Hawa Marefa wasipodhibitiwa watatuharibia mpira

Hawa Marefa wasipodhibitiwa watatuharibia mpira

Wekeni akiba ya maneno maana siku si nyingi mtapewa pia la mchongo kama ilivyo siku zote.
 
Hili Tatizo alilolifanya Refa Kitaalamu Linaitwa BIAS au 'Mahaba' Kwa Kimatumbi...!

Je Lina Madhara yoyote..?

Ndio..!

Madhara Yake Makubwa ni Kuwafanya Wananchi Wote Kuendelea Kusikiliza 0.5 FM Radio Kwa Zaidi' Ya Miaka 24 bila Kukinai...!

Je Watachomoka hapo?

Ni Suala La Kumuomba Mungu..! Wenyewe Bado Wapo Usingizini.
 
Hili Tatizo alilolifanya Refa Kitaalamu Linaitwa BIAS au 'Mahaba' Kwa Kimatumbi...!

Je Lina Madhara yoyote..?

Ndio..!

Madhara Yake Makubwa ni Kuwafanya Wananchi Wote Kuendelea Kusikiliza 0.5 FM Radio Kwa Zaidi' Ya Miaka 24 bila Kukinai...!

Je Watachomoka hapo?

Ni Suala La Kumuomba Mungu..! Wenyewe Bado Wapo Usingizini.
hapa umeongea kitaalamu sana
 
Hili Tatizo alilolifanya Refa Kitaalamu Linaitwa BIAS au 'Mahaba' Kwa Kimatumbi...!

Je Lina Madhara yoyote..?

Ndio..!

Madhara Yake Makubwa ni Kuwafanya Wananchi Wote Kuendelea Kusikiliza 0.5 FM Radio Kwa Zaidi' Ya Miaka 24 bila Kukinai...!

Je Watachomoka hapo?

Ni Suala La Kumuomba Mungu..! Wenyewe Bado Wapo Usingizini.
Mtanena kwa lugha mwaka huu dadekii🤣🤣
 
Mnapo piga vita rushwa muwaambie na wachezaji na makocha wenu wasipokee rushwa haiwezekani kiyombo akose goli ndani ya tatu,haiwezekani kocha ampange nyoni namba mbili wakati namba mbili angecheza Kennedy,na kwa nini asiwaanzishe watara na onyango beki ya kati na sita acheze baka?kwa nini asimchezeshe Phill namba 9 maana ameonyesha kuwa ni mfungaji mzuri na akampeleka kiyombo pembeni?rushwa mbaya ndugu zangu inauwa soka letu.
 
.
1667076332129.jpg
 
Baadae tifutifu wanamfungia Refa badala ya kumuongezea Exposure na mafunzo hata Nje ya Nchi wao wapo busy kukuna nazi na kufungia marefa ambao hata misharaha sijui kama wanalipwa maana hizo posho zenyewe wanalipwa malimbikizo yao mpaka fedha za Corona zitokee ila pesa za vikao vya tifutifu zipo hata wafanyie Mkoa gani tatizo la kutokua na marefa wengi ni la TFF...pale inatakiwa akae mtu wa mpira sio huyu Mkulima aliepo sasa..
 
Back
Top Bottom