Mie mange alisha niblock kitamboo!Nilichojifunza mijitu inamsifia kibakuli ili tuu ipostiwe na mange insta... Chaajabu wanaume wa dar wanajirekodi huku wakikatika viuno then wanamrushia video mange ili awapost! Ujinga of the highest order
Even a black folk hate to see another nigga made it..
Nakubaliana na mtazamo wako kua,Leo asubuhi kwenye kipindi cha Clouds 360 ,nilishuhudia kina Ngoma na wenzake wakimsifia Ali Kiba eti katoa wimbo mzuri ukifanya nchi ya Tanzania na Afrika mashariki yote izizime kwa ajili ya wimbo wake wa Seduce me, Mimi binafsi bado sijajua kwa nini watu wachanganyikiwe na huu wimbo ambao sijaona hata maudhui yake pale unapousikiliza? Kwa nini clouds wasimamishe mambo waliyopanga kuongelea kwa siku hiyo mpaka wamuongelee Kiba na huu wimbo ambao sijaona hata maudhui yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Natofautiana na wewe, Kiba katika maisha yake ya kimuziki, kamwe hajawahi toa muziki mzuri kama huu wa seduce me. Kwenye "Seduce Me" Sauti yake imekomaa nzito kwa mara ya kwanza. Ni zaidi ya sauti ile ya zamani aliokua akiitumia huko nyuma ya kitoto.Wimbo wa alikiba seduce me ni mbaya unazidiwa hata na Cinderella
Ile nyimbo yan huku mtaani hata siisikii asee.Watu wanapmbana na zilipendwa huku
Roho mbaya kitu cha ajabu huyo kiba kaa kimya zaid ya mwaka kamuachaa diamond Anatoa nyimbo kibao ,eneka,I miss u, fire na zote hizo katoa ndani ya miez 2. Afu unasema kiba anashindwanishwa na mondMaadui wa dai so wanampaisha ali kinafiki wakidhani wataweza kumshusha dai
Mkuu siku zote dhambi ya ubaguzi na chuki huwa inasambaa kama moto wa nyikani..Leo asubuhi kwenye kipindi cha Clouds 360 ,nilishuhudia kina Ngoma na wenzake wakimsifia Ali Kiba eti katoa wimbo mzuri ukifanya nchi ya Tanzania na Afrika mashariki yote izizime kwa ajili ya wimbo wake wa Seduce me, Mimi binafsi bado sijajua kwa nini watu wachanganyikiwe na huu wimbo ambao sijaona hata maudhui yake pale unapousikiliza? Kwa nini clouds wasimamishe mambo waliyopanga kuongelea kwa siku hiyo mpaka wamuongelee Kiba na huu wimbo ambao sijaona hata maudhui yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
So fans wa Kiba wameangalia wimbo ili kumkomoa tu Dayamondi sio sababu wimbo wake ni mzuri! In a month wimbo wa Dayamondi utakua na views zaidi I believe. Wabongo banaNgoma imepiga 2m viewers mpaka sasa....... avha nikalale
Roho mbaya kitu cha ajabu huyo kiba kaa kimya zaid ya mwaka kamuachaa diamond Anatoa nyimbo kibao ,eneka,I miss u, fire na zote hizo katoa ndani ya miez 2. Afu unasema kiba anashindwanishwa na mond
Kiba ana kipaji na huo wivu wenu sasa hiv mmechemka kumfanyia vigigusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, naona mmekuja kivingine....Kwani what is so special about any other song? What is so special about zilipendwa? Or My number one?Yaani Watz sijui nani katuloga ,sijui kwa nini tunapenda kushabikia mambo yasiyokuwa na tija,what is so special in that song?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini mnadhani kusifiwa Ali Kiba ni kumshusha mwingine? Kwa nini nyie msiopenda Ali Kiba afanikiwe ndo muwe watu wazuri?Nilichojifunza mijitu inamsifia kibakuli ili tuu ipostiwe na mange insta... Chaajabu wanaume wa dar wanajirekodi huku wakikatika viuno then wanamrushia video mange ili awapost! Ujinga of the highest order
Even a black folk hate to see another nigga made it..
ultaka asifiwe tu domondo eennh....always KTU kizur chajiuzaTena clouds kipindi cha nyuma walimuita mond kwenye interview na wakamsifu kwa kazi zake Leo hii wanajifanya kwamba wameuelewa Sana wimbo wa kiba fakeni kabisa clouds
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim ni timu dai lakin kiba kajitahidii vibayaa ,,,na sasa hiv nawapenda wote
Hahahaha....Yani nyie watu asee.....Kwa hiyo kwa sababu walimsifia mond haitakiwi kabisa wamsifie msanii mwingine? Hivi mna momi lakini? HahahaTena clouds kipindi cha nyuma walimuita mond kwenye interview na wakamsifu kwa kazi zake Leo hii wanajifanya kwamba wameuelewa Sana wimbo wa kiba fakeni kabisa clouds
Sent using Jamii Forums mobile app