Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Yuko pande zipi???Omary Kombo a.k.a KGT sasa hivi amekua Ras.
Yupo bado anafanya music Ila hakuna mainstream artist anaweza kwenda kurekodi kwake. Muda ushamuacha
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko pande zipi???Omary Kombo a.k.a KGT sasa hivi amekua Ras.
Yupo bado anafanya music Ila hakuna mainstream artist anaweza kwenda kurekodi kwake. Muda ushamuacha
Ndio mkuu jamaa alifariki mwaka janaD7 ni marehemu?
Sawa ila amba ni baba lishe anauza ubwabwaDogo haya mambo ya wakubwa huyawezi! We kapige story za ndomo na kina coca
Yeye mwenyewe alikua anasoma Bachelor of Business Administration (BBA) hapo Tumaini Iringa, kwa hiyo ilikuwa rahisi kwa wasomi hao kufanya kazi pamoja. Amba alisoma na kupata MBA pia na baadae alianzisha biashara zake za bakerynlichojifunza ni kuwa pale kwa Amba almost wasanii wengi ni walikuwa wasomi