Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sawasawa,, tangulia nakuja😃😃Ila nimekumiss mamii😊
Tutakutana kulee......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa,, tangulia nakuja😃😃Ila nimekumiss mamii😊
Tutakutana kulee......
#KATAA NDOA"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Sisi wanaume hata hatujali nani kafanya...cha msingi tukirudi tukute mazingira safi kuanzia wewe, watoto, ndani..mazingira ya nje, chakula safi na kitamu, nguo zimenyooshwa etc...Mi napenda serve My man.
ila sipendi kazi za ndani, so aendelee tu kumlipa dada anayefanya hizo kazi.
Mi ntaendelea kusogeza kahawa na kupanga suruali na shati la kuvaa kazini mabvyo of course vimefuliwa aidha dry cleaner au na dada!
Hamnaga ushujaa kwenye kuchoka na mikazi ya ndani!
Babe we lipa maid na hizo service mi ntakupangia soksi na boxe kitandani na chakula my wangu ntakupakulia, ntakupikia, ntakuandalia na kukukaribisha mezani.
Ila kudeki ,kufua, na mengineyo pambana tu na mshahara wa dada.
Hawa wanataka kusiwe na ndoa kabisa."Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Huyu ni wa kumgonga ataacha mdomo"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
HahahahahaHuyu ni wa kumgonga ataacha mdogo
Tena namfungia remba
Kuna Sheria ya NdoaHawa wanataka kusiwe na ndoa kabisa.
Acha wawasikilize hawa wapumbavu waendelee kutesekaYaani hata Sasa wapo wengi mtaani wamejaa, wengine wamepeleka watoto Mikoani Ili aje kudanga vizuri. Akizalishwa anapeleka mtoto Mikoani anarudi Tena kudanga. Sijui Miaka 5 itakuwaje?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hata ukisema kuwa umeolewa Ili utoe utamu,bado utamu wenyewe ni wa kupimiana"Moja ya ukatili ambao wanawake wanafanyiwa ni kufanyishwa kazi majumbani bila kulipwa, kiuhalisia mwanamke anapofanya kazi za nyumbani lazima alipwe, kwasababu hujamuoa awe house girl wako, yule ni mke wako ambaye umemuoa kwa malengo maalumu na siyo ya kufanya kazi za nyumbani."
"Sisi kama wanaharakati tupo kwenye mchakato kuhakikisha ule muda ambao mwanamke anautumia kufanya kazi za nyumbani uwe na manufaa kwake, alipwe na mume wake."- Shamira Mshangama, Mwanaharakati.
Wamefikia stage mbaya sana aloo.
[emoji174][emoji23][emoji23]View attachment 2713479
Kagoma au hawajajaaliwa tu mkuu 😅Huyu kamgomea hadi mume wake kuzaa mwaka wa nne huu kwenye ndoa halaf anakomaa na mada zake humu
Sawa sasa kwa haya yanayotokea in the next ten years tutakua wengi sana utabaki peke yakosihusiki na kataa ndoa kwa namna yeyote ile nimewaita tu
Nani achanganyikiwe...labda kama ubongo wa mtu anaejisikia kuchanganyikiwa ni empty set. Hivi hili ni jambo la kudebate kweli? Ukute huyo Shamira hafanyi haya anayoyasema katika jamii. Wanaune wakipinga mahari, wanawake tunasema ni mila na tamaduni za kiAfrica, saivi tunazikataa tena mila zetu. I guess she is chasing clout au ndo donors wa organization yake wamempa hizi terms kwamba awe feminist wa mchongo..it actually doesnt suit her 🙄🙄.Bora angesema mwanamke asaidiwe majukumu ya nyumbani ni mengi,sio et alipwe hajaenda kupika pale upumbavu Sababu aloitaja Kwa imaniyake Iko sawa
Kweli lengo la kuolewa sio mwanamke afanye kazi za nyumbani sawa hatukatai lakini dini haijaruhusu pia wanawake tuwe wanaharakati,kama kilichokipeleka sio kupika kuwa mama wa nyumbani Lea mume na watoto tutakuelewa Yani usipike Et sio kaziyako lakini uwe feminist sijui mwanaharaki ifike kipindi motivation speaker wapungue wanatuchanganya
🤣🤣🤣TusameheMtawalaumu mabeki tatu wenu kisa us.....ge wenu huo, mbona ma beki tatu wanafanya yote hadi huduma zingine nyie mna kwama wapi
sidhaniSawa sasa kwa haya yanayotokea in the next ten years tutakua wengi sana utabaki peke yako