Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

Hawa jamaa wa Iringa chini ya Producer Ambha walitisha sana

Hivi yule jamaa hakuwa mkenya?.. nilikuwa namuona pale Kino mkwajuni/moscow ... kuna ka studio flan kilianzishwa na jamaa yangu alikuwa anakujaga kurecord... kipindi hicho kama mtu hana ndoto ya kuwa mwanamuziki basi ana ndoto ya kuanzisha studio

Sasa kuna mtu alinambiaga anatokea kenya
Anaitwa Omary Said Kombo. Hilo jina tu unategemea atakua mkenya?
 
Sasa kama wana record bure, kina P funk, master Jay, yule mzungu producer jina limenitoka walikuwa wanapata vipi pesa.. na hawa wasanii wakubwa wana record kwao na wanaingiza pesa kina wagosi, kina Mwana Fa, kina prof J
Huyo mzungu ni miika mwamba na sababu ya kuacha production wakati ule ghafla tu ilikua ni hiyo kutopata pesa. Nyimbo zinaenda lakini pesa hakuna. Hata pa kulala tu ikawa shida kwake, mwisho akaamua kurudi kwao

P funk na mj nao wamepitia hayo hayo wasanii kurekodi bure, pesa wanapata pale ambapo album inaenda kuuzwa. Sasa album mauzo yakiwa kidogo hasara kwao. je wangapi waliuza album vizuri? Show, hapo napo huchukua percent lakini mikono inakua mingi Kuna meneja, kuna mtu Kati, kuna msanii na Kuna ww producer. Show ngapi atarudisha pesa yako? Tena zamani show nyingi walikua wanakopwa na mwisho wa siku hawalipwi kabisa

Kingine kinacholipa ni deals za wasanii wako kutoka kwenye makampuni, but hapo kuna/kulikua na mtu wa Kati. Huyu mara zote ndio anakula kikubwa, sasa ukileta ujuaji na kutaka muende sawa anakuzima, nyimbo zote kutoka studio yako hazipigwi redioni. P funk alipitia hayo, master j alipitia pia hayo. Mwisho utafunga tu mwenyewe studio hata iwe kubwa vipi, ndio maana uliona bongo records ikafa chali
 
Huyo mzungu ni miika mwamba na sababu ya kuacha production wakati ule ghafla tu ilikua ni hiyo kutopata pesa. Nyimbo zinaenda lakini pesa hakuna. Hata pa kulala tu ikawa shida kwake, mwisho akaamua kurudi kwao

P funk na mj nao wamepitia hayo hayo wasanii kurekodi bure, pesa wanapata pale ambapo album inaenda kuuzwa. Sasa album mauzo yakiwa kidogo hasara kwao. je wangapi waliuza album vizuri? Show, hapo napo huchukua percent lakini mikono inakua mingi Kuna meneja, kuna mtu Kati, kuna msanii na Kuna ww producer. Show ngapi atarudisha pesa yako? Tena zamani show nyingi walikua wanakopwa na mwisho wa siku hawalipwi kabisa

Kingine kinacholipa ni deals za wasanii wako kutoka kwenye makampuni, but hapo kuna/kulikua na mtu wa Kati. Huyu mara zote ndio anakula kikubwa, sasa ukileta ujuaji na kutaka muende sawa anakuzima, nyimbo zote kutoka studio yako hazipigwi redioni. P funk alipitia hayo, master j alipitia pia hayo. Mwisho utafunga tu mwenyewe studio hata iwe kubwa vipi, ndio maana uliona bongo records ikafa chali
Duh kwa hiyo ma producer majona makubw tu ila kipato hakiendan na jina
 
Simchukulii powa Ila sjo mtu anaweza kumsaidia mtu kimuziki na kufika mbali. Huo uwezo ndio Hana

Kuwa namba moja darasani haimaanishi unaweza kuwa mwalimu mzuri wa kufundisha wengine.

Huwezi kutaka kufika mbali kimuziki ukamfata afande sele, labda uwe unatania.
sio kweli mzee... unaikumbuka ghetto boys, watu poli hao wote walitoka mikononi mwa Selemani Msindi a.k.a Afande sele
 
Kiss walikuwa wako vizuri sana. Sijui kweli nini kiliwakumba.
Maisha yako kasi sana.
Biashara tu ilienda vibaya, angalau sasa hivi baadhi ya media zinapata pesa, zamani jamaa walikuwa wanajiendesha kwa hasara sana.
Nindhani baada ya Kiss Fm, East Africa Radio ndio ilifuatia kuwa na watangazaji wazuri na wenye vipaji.
 
Sio kweli, wengi upstairs walikua empty head. Wa sasa ndio wako vizuri upstairs ndio maana wamefanya music umekua na pesa nyingi sana

Zamani tour nzima msanii akirudi anapewa maneno matupu bila hata mia na anakubali. Sasa hivi unaweza mzungusha bure tour hata chino tu atakubali?
Hakuzungumzia kwenye angle ya kibiashara, ila kwenye upande wa kipaji na Utunzi., bado kwenye kizazi hiki hatuna hao Wasanii., hawa Wasanii wa sasa wamekuta mazingira mengi yameboreshwa, vikichajizwa pia na ukuaji wa Teknolojia.
 
Hakuzungumzia kwenye angle ya kibiashara, ila kwenye upande wa kipaji na Utunzi., bado kwenye kizazi hiki hatuna hao Wasanii., hawa Wasanii wa sasa wamekuta mazingira mengi yameboreshwa, vikichajizwa pia na ukuaji wa Teknolojia.
Kuwa vizuri upstairs maana yake ni mtu mwerevu sana, werevu ambao unatakiwa kuonekana kwenye mambo mengi
 
sio kweli mzee... unaikumbuka ghetto boys, watu poli hao wote walitoka mikononi mwa Selemani Msindi a.k.a Afande sele
Gheto boys ilienda wapi bro? Si ilikufa fasta tu
Watu pori nayo ilifika wapi? Si ilikufa fasta tu. Ni wasanii gani wa gheto boys au watu pori walifika mbali kimuziki? Taja hata mmoja tu
Afande hana uwezo wa kumfikisha mbali kimuziki msanii yoyote

Ditto ilibidi aondoke, arudi tena chini kabisa kupitia THT. Ndio kidogo akakaa saw
 
Gheto boys ilienda wapi bro? Si ilikufa fasta tu
Watu pori nayo ilifika wapi? Si ilikufa fasta tu. Ni wasanii gani wa gheto boys au watu pori walifika mbali kimuziki? Taja hata mmoja tu
Afande hana uwezo wa kumfikisha mbali kimuziki msanii yoyote

Ditto ilibidi aondoke, arudi tena chini kabisa kupitia THT. Ndio kidogo akakaa saw
hahah wewe jamaa unazingua, ulitegemea hayo makundi yawepo hadi sasa hivi?
watu poli imewatoa dito na coba
kuhusu wamefika wapi hayo matatatizo yao wenyewe hayamuhusu afande.
Afande jukumu lake alihakikisha amewapeleka mjini
 
Kuna hii ngoma pia alifanya Amba, ilikuwa hatari sana enzi hizo.
Man Kichefu - Utanikumbuka, sasa hivi huyu msanii ni wakili wa kujitegemea.

View: https://youtu.be/XI3itiuHifY?si=JTvb66TFIVw0i-qi

Umenikumbusha mbali sana Iringa miaka ya 2007-2010 ,dah Hadi machozi yamenitoka ,kipindi hicho vijana wanapambana ku record watoboe ,

Mitaa ya kihesa,mtwivila , semtema ,iringa town, mkimbizi

Matamasha ya Umati / Angaza
 
Huyo mzungu ni miika mwamba na sababu ya kuacha production wakati ule ghafla tu ilikua ni hiyo kutopata pesa. Nyimbo zinaenda lakini pesa hakuna. Hata pa kulala tu ikawa shida kwake, mwisho akaamua kurudi kwao

P funk na mj nao wamepitia hayo hayo wasanii kurekodi bure, pesa wanapata pale ambapo album inaenda kuuzwa. Sasa album mauzo yakiwa kidogo hasara kwao. je wangapi waliuza album vizuri? Show, hapo napo huchukua percent lakini mikono inakua mingi Kuna meneja, kuna mtu Kati, kuna msanii na Kuna ww producer. Show ngapi atarudisha pesa yako? Tena zamani show nyingi walikua wanakopwa na mwisho wa siku hawalipwi kabisa

Kingine kinacholipa ni deals za wasanii wako kutoka kwenye makampuni, but hapo kuna/kulikua na mtu wa Kati. Huyu mara zote ndio anakula kikubwa, sasa ukileta ujuaji na kutaka muende sawa anakuzima, nyimbo zote kutoka studio yako hazipigwi redioni. P funk alipitia hayo, master j alipitia pia hayo. Mwisho utafunga tu mwenyewe studio hata iwe kubwa vipi, ndio maana uliona bongo records ikafa chali
Vipi kuhusu 41 record ,
 
Huyo mzungu ni miika mwamba na sababu ya kuacha production wakati ule ghafla tu ilikua ni hiyo kutopata pesa. Nyimbo zinaenda lakini pesa hakuna. Hata pa kulala tu ikawa shida kwake, mwisho akaamua kurudi kwao
Mkuu, sio kwamba hao kina P Funk na MJ walimsagia kunguni Mikka kuhusiana na working permits nk ndio ikamlazimu kuondoka hapa nchini? Maana huyu si alikuwa ni mwajiriwa wa FM studio za Felician Muta? Means alikuwa na aina ya ujira hivi..
 
Mkuu, sio kwamba hao kina P Funk na MJ walimsagia kunguni Mikka kuhusiana na working permits nk ndio ikamlazimu kuondoka hapa nchini? Maana huyu si alikuwa ni mwajiriwa wa FM studio za Felician Muta? Means alikuwa na aina ya ujira hivi..
Wala, muta hakuwa anamlipa huyo mzungu. Ndio maana hata yeye nae akawa akichukua pesa anaingiza mfukoni kwake na sio kupeleka ofisini. Hilo ndio lilikua tatizo. Hakua anapewa pesa na boss wake huku akifanya kazi kubwa, akaanza kujiongeza wakashindana.

Alipotaka kuhamia studio zingine ndio fitna zikafanywa
 
Vipi kuhusu 41 record ,
Yaleyale, hakuna walichokua wakipata. Dunga aliletwa bongo na kuajiriwa studio ya pinnacle. Pinaccle production ndio studio ilikua Ina kila kitu very professional. Ilikua inaendwa vile inatakiwa, dunga alikua akilipwa pesa nzuri tu. Lakini walifeli, mwanzo walihisi labda location ya posta sio nzuri wakahamia mikocheni napo chali.
 
Wala, muta hakuwa anamlipa huyo mzungu. Ndio maana hata yeye nae akawa akichukua pesa anaingiza mfukoni kwake na sio kupeleka ofisini. Hilo ndio lilikua tatizo. Hakua anapewa pesa na boss wake huku akifanya kazi kubwa, akaanza kujiongeza wakashindana.

Alipotaka kuhamia studio zingine ndio fitna zikafanywa
Aisee, kweli bongo nyoso. Hii interview ya Mikka na Millard Ayo ya mwaka 2017, Mikka aliongea kwa uchungu flani kuhusu yeye kuondoka Tanzania. Inaonekana Fitna zilikuwa kali sana

View: https://youtu.be/ztlyM3Gg3qM?feature=shared
 
Back
Top Bottom