Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Dahh sikulijua hili asee, jamaa ni mkalina mwisho alitengeneza almost nusu ya album ya ambwene ile ya gospel ya nguvu ya msamaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahh sikulijua hili asee, jamaa ni mkalina mwisho alitengeneza almost nusu ya album ya ambwene ile ya gospel ya nguvu ya msamaha
Studio zilikuwa zinatengeneza pesa kwa matangazo.Huyo mzungu ni miika mwamba na sababu ya kuacha production wakati ule ghafla tu ilikua ni hiyo kutopata pesa. Nyimbo zinaenda lakini pesa hakuna. Hata pa kulala tu ikawa shida kwake, mwisho akaamua kurudi kwao
P funk na mj nao wamepitia hayo hayo wasanii kurekodi bure, pesa wanapata pale ambapo album inaenda kuuzwa. Sasa album mauzo yakiwa kidogo hasara kwao. je wangapi waliuza album vizuri? Show, hapo napo huchukua percent lakini mikono inakua mingi Kuna meneja, kuna mtu Kati, kuna msanii na Kuna ww producer. Show ngapi atarudisha pesa yako? Tena zamani show nyingi walikua wanakopwa na mwisho wa siku hawalipwi kabisa
Kingine kinacholipa ni deals za wasanii wako kutoka kwenye makampuni, but hapo kuna/kulikua na mtu wa Kati. Huyu mara zote ndio anakula kikubwa, sasa ukileta ujuaji na kutaka muende sawa anakuzima, nyimbo zote kutoka studio yako hazipigwi redioni. P funk alipitia hayo, master j alipitia pia hayo. Mwisho utafunga tu mwenyewe studio hata iwe kubwa vipi, ndio maana uliona bongo records ikafa chali
Bora hata Mbeya!Sasa studio uiweke Iringa halafu utengemee kupiga hele how?
KGT producer wa kina sheta 😃😃Omary Kombo a.k.a KGT sasa hivi amekua Ras.
Yupo bado anafanya music Ila hakuna mainstream artist anaweza kwenda kurekodi kwake. Muda ushamuacha
Itakuwa tunaBang hiyoHivi ilibidi aimbe Ferouz, aheri hakuimba. Halafu kuna ngoma moja ya Pasu kwa Pasu (PKP) waliimba na mtu ana kisauti kidogo hivi, naitafuta sanaaa.
ya leo kali kunguru kanyea ugali masela wana njaa kali wakatoa macho utafkiri wamepoteza nauli na ukicheka t utakua umewauzi..unajifanya unasoma unasoma unasoma chekea primary sec ujawai kupata vema...Acha kabisa ile ngoma yangu pendwa. Nashukuru ferouz alileta maringo maana ndiye ilikuwa aimbe chorus ikabidi majani akae mwenyewe na nadhani alifanya kitu bora kuliko ambavyo angefanya ferouz.
Kuna na ile ngoma ya wachuja nafaka, ya leo kali ile sehemu ya bridge na intro pale inasema. Ya leo kali ya leo kaliii
hii ndo sababu ambayo wat wengi hawataki kuiongea..mika ndo best to ever do it hapa bongo..Mkuu, sio kwamba hao kina P Funk na MJ walimsagia kunguni Mikka kuhusiana na working permits nk ndio ikamlazimu kuondoka hapa nchini? Maana huyu si alikuwa ni mwajiriwa wa FM studio za Felician Muta? Means alikuwa na aina ya ujira hivi..
Ambha anadai kwamba alifanya production lakini hakutoboa akawa ameamua kufunga studio aachane na muziki maana nyimbo zilikuwa hazipigwi na hapati fedha. Sasa akiwa ashaamua kufunga studio, asubuhi kalala kaja yaki anamgongea dirishani anamwita ambha aamke kuwa kaja na faridah anataka wakarekodi. Kama mnakumbuka zama hizo faridah alikuwa ni msanii wa kike ambaye nyimbo zake kama pesa zilikuwa ikipigwa sana RFA ambayo ilikuwa kwenye peak zama hizo.
Basi ambha kusikia farida akaamuka na kwenda studio na yaki na farida ndipo wa karekodi wimbo unaitwa we ni wangu ulikuwa na beat ya crank na crank ndiyo ilikuwa mainstream.
Baada ya hapo akarekodi hits kibao hadi wasanii wakaanza kutoka dar wanamfuata iringa. Moja ya msanii aliyefanya ngoma naye ambazo mpaka leo nazikubali ni Rama Dee ambapo alifanya naye ngoma inaitwa kikao cha family na ngoma nyingine. Ambha anadai ngoma za rama dee zilikuwa zimejaa back vocal zake mwenyewe na rama dee alimkubali jamaa jinsi alivyokuwa anapika nyimbo zake.
Ila kati ya vijana ambao alifanya nao ngoma zikahit kutokea iringa ni yaki, roho saba, na vijana wengine.
View: https://www.youtube.com/watch?v=H6MWWxMkDhM&list=RDH6MWWxMkDhM&start_radio=1
View: https://www.youtube.com/watch?v=PihvQOA_gxo
View: https://www.youtube.com/watch?v=chdP7c91Qs4
Lakni my favorite ni yaki ya tonight.
Pia alitengeneza zile ngoma za Hussein Machozi ambazo nazo zilikuwa ni hit sana, kuna huu wa UTAIPENDA ft Joh MakiniAmba alitengeneza ngoma nyingi na ngoma nyingine ni maneno nawafunza ya Temba, ila hasa wengi tulimfahamu kupitia ngoma za Yaki na Roho Saba
Old good days✊🏾Jeff Jerry
Dj Maliz
D7
Kiss was the best.....
Yeah! Beat kali sana,Temba mwenyewe alikuwa na hasira sana kipindi hicho,aliandika verse kali sana muleAmba alitengeneza ngoma nyingi na ngoma nyingine ni maneno nawafunza ya Temba, ila hasa wengi tulimfahamu kupitia ngoma za Yaki na Roho Saba
Dogo haya mambo ya wakubwa huyawezi! We kapige story za ndomo na kina cocaHuyo jamaa nilimkuta Iringa baba lishe anauza ubwabwa
E2K ni wakili wa kujitegemea na pia wakala wa wachezaji wa soka. Yupo D
Kuna hii ngoma pia alifanya Amba, ilikuwa hatari sana enzi hizo.
Man Kichefu - Utanikumbuka, sasa hivi huyu msanii ni wakili wa kujitegemea.
View: https://youtu.be/XI3itiuHifY?si=JTvb66TFIVw0i-qi
😂😂 mie sikuwahi kujua kama huo wimbo upo Duniani, nimefungua huu uzi nipo Club, imebidi nitoke nje kuusikiliza huu wimbo, nilikuwa naupenda sana aiseeTonight ya Yaki niliisahau kabisa. Hebu weka namba yako hapa nikutumie hata vocha, Umenikumbusha mbali mno.
D7 ni marehemu?Kiss FM na mwamba D7 (rip)
Kuna roho saba weweIla Yakhi dah alikua fundi aisee.
Yaki Tonight yupooo?Yuko hapa hapa Dar anaendeleza Harakati kwenye Taasisi kubwa tu. Muziki ndio hafanyi.