Hawa madada zetu siku hizi kama wanakwesa makambo, nampigania sana dada asiachwe kwenye ndoa yake

Hawa madada zetu siku hizi kama wanakwesa makambo, nampigania sana dada asiachwe kwenye ndoa yake

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Sister emekuwa na ujinga flani. Ana kiburi na mjeuri sana. Hatufikirii sisi nduguze tuliopo hapa. Amekuwa mbinafsi na kama ana mashetani.

Akigombana kidogo na shem anamwambia kama vipi tuachane. Mimi namtizama sister kwa jicho fulani kuwa "sister usiseme hivyo tuangalie na sisi nduguzo" wala hajali. Atafoka hadi sebuleni.

"Bwanaa eeeh.... Umenikuta nina maisha yangu....niache niwe huru sitaki kusumbuliwa miye", last time nikakaa naye nikamwambia. Sister ukiachwa sisi tutaenda ishi wapi? Unataka turudi mkoani? Nilimsihi sana akae kwa kutulia.

But amekuwa mbinafsi hatujali wengine. Maisha haya akiachwa inamaana nirudi Tanga, kweli? Mimi graduate nikafanye nini Tanga? Nikakwee minazi? Huu ni wendawazimu.

Wanawake wa zamani walikuwa na heshima kwa waume zao. Hata mkienda kukaa pale mna enjoy. Siku hizi Thubutuuuuuu....hamna kitu kabisa yaani empty. Inaumiza sana.
 
Lakini haka ni kachai 😃 a.k.a hadithi.
 
Ha haaaa toka kwa Dada yako kajitegmeee fala sana wewe.
 
Kwenye makambo hapo nilipotea mpaka mdau mmoja kafafanua

Kiukwel uliyoyasema ni sahih,wanawake wasasa wamekuwa na viburi sana kama wanataka haki sawa basi wasiolewe
 
Kwa kweli hapo dada kazingua
kuna kipindi dada angu alikuwa anatoka na jamaa mwenye hela
sasa dada si akataka kwenda kumfumania
ile kuingia ndani tu abadilishe nguo nikamfungia mlango
nikamwambia dada huendi popote kujifanya una wivu yasituharibie maisha yetu si unaona shemeji anavyotujali sisi sasa wewe leta upuuzi wako akikuacha na nyumbani unahama hapa

baada ya hapo nikampigia simu shemeji nikamwambia ahame guest house dada ashapajua alipo

sipendagi ujinga mimi
 
Kwa kweli hapo dada kazingua
kuna kipindi dada angu alikuwa anatoka na jamaa mwenye hela
sasa dada si akataka kwenda kumfumania
ile kuingia ndani tu abadilishe nguo nikamfungia mlango
nikamwambia dada huendi popote kujifanya una wivu yasituharibie maisha yetu si unaona shemeji anavyotujali sisi sasa wewe leta upuuzi wako akikuacha na nyumbani unahama hapa

baada ya hapo nikampigia simu shemeji nikamwambia ahame guest house dada ashapajua alipo

sipendagi ujinga mimi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa kweli hapo dada kazingua
kuna kipindi dada angu alikuwa anatoka na jamaa mwenye hela
sasa dada si akataka kwenda kumfumania
ile kuingia ndani tu abadilishe nguo nikamfungia mlango
nikamwambia dada huendi popote kujifanya una wivu yasituharibie maisha yetu si unaona shemeji anavyotujali sisi sasa wewe leta upuuzi wako akikuacha na nyumbani unahama hapa

baada ya hapo nikampigia simu shemeji nikamwambia ahame guest house dada ashapajua alipo

sipendagi ujinga mimi

Upewe tuzo ya ushemeji Bora 😅
 
Back
Top Bottom