia role za wenzi ambao wapo kwenye ndoa kongwe mtaani kwako.
ilibaki kidogo yale mambo yaanze kushikiwa bango kama haya ya haki sawa ila naona yamekutana na resistance ya maana.
"hapo zamani, hapo zamani" [emoji445]

"Mambo yalikuwa shwari" [emoji445]

"Kinyume na Sasa kinyume na saaa!!! "[emoji445]

"Mambo yamebadilika"[emoji445]
 
Wengi hamjaelewa hapo kuna hali kadhaa zinatokea.

Mwanamke aliyeolewa akiwa hana kazi kabisa ,huyu kufanya kazi hata yeye ataona ni sawa kwa vile hawezi kukaa tu bila ya kazi utakuta anajishughulisha wengine kufua kila baada ya siku kadhaa ,mara kupika,kufagia uwanja yaani binafsi ni asili ya binadamu kujishughulisha ili mwili ukae sawa.

Tuje fungu la utandawazi hawa wale wanaofanya kazi kwa wale walioa watumishi ,mke anatoka nyumba saa 2 asubuhi anarudi jioni hapo nyumbani nan atapika ,atafagia asubuhi na mchana? huoni hapa kiuhalisia unatafuta mfanyakazi ili umlipe kwa shughuli hizo ambazo angefanya mke....Sasa mnakataa maneno hayo wakati ndo yale yale tu kawaida.
Hatuna house girl,shughuli za mwanamke atafanya yeye na za mwanaume nitafanya mimi...
 
ZAIDI ya mwili wao na kutupa stress kipi Cha ZAIDI kujivunia,tunazaa watoto wao ndio wanufaika wakubwa wa watoto mama kila mwaka atatumiwa ticket akale sikukuu mjini we usipojiongeza ujanani uzeeni utamkumbuka mama yako mzazi.
 
Tangu kuumbwa kwa ulimwengu kazi ya mwanamke ni KUZAA na KULEA TU. Majukumu sahihi ya mwanamke ni nyumbani na kuwajibika kwa mumewe PEKEE. hayo majukumu mengine mnayojivisha ndio chanzo cha migogoro na shida nyingi za kifamilia duniani na ndio matokeo ya familia za ovyo na vizazi vya ajabu ajabu.

Mungu hakuwa mjinga kwenye ugawaji wa majukumu kwa mwanamke na mwanaume.
Tupo karne ya 21 wewe unatuletea mawazo ya karne ya 1.... eti majukumu ya Mwanamke ni nyumbani na kuwajibika kwa mumewe pekee,

Amka usingizini, Dunia imedevelop.
 
Nikishamlipa mshahara kwa kazi anayofanya, napendekeza yafuatayo:-

1. Asiwe na haki ya umiliki wa Mali zangu,
2. Alipie kodi ya pango anapoishi
3. Ajihudumie mavazi na huduma za Afya.
4. Mimi nitahudumia watoto tu
Hivi housegirl mbona unamlipa mshahara na anakula kwako, analala kwako, halipi kodi na akiugua unamhudumia, sembuse mke ambaye anakupa na papuchi ya bure kila siku?
 
Nani achanganyikiwe...labda kama ubongo wa mtu anaejisikia kuchanganyikiwa ni empty set. Hivi hili ni jambo la kudebate kweli? Ukute huyo Shamira hafanyi haya anayoyasema katika jamii. Wanaune wakipinga mahari, wanawake tunasema ni mila na tamaduni za kiAfrica, saivi tunazikataa tena mila zetu. I guess she is chasing clout au ndo donors wa organization yake wamempa hizi terms kwamba awe feminist wa mchongo..it actually doesnt suit her 🙄🙄.

Haya mambo ya gender nyee..gender nyaa yanatuharibu kwa speed ya 5G. Mbaya zaidi kuna gen Z wakikutana na such content, wanaicopy na kwenda kuipaste kwenye familia zao zijazo. Misingi ya kiAfrica iheshimiwe maana inapass on value kubwa sana kwetu. Binti asomeshwe sawa. Lakini hata akipata kazi, ajue primary purpose yake hapa duniani ni kulea familia na kurithisha mema kwa kizazi chake.

Sipendelei kushindana na wanaume kufanya kazi mpaka saa mbili usiku ndo nitoke kazini, ili nisecure promotion..mwisho wa siku watoto ninaowapambania wanakuja kunifurahisha..show show..afu nakimbilia kwa Mwamposa kubeba mafuta ili mapepo yawatoke..hata shetani atasema dada nikome..umeyachuma mwenyewe. Family (incase umepata hii nafasi) inatakiwa ibebe 70% of your time, Career 30%. Naona hii ni balance moja nzuri, unless otherwise.. alijisemeaga The Boss, unaishia kuwa corporate slut..raha iko wapi kwenye ubatili huu??
Well said 👏👏👏👏.

Nani achanganyikiwe...labda kama ubongo wa mtu anaejisikia kuchanganyikiwa ni empty set. Hivi hili ni jambo la kudebate kweli? Ukute huyo Shamira hafanyi haya anayoyasema katika jamii. Wanaune wakipinga mahari, wanawake tunasema ni mila na tamaduni za kiAfrica, saivi tunazikataa tena mila zetu. I guess she is chasing clout au ndo donors wa organization yake wamempa hizi terms kwamba awe feminist wa mchongo..it actually doesnt suit her 🙄🙄.

Haya mambo ya gender nyee..gender nyaa yanatuharibu kwa speed ya 5G. Mbaya zaidi kuna gen Z wakikutana na such content, wanaicopy na kwenda kuipaste kwenye familia zao zijazo. Misingi ya kiAfrica iheshimiwe maana inapass on value kubwa sana kwetu. Binti asomeshwe sawa. Lakini hata akipata kazi, ajue primary purpose yake hapa duniani ni kulea familia na kurithisha mema kwa kizazi chake.

Sipendelei kushindana na wanaume kufanya kazi mpaka saa mbili usiku ndo nitoke kazini, ili nisecure promotion..mwisho wa siku watoto ninaowapambania wanakuja kunifurahisha..show show..afu nakimbilia kwa Mwamposa kubeba mafuta ili mapepo yawatoke..hata shetani atasema dada nikome..umeyachuma mwenyewe. Family (incase umepata hii nafasi) inatakiwa ibebe 70% of your time, Career 30%. Naona hii ni balance moja nzuri, unless otherwise.. alijisemeaga The Boss, unaishia kuwa corporate slut..raha iko wapi kwenye ubatili huu??
Wataounga mkono wengi wa wanawake ni wavivu lkn kama umezoea kufanya kazi za ndani kama hobby unaona kawaida tu. Kwanza mwanamke ukifanya yote hayo unalipwa thawabu and to me that credit is more valuable than kulipwa pesa
 
Back
Top Bottom